Wachawi wanavyoiba nyota za watu wanafanyaje?

Well, i was the best in almost everything.

Sijawahi kushindwa popote. Kuanzia shuleni mpaka kwingineko.

Hapo kwenye burudani sijui kama ni kweli.

Mimi sina kipaji cha usanii!
 
Well, i was the best in almost everything.

Sijawahi kushindwa popote. Kuanzia shuleni mpaka kwingineko.

Hapo kwenye burudani sijui kama ni kweli.

Mimi sina kipaji cha usanii!
Fanya Sanaa na utakuja kunishukuru

Wewe ni msanii wa kuzaliwa, Angalia hata jina lako hapa JF

UNA Nyota kubwa ya kuwa mtu maarufu mkubwa

Una nyota kama ya SIMBA

Pia una tabia ya ubishi na unaweza kumbishia mtu yoyote

Kuna wengi wanaokuloga na mkuu wa hao wachawi kwako anaitwa EGOISM
 
Tarehe 23 september
 
Unajuaje yote haya mkuu?

Kwa mfano nikienda kwa mganga anaweza kuona haya yote?

Yanaonekanaje?
Nimeshaenda kwa waganga wengi sehemu mbalimbali hapa Tanzania na wengi ni waongo sana. Wengine wanakusoma saikolojia yako na mengine unakuwa unawaambia wewe mwenyewe bila kujua kupitia maswali wanayokuuliza nk

Nitakujibu zaidi jtatu
 
katika utumbo huu ni utumbo wa Mende na nzi, Hao matajiri ulio wataja sio wajinga au vilaza kama unavyowaona , wazito sana hao, Wana Siri nyingi za Dunia, endelea kuwaza ujinga Hivyo Hivyo. Ukinzani umeandika kitu Cha maana kumbe uhalisho
Una mtindio wa ubongo wa kuelewa mada, unachangia mada kama vile uko kwenye siku zako za kike nadhani.
 
Nimeshaenda kwa waganga wengi sehemu mbalimbali hapa Tanzania na wengi ni waongo sana. Wengine wanakusoma saikolojia yako na mengine unakuwa unawaambia wewe mwenyewe bila kujua kupitia maswali wanayokuuliza nk

Nitakujibu zaidi jtatu
Duuuh
 
Nimeshaenda kwa waganga wengi sehemu mbalimbali hapa Tanzania na wengi ni waongo sana. Wengine wanakusoma saikolojia yako na mengine unakuwa unawaambia wewe mwenyewe bila kujua kupitia maswali wanayokuuliza nk

Nitakujibu zaidi jtatu
Hawa waganga wanaweza kuiba nyota yako?

Kwa namna gani?
 
Na Mimi niangalizie 24.11
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…