Wachawi wanavyoiba nyota za watu wanafanyaje?

Wachawi wanavyoiba nyota za watu wanafanyaje?

Wagiriki wa kale waligundua elimu inaitwa Palimistry ambayo inahusiana na alama za viganja vya mkono,jaribu kutafuta vitabu vyake Google unaweza kuvipata,au google usome makala zake....lakini pia soma sana vitabu vya saikolojia na jaribu kukaa na watu waliosoma Theolojia watakusaidia sana,achana na hao kazi yao ni kusema tu toka pepo halafu hata elimu ya Theolojia hana
Alama za Viganja vya mikono zina nini?
 
Ni mara kadhaa sasa nimekuwa nikisikia kuhusu habari za nyota.

Hii nyota ni kitu gani haswa? Kwa mfano ukienda kwa mganga anaweza kuiona? Kwa namna gani?

Wengine husema nyota ni vipaji? Hivi vipaji vinaweza kuonekana kwa namna gani na wachawi?

Ni kitu kinachoweza kuonekana umbo lake?

Wachawi wanaibaje nyota? Wanaifanyaje fanyaje mpaka itoke kwako iende kwao?

Wakishaiiba wanaiweka wapi? Wanaipeleka wapi? Kwa ajili ya nini? Wanaweza kuitunza mahali labda? Ni kitu kinachoweza kuhamishika?
Sidhani kama Kuna mtu anaweza kuiba nyota ya mtu maana nyota ni kiongozi au malaika kutoka kwa Mungu anapatikana siku mtu anapozaliwa iwapo ataitwa akuongoze ndani ya zile siku 40 mtoto anapozaliwa waisraeli wanatumia uvumba kumuita na kumkaidhi mtoto kama mtoto Emmanuel au Yesu alivyopelekewa uvumba wa nyota yake au Malaika wake, nachojua kinachoharibiwa ni akili ya mtu, bahati na afya Bora mtu mbaya akijua vitu hivyo ndo anakuharibia na mpaka uwe naye au mtu anayejua Kila kitu chako hivyo ogopa mtu anayekuwa anapeleleza habari zako kwa Nia mbaya na upo naye karibu ni rahisi kukuangamiza na ndo maana maandiko yanasema mchawi auwawe Ili asiangamize wengine kwa hila zake na husuda.
 
Watu huwa wanaongea ongea tu, oooh nyota inaibiwa!

Kumbe hata hawajui maana yake au inakuwaje?

Nyota inaibiwaje sasa? Mbona hamsemi?
 
Kama wanaiba nyota kwanini wasiibe nyota ya rais ili marais watoke vizazi vyao tu?

Kama wanaiba nyota kwanini wasiibe nyota za wanasayansi wagunduzi walioingia kwenye rekodi za dunia ili vizazi vyao viambukizwe uwezo huo wa ugunduzi?

Kama wanaiba nyota vipi nikiwalipa waniibie nyota za Warren Buffet, Amancio Ortega Gaona, Dangote, Messi, Zuckerberg, Bill Gate nk watafanya?

Wanaiba nyota kwa malipo ya mtetea-mweusi? Baghosha!

JPM alitokomeza mauaji ya muda mrefu ya vikongwe wenye macho mekundu na wenye ulemavu wa ngozi.

Sorry for graphic images. Taswira kwa hisani ya google.

View attachment 2040666

Ofisi ya wenye biashara ya kuiba nyota.

View attachment 2040668
Mkono wa Albino ukiwa umekatwa.

View attachment 2040669
Albino aliyeuawa Burundi kunyofolewa mguu na mikono na masalia kutelekezwa porini.

Micah.3:2-3 2Who hate the good, and love the evil; who pluck off their skin from off them, and their flesh from off their bones; 3Who also eat the flesh of my people, and flay their skin from off them; and they break their bones, and chop them in pieces, as for the pot, and as flesh within the caldron.
sasa JPM kaingiaje tena hapa
 
Soma kuhusu habari za mamajusi walioona nyota ya ajabu wakafunga safarii kuifatilia ikawapeleka kwenye mji wa Daudi alipozaliwa Yesu.
Nyota ni destiny ni kama mother body au hard disc ya computer inayoprogram mambo yote kuhusu maisha yako ikiwemo kipawa au kipaji Mungu alichoweka kwenye maisha yako.Nyota ni sawa na engine ya maisha yako.
So mganga na mchawi boss wao anaewapa nguvu za giza ni mmoja.
Mganga ni mfanyabiashara pesa yako ndio uamuru mganga afanye nini, means mganga umsikiliza mteja atakacho iwe kuuwa,kuroga,kuvuruga, kuharibu,nk unapoenda kwa mganga na akiiona nyota yako ni nzuri na wewe ni masikini uiba na kukuwekea nyota mbovu ukisikia kusafishwa nyota au nyota yako ipo chini tuipandishe so mganga ung'arisha kwa kukupa nyota ya wizi kulingana na uhitaji wako mfano kuchanua kwenye biashara,mvuto,kukubalika,kupendwa,nk.
So ukiwa masikini ni rahisi sana kuibiwa nyota yako hasa kama wewe ni mshirikina, mshirikina ni mtu apendae mambo ya waganga yaani brain yake inacontroliwa na waganga.
Mganga ni SAwa na fundi simu au computer ukienda na kitu kizima anakuwekea kilicho kibovu na anachukua kilichokizima kwako na anakihifadhi kama spare kuuza kwa wahitaji.
Ni hatari sana kuwapeleka watoto wadogo au wachanga kwa waganga pale ndipo nyota zao uchukuliwa.Waganga na wachawi wanajua mimba zote za mtaa au eneo lao ikiwemo hadi siku utakayojifungua na mtoto huyo atakuwa nani au anakipaji gani kama huna ulinzi wa Mungu ukichukua kipaji hicho,taarifa hizi upewa na majini so kama mtoto wakati anazaliwa na wazazi hawana ulinzi wa Mungu na wao wanamtaka mtoto huyo umchukulia leba wanakuachia mdori baada ya masaa mtoto tatizo au homa anafariki,au wanamchukua angali tumboni na kwenda kumpa wasaka watoto kwa waganga wewe wanakuwekea matambara tumboni,mara ujauzito umeharibika,nk.
Mimi naunga mkono walichokifanya Ulaya kuwauwa hawa wapumbavu wachawi na waganga kwani ndio udumaza Jamii na kuifanya iwe masikini kwa kudumaza fikra za Jamii.
 
Ni mara kadhaa sasa nimekuwa nikisikia kuhusu habari za nyota.

Hii nyota ni kitu gani haswa? Kwa mfano ukienda kwa mganga anaweza kuiona? Kwa namna gani?

Wengine husema nyota ni vipaji? Hivi vipaji vinaweza kuonekana kwa namna gani na wachawi?

Ni kitu kinachoweza kuonekana umbo lake?

Wachawi wanaibaje nyota? Wanaifanyaje fanyaje mpaka itoke kwako iende kwao?

Wakishaiiba wanaiweka wapi? Wanaipeleka wapi? Kwa ajili ya nini? Wanaweza kuitunza mahali labda? Ni kitu kinachoweza kuhamishika?
dawa ya mchawi ni ndogo sana, Okoka, mkabidhi Yesu Kristo wa Nazareth awe Bwana na Mwokozi wa Maisha yako, jazwa Roho Mtakatifu na ishi maisha matakatifu. utakuwa unaonekana kama nyota wakiwa mbaliii, wanakujua hata kabla hawajafika kwako kuwa pale sio pa kusogea. pia, kwa waliookoka hata damu ikimwagwa wanajua hawataitumia kwasababu kwenye mambo yao haitafanya kazi, nyota hawataweza kukunyang'anya kwasababu unalindwa kwa Agano la Damu ya Yesu.

Mungu aliingia pamoja nasi Agano jipya, hili ni Agano ambalo Mungu mwenyewe aliamua kuliandika sio kwa kalamu bali kwa Damu ya Yesu Kristo wa Nazareth, hivyo Mungu ameapa, our God is bound by it, iwe iweje lazima Mungu atimize kile alichoapa kwenye Agano Jipya, lililotokana na kufa na kufufuka kwa Yesu Kristo. Agano hili ni kuu kuliko mikataba au viapo vya kawaida, na linadumu milele. Yesu aliwaambia wanafunzi wangu, baada ya kukitwaa kikombe,

akasema, hii ni Damu yangu ya Agano Jipya (kumbe kulikuwepo agano la zamani), imwagikayo kwa ajili ya wengi, fanyeni hivi kwa ukumbusho wangu. Utajapo Damu ya Yesu, Shetani na utawala wake wote wanasambaratika kwasababu ni Damu iliyolipa Deni loooote la ukombozi wa maisha ya Mwanadamu na kumfanya shetani asiwe na haki yeyote kukunyanyasa au kututesa. ukiwa ndani ya Agano hili, unafanyika mtoto wa Mungu na yeye Mungu anakuwa ndiye mlinzi na mkombozi wako. yeye hutuma malaika wake watulinde popote tulipo. hii imethibitishwa kabisa na ex-witches waliokuwa wamekubuhu.

Damu ya Yesu ndio Damu ya kutuondoa dhambi zetu pia, ili tuwe watakatifu na tukubalike mbele za Mungu, bila hii, Mungu hakutambui. ukienda nje ya Yesu Kristo Mungu hakutambui na hakupokei kwasababu umeenda kwake nje ya Agano lake. hii ina maana kwamba, wote wanaomtafuta Mungu kwa njia nyingine yeyote nje ya kupitia Kumkiri na kumwamini Yesu Kristo kama Bwana na Mwokozi wa maisha yao, wote wataenda motoni kwasababu wamefuata njia isiyo sahihi ambayo Mungu hakusema tupitie. huu ni ushauri tu, tafakari na chukua hatua.
 
Kama wanaiba nyota kwanini wasiibe nyota ya rais ili marais watoke vizazi vyao tu?

Kama wanaiba nyota kwanini wasiibe nyota za wanasayansi wagunduzi walioingia kwenye rekodi za dunia ili vizazi vyao viambukizwe uwezo huo wa ugunduzi?

Kama wanaiba nyota vipi nikiwalipa waniibie nyota za Warren Buffet, Amancio Ortega Gaona, Dangote, Messi, Zuckerberg, Bill Gate nk watafanya?

Wanaiba nyota kwa malipo ya mtetea-mweusi? Baghosha!

JPM alitokomeza mauaji ya muda mrefu ya vikongwe wenye macho mekundu na wenye ulemavu wa ngozi.

Sorry for graphic images. Taswira kwa hisani ya google.

View attachment 2040666

Ofisi ya wenye biashara ya kuiba nyota.

View attachment 2040668
Mkono wa Albino ukiwa umekatwa.

View attachment 2040669
Albino aliyeuawa Burundi kunyofolewa mguu na mikono na masalia kutelekezwa porini.

Micah.3:2-3 2Who hate the good, and love the evil; who pluck off their skin from off them, and their flesh from off their bones; 3Who also eat the flesh of my people, and flay their skin from off them; and they break their bones, and chop them in pieces, as for the pot, and as flesh within the caldron.
Sio KILA nyota ya mtu inaibiwa kumbuka hawa wapumbavu sio kwamba wanayo nguvu kubwa kuliko wote,kama unayo nguvu ya Mungu awakusogelei sio wewe tu hata uzao wako ikiwemo hata ulio tumboni,wakisogea tu kutaka kuchezea nafsi yako,mali yako, watoto wako nk upigwa shoti kali kama moto wa gesi na awakugusi tena.
Hawa wapumbavu waganga na wachawi nao ni waoga pia Ili wakuroge ni lzm wafanye test kukupima kwenye radar zao wanapima nguvu iliyomo ndani yako kama ni kubwa kuliko yao hawataki shali na wewe.
Hata kwenye usafiri mfano basi wakitaka kutoa kafara kwa kusababisha ajali ambayo mara nyingi huwa wanaliangusha au kuyagonganisha magari hapa unakuta dereva kaacha njia kamfata mwenzake au wanaifanya barabara inakua moja kwa kuifanya iwe nyembamba mara paa uso kwa uso kama katika basi hilo walilokusudia kuna mtu anayo nguvu ya Mungu uharisha na awaligusi gari hilo maana upigwa shoti hatari.Wanatumia kifaa kinaitwa (icds) asidiizi ni testa za kichawi kupima nguvu aliyonayo mtu kabla ya kumdhuru kichawi.
Nipende kuwatia nguvu hawa wapumbavu hawana lolote wala chochote cha kushinda nguvu aliyopewa mwanadamu na Mwenyezi Mungu wanachoweza ni kutia uoga na hofu, hofu ndio silaha kubwa hawa wapumbavu uitumia kudhuru.
Kama wamepanga kutoa kafara kwenye gari lakini katika mmoja wa wasafiri alimuomba Mungu ailinde safari hio tayari hapo kunakuwa na nguvu ya Mungu kwa vipimo vya radar yao hawawezi lisogelea,na wakishindwa kuliangusha ukumbana na adhabu kali Sana toka master wao yaani shetani ikiwemo kutakiwa kutoa kafara ndugu au mtoto wao au mtu wa karibu,so ukiwa na ndugu, au rafiki mchawi tambua upo kwenye risk ya kutolewa kafara.Wachawi na waganga ni mateka wa shetani wengi wapo kifungoni kwa matishio wakitoka,wakiacha watauwawa na kupelekwa kuzimu kutumika kimateso ambayo wao uyashuhudia, mchawi na mganga wanayo password ya kuingia kuzimu kupokea maagizo.Mchawi na mganga awanywi damu labda kidogo lakini damu utolewa sadaka kwa shetani.
Kwann ulimwengu wa Sasa Siri za giza ziwe wazi,Mungu karuhusu tuzijue siri zao Ili tusiwaogope,ukishamjua adui sio tishio tena kwako.
 
dawa ya mchawi ni ndogo sana, Okoka, mkabidhi Yesu Kristo wa Nazareth awe Bwana na Mwokozi wa Maisha yako, jazwa Roho Mtakatifu na ishi maisha matakatifu. utakuwa unaonekana kama nyota wakiwa mbaliii, wanakujua hata kabla hawajafika kwako kuwa pale sio pa kusogea. pia, kwa waliookoka hata damu ikimwagwa wanajua hawataitumia kwasababu kwenye mambo yao haitafanya kazi, nyota hawataweza kukunyang'anya kwasababu unalindwa kwa Agano la Damu ya Yesu.

Mungu aliingia pamoja nasi Agano jipya, hili ni Agano ambalo Mungu mwenyewe aliamua kuliandika sio kwa kalamu bali kwa Damu ya Yesu Kristo wa Nazareth, hivyo Mungu ameapa, our God is bound by it, iwe iweje lazima Mungu atimize kile alichoapa kwenye Agano Jipya, lililotokana na kufa na kufufuka kwa Yesu Kristo. Agano hili ni kuu kuliko mikataba au viapo vya kawaida, na linadumu milele. Yesu aliwaambia wanafunzi wangu, baada ya kukitwaa kikombe,

akasema, hii ni Damu yangu ya Agano Jipya (kumbe kulikuwepo agano la zamani), imwagikayo kwa ajili ya wengi, fanyeni hivi kwa ukumbusho wangu. Utajapo Damu ya Yesu, Shetani na utawala wake wote wanasambaratika kwasababu ni Damu iliyolipa Deni loooote la ukombozi wa maisha ya Mwanadamu na kumfanya shetani asiwe na haki yeyote kukunyanyasa au kututesa. ukiwa ndani ya Agano hili, unafanyika mtoto wa Mungu na yeye Mungu anakuwa ndiye mlinzi na mkombozi wako. yeye hutuma malaika wake watulinde popote tulipo. hii imethibitishwa kabisa na ex-witches waliokuwa wamekubuhu.

Damu ya Yesu ndio Damu ya kutuondoa dhambi zetu pia, ili tuwe watakatifu na tukubalike mbele za Mungu, bila hii, Mungu hakutambui. ukienda nje ya Yesu Kristo Mungu hakutambui na hakupokei kwasababu umeenda kwake nje ya Agano lake. hii ina maana kwamba, wote wanaomtafuta Mungu kwa njia nyingine yeyote nje ya kupitia Kumkiri na kumwamini Yesu Kristo kama Bwana na Mwokozi wa maisha yao, wote wataenda motoni kwasababu wamefuata njia isiyo sahihi ambayo Mungu hakusema tupitie. huu ni ushauri tu, tafakari na chukua hatua.
Sawa.

Lakini hujajibu swali.
 
Sio KILA nyota ya mtu inaibiwa kumbuka hawa wapumbavu sio kwamba wanayo nguvu kubwa kuliko wote,kama unayo nguvu ya Mungu awakusogelei sio wewe tu hata uzao wako ikiwemo hata ulio tumboni,wakisogea tu kutaka kuchezea nafsi yako,mali yako, watoto wako nk upigwa shoti kali kama moto wa gesi na awakugusi tena.
Hawa wapumbavu waganga na wachawi nao ni waoga pia Ili wakuroge ni lzm wafanye test kukupima kwenye radar zao wanapima nguvu iliyomo ndani yako kama ni kubwa kuliko yao hawataki shali na wewe.
Hata kwenye usafiri mfano basi wakitaka kutoa kafara kwa kusababisha ajali ambayo mara nyingi huwa wanaliangusha au kuyagonganisha magari hapa unakuta dereva kaacha njia kamfata mwenzake au wanaifanya barabara inakua moja kwa kuifanya iwe nyembamba mara paa uso kwa uso kama katika basi hilo walilokusudia kuna mtu anayo nguvu ya Mungu uharisha na awaligusi gari hilo maana upigwa shoti hatari.Wanatumia kifaa kinaitwa (icds) asidiizi ni testa za kichawi kupima nguvu aliyonayo mtu kabla ya kumdhuru kichawi.
Nipende kuwatia nguvu hawa wapumbavu hawana lolote wala chochote cha kushinda nguvu aliyopewa mwanadamu na Mwenyezi Mungu wanachoweza ni kutia uoga na hofu, hofu ndio silaha kubwa hawa wapumbavu uitumia kudhuru.
Sahihi.
 
Soma kuhusu habari za mamajusi walioona nyota ya ajabu wakafunga safarii kuifatilia ikawapeleka kwenye mji wa Daudi alipozaliwa Yesu.
Nyota ni destiny ni kama mother body au hard disc ya computer inayoprogram mambo yote kuhusu maisha yako ikiwemo kipawa au kipaji Mungu alichoweka kwenye maisha yako.Nyota ni sawa na engine ya maisha yako.
So mganga na mchawi boss wao anaewapa nguvu za giza ni mmoja.
Mganga ni mfanyabiashara pesa yako ndio uamuru mganga afanye nini, means mganga umsikiliza mteja atakacho iwe kuuwa,kuroga,kuvuruga, kuharibu,nk unapoenda kwa mganga na akiiona nyota yako ni nzuri na wewe ni masikini uiba na kukuwekea nyota mbovu ukisikia kusafishwa nyota au nyota yako ipo chini tuipandishe so mganga ung'arisha kwa kukupa nyota ya wizi kulingana na uhitaji wako mfano kuchanua kwenye biashara,mvuto,kukubalika,kupendwa,nk.
So ukiwa masikini ni rahisi sana kuibiwa nyota yako hasa kama wewe ni mshirikina, mshirikina ni mtu apendae mambo ya waganga yaani brain yake inacontroliwa na waganga.
Mganga ni SAwa na fundi simu au computer ukienda na kitu kizima anakuwekea kilicho kibovu na anachukua kilichokizima kwako na anakihifadhi kama spare kuuza kwa wahitaji.
Ni hatari sana kuwapeleka watoto wadogo au wachanga kwa waganga pale ndipo nyota zao uchukuliwa.Waganga na wachawi wanajua mimba zote za mtaa au eneo lao ikiwemo hadi siku utakayojifungua na mtoto huyo atakuwa nani au anakipaji gani kama huna ulinzi wa Mungu ukichukua kipaji hicho,taarifa hizi upewa na majini so kama mtoto wakati anazaliwa na wazazi hawana ulinzi wa Mungu na wao wanamtaka mtoto huyo umchukulia leba wanakuachia mdori baada ya masaa mtoto tatizo au homa anafariki,au wanamchukua angali tumboni na kwenda kumpa wasaka watoto kwa waganga wewe wanakuwekea matambara tumboni,mara ujauzito umeharibika,nk.
Mimi naunga mkono walichokifanya Ulaya kuwauwa hawa wapumbavu wachawi na waganga kwani ndio udumaza Jamii na kuifanya iwe masikini kwa kudumaza fikra za Jamii.
Aisee...
 
Fanya Sanaa na utakuja kunishukuru

Wewe ni msanii wa kuzaliwa, Angalia hata jina lako hapa JF

UNA Nyota kubwa ya kuwa mtu maarufu mkubwa

Una nyota kama ya SIMBA

Pia una tabia ya ubishi na unaweza kumbishia mtu yoyote

Kuna wengi wanaokuloga na mkuu wa hao wachawi kwako anaitwa EGOISM
Mmh, na huyu wa trh 22 sept
 
Watu huwa wanaongea ongea tu, oooh nyota inaibiwa!

Kumbe hata hawajui maana yake au inakuwaje?

Nyota inaibiwaje sasa? Mbona hamsemi?
mkuu binadamu ameumbwa kama ilivyo computer, ana hardware(utu wa kimwili) na software(utu wa kiroho) hivo wachawi/waganga kwa msaada wa mashetani wakifanikiwa kuudukua utu wako wa kiroho wanaweza kufanya chochote walichokusudia kwako, mfano kukusababishia maradhi, ajali, kuharibiwa nyota/kuibiwa na nk..
 
Back
Top Bottom