Wachawi wanavyoiba nyota za watu wanafanyaje?

Kitu kingine kizuri kujifunza baada ya hizo nyota ni kufahamu kuhusu MALAIKA, LUGHA WANAYOTUMIA MALAIKA NA ISHARA ZAO WANAPOKUJIBU AU KUKUELEKEZA JAMBO
Kivipi mkuu tupe darasa
 
Baadhi ya Walimu, manesi na madaktari wanatajwa sana kwenye wizi huu wa ufahamu wa wanafunzi na wagonjwa.

Tutapataje kupona namna hii?

Ole wako Korazini Ole wako Bethsaida kwa kuwa mambo haya yangelifanyika Tiro na Sidoni wangelitubu siku nyingi!
Wanaibaje mkuu
 
Na kama mnaongea alafu ghafla kwa kasi kubwa mtu akapangusa uso wako kwa kiganja chake maana yake nini? Natamani kujuwa hili.
 
Unapenda sana vitu hivi vifuatavyo

Usawa , upole, ukarimu, kula bata na watu wengine (marafiki) na shughuli za nje ya nyumba

Nakuandikia mengine zaidi, ngoja nilipe bill
21/6 niangalizie
 
Hahahaha si ungemtaja hata masanja
 
Naomba niangalizie 20/7 mkuu
 
Hamna mtu mwenye akili timamua anaweza amini mambo ya zodiac sijui nani anawadanganya
 
Wanatumia Majinni.
 
Mamajusi wa mashariki na walio toka mbali wali ifuata nyota ilio kuwa inatembea. Kwa ufupi nyota ya Yesu ilikuwa haikamatiki ila yako na yangu ni rahisi kukamatika kwa hawa jamaa wanao itwa mamajusi ( wagaga).
 
Jinni akusaidie nini kama mwenyewe hujisaidii? Jinni wako ni ni wewe mwenyewe, kila binaadam ameumbwa na mwenza wake (pair, mwenza wako ni huyo jinni wako.
dah hizi imani za kuchanganya Mungu na majini, hivi mtafumbuka akili lini jamani? kweli unaamini Mungu na wakati huohuo unaamini majini? na bado mtu akisema umepotea huelewi?
 
dah hizi imani za kuchanganya Mungu na majini, hivi mtafumbuka akili lini jamani? kweli unaamini Mungu na wakati huohuo unaamini majini? na bado mtu akisema umepotea huelewi?
Hata wewe kwa sasa hivi ni Jinni.

ungeelewa maana ya neno Jinni ungeelewa nilichokiandika. huwa mnakurupuka na mambo msiyoyaelewa.
 
Hata wewe kwa sasa hivi ni Jinni.

ungeelewa maana ya neno Jinni ungeelewa nilichokiandika. huwa mnakurupuka na mambo msiyoyaelewa.
faiza, majini ni mashetani, Mungu hachangamani na mashetani, ukiona upo kwenye imani inayoruhusu kufuga majini au inayofundisha kuwa majini ni mazuri tu, kimbia, hapo umepotea, umeingia imani ya mashetwani.
 
faiza, majini ni mashetani, Mungu hachangamani na mashetani, ukiona upo kwenye imani inayoruhusu kufuga majini au inayofundisha kuwa majini ni mazuri tu, kimbia, hapo umepotea, umeingia imani ya mashetwani.
Hiyo yakufuga majinni labda ni imani yako. Maana "mungu" wako alishatembea na mapepo siku 40, yanamrubuni. Itakua wewe?

Wewe mwenyewe hapo ulipo ni jinni na shetani. Hujijui tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…