Sio KILA nyota ya mtu inaibiwa kumbuka hawa wapumbavu sio kwamba wanayo nguvu kubwa kuliko wote,kama unayo nguvu ya Mungu awakusogelei sio wewe tu hata uzao wako ikiwemo hata ulio tumboni,wakisogea tu kutaka kuchezea nafsi yako,mali yako, watoto wako nk upigwa shoti kali kama moto wa gesi na awakugusi tena.
Hawa wapumbavu waganga na wachawi nao ni waoga pia Ili wakuroge ni lzm wafanye test kukupima kwenye radar zao wanapima nguvu iliyomo ndani yako kama ni kubwa kuliko yao hawataki shali na wewe.
Hata kwenye usafiri mfano basi wakitaka kutoa kafara kwa kusababisha ajali ambayo mara nyingi huwa wanaliangusha au kuyagonganisha magari hapa unakuta dereva kaacha njia kamfata mwenzake au wanaifanya barabara inakua moja kwa kuifanya iwe nyembamba mara paa uso kwa uso kama katika basi hilo walilokusudia kuna mtu anayo nguvu ya Mungu uharisha na awaligusi gari hilo maana upigwa shoti hatari.Wanatumia kifaa kinaitwa (icds) asidiizi ni testa za kichawi kupima nguvu aliyonayo mtu kabla ya kumdhuru kichawi.
Nipende kuwatia nguvu hawa wapumbavu hawana lolote wala chochote cha kushinda nguvu aliyopewa mwanadamu na Mwenyezi Mungu wanachoweza ni kutia uoga na hofu, hofu ndio silaha kubwa hawa wapumbavu uitumia kudhuru.
Kama wamepanga kutoa kafara kwenye gari lakini katika mmoja wa wasafiri alimuomba Mungu ailinde safari hio tayari hapo kunakuwa na nguvu ya Mungu kwa vipimo vya radar yao hawawezi lisogelea,na wakishindwa kuliangusha ukumbana na adhabu kali Sana toka master wao yaani shetani ikiwemo kutakiwa kutoa kafara ndugu au mtoto wao au mtu wa karibu,so ukiwa na ndugu, au rafiki mchawi tambua upo kwenye risk ya kutolewa kafara.Wachawi na waganga ni mateka wa shetani wengi wapo kifungoni kwa matishio wakitoka,wakiacha watauwawa na kupelekwa kuzimu kutumika kimateso ambayo wao uyashuhudia, mchawi na mganga wanayo password ya kuingia kuzimu kupokea maagizo.Mchawi na mganga awanywi damu labda kidogo lakini damu utolewa sadaka kwa shetani.
Kwann ulimwengu wa Sasa Siri za giza ziwe wazi,Mungu karuhusu tuzijue siri zao Ili tusiwaogope,ukishamjua adui sio tishio tena kwako.