Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,670
Hii sio sayansi unayoijua, ubongo ndio nyota katika ulimwengu wa roho.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama nyota zinaibiwa vipi unaweza kufungua kesi Mahakamani kudai nyota yako iliyoibiwa?Watupe evidence nani ambaye nyota yake iliwahi kuibiwa!
Neural Surgeons wanaweza kuiba nyota? Wangekuwa matajiri nadhani!Wanachukuaje Ubongo?
Nataka kujua procedures?
I was the best in almost everything.Well, i was the best in almost everything.
Sijawahi kushindwa popote. Kuanzia shuleni mpaka kwingineko.
Hapo kwenye burudani sijui kama ni kweli.
Mimi sina kipaji cha usanii!
Kwa mfano nikisema "I am the best in everything", itakuwa inamaanisha nini?I was the best in almost everything.
Hiyo kauli inamaanisha, you are no longer the best. Kwa kifupi majangili wa kiroho wameshapita na wewe na wamechukua hizo potential zako ulizonazo au wamezififisha.
Tafuta solution mapema kabla haujachelewa.
Namaanisha the only solution ni kumrudia Mungu wako.
Nalo neno mkuu!Mganga au mchawi anaionaje nyota yako?
Nyota yako ina bahati na pia ina mikosiBahati na nyota ni vitu vinavyofanana?
Kwahiyo walioajiriwa wanavyowatumikia waajiri wao kwa tija hiyo inawezakuwa tafsiri sahihi ya kuibiwa nyota zao? Ndiyo maana kwenye usaili anaachwa huyu anachukuliwa yule wakati wote wana qualifications sawa?Haujaeleza ubongo ni nyota kwa namna gani?
Ni kweli kwamba ukiwa na Nyota Kubwa, watu wanaanza kukuchukia bila sababu?Nyota yako ina bahati na pia ina mikosi
Kila nyota ina bahati pia ina mikosi
Bahati au mkosi unatengeneza mwenyewe ukisaidiwa kwa karibu na nyota yako
You make your own lucky!
Mikosi inatokea upande wa madhaifu yako na unao uwezo wa kupunguza hiyo Mikosi ukishajua madhaifu yako
Bahati na nyota ni vitu vinavyofanana?
Nakuletea pesa halafu unilazimishe niingie dukani kwako peku? Uchawi huoKwa nini mkuu
22 April Nisaidie MkuuNiambie tarehe na mwezi uliozaliwa nikuambie nyota yako ni ya nini na ipoje
Usitaje mwaka
Hahahaaaa..... mkuu, na wao wanajigamba kwamba Theolojia haiwezi kuondoa mapepo wala kutabiri. Eti waliosoma Theolojia ni butu!Wagiriki wa kale waligundua elimu inaitwa Palimistry ambayo inahusiana na alama za viganja vya mkono,jaribu kutafuta vitabu vyake Google unaweza kuvipata,au google usome makala zake....lakini pia soma sana vitabu vya saikolojia na jaribu kukaa na watu waliosoma Theolojia watakusaidia sana,achana na hao kazi yao ni kusema tu toka pepo halafu hata elimu ya Theolojia hana