Wachawi wanavyoiba nyota za watu wanafanyaje?

Wachawi wanavyoiba nyota za watu wanafanyaje?

Vipi mwenye uwezo wa kuhamisha nyota anaweza kunihamishia nyota ya Isaac Newton kwasababu ninakabiliwa na mtihani wa mwisho wa kumaliza chuo kwenye ndaki ya uhandisi kwasababu sijafanya maandalizi ya kutosha ya kusoma hivyo nataka nihamishiwe nyota ya Sir Isaac Newton iniwezeshe kushinda mtihani huo, niko tayari kulipa ela yoyote atayotaka.
Bado siamini kama mtu anaweza kuiba nyota yako lakini bado naendelea kujifunza zaidi katika hili

Nyota yako inafifia baada ya wewe kutofahamu madhaifu yako ya asili

Ukumbuke nyota 1 unashea na watu wengine wengi sana hivyo unaweza kufikiri fulani ameiba nyota yako kumbe nyota zenu zinafanana na wewe ulizembea kushughulika na madhaifu yako
 
Mbowe hawezi kufungwa siyo kwa sababu ya nyota bali ni kwa sababu kesi yake haina ukweli wowote na jumuiya za kimataifa hazitakubali hilo
Kwani nyota yake siyo ya jelajela? Mara ngapi anaingia jela hadi sasa? Kama nyota zinahamishika vipi hamuwezi kuwahamishia PLPL na Ally nyota ya jelajela ya Mbowe?
 
Trh 25/12


Namba zako za bahati ni
1, 4, 8, 10, 13, 17, 19, 22, 26

Kazi nzuri kwako ni zile zinazohusiana na masuala ya hela (finance) na umeneja. Ukiwa meneja kwenye kampuni yoyote lazima hiyo kampuni ifanikiwe

Una wachawi wengi wanaokuloga wakiongozwa na TABIA YAKO YA KUTAKA KUFAHAMU KILA KITU PIA WEWE NI MGUMU KATIKA KUSAMEHE, na mara nyingi unakuwa unawaza mambo mabaya yatakutokea
 
Kama wanaiba nyota kwanini wasiibe nyota ya rais ili marais watoke vizazi vyao tu?

Kama wanaiba nyota kwanini wasiibe nyota za wanasayansi wagunduzi walioingia kwenye rekodi za dunia ili vizazi vyao viambukizwe uwezo huo wa ugunduzi?

Kama wanaiba nyota vipi nikiwalipa waniibie nyota za Warren Buffet, Amancio Ortega Gaona, Dangote, Messi, Zuckerberg, Bill Gate nk watafanya?

Wanaiba nyota kwa malipo ya mtetea-mweusi? Baghosha!

JPM alitokomeza mauaji ya muda mrefu ya vikongwe wenye macho mekundu na wenye ulemavu wa ngozi.

Sorry for graphic images. Taswira kwa hisani ya google.

View attachment 2040666

Ofisi ya wenye biashara ya kuiba nyota.

View attachment 2040668
Kiganja cha Albino kikiwa kimekatwa.

View attachment 2040669
Albino aliyeuawa Burundi kunyofolewa mguu na mikono na masalia kutelekezwa porini.

Micah.3:2-3 2Who hate the good, and love the evil; who pluck off their skin from off them, and their flesh from off their bones; 3Who also eat the flesh of my people, and flay their skin from off them; and they break their bones, and chop them in pieces, as for the pot, and as flesh within the caldron.
We nae toa mapicha yako ya kutisha huko
 
Careerwise unashine sana kama ukiwa mwanasheria,mwanasiasa,askari mpelelezi ,mtu wa mauzo(una haiba nzuri na unajua kucommunicate vizuri)

Pia issue za uanamitindo na ualimu nazo zinakufaa.

Kwa kuwa unapenda "usawa" kitu ambacho huwa kinakurudisha nyuma kwenye kuchukua maamuzi ya kitu gani ufanye ..so unashauriwa uwe mtu wa maamuzi magumu ili kufanikisha mambo yako

Upande wa mahusiano unafit sana ukiwa na mpenzi ambae ni aries (kondoo aliezaliwa kati ya 21 march-19 april), Leo (july 22 to august 22), Gemini (aliezaliwa kati ya may 20 to june 20)

watu wenye nyota hizo hapo ni watu ambao mna chemistry sana na itakusaidia pia kucomplement baadhi ya vitu ambavyo hauna
Shukuran mkuu
 
Kitu kingine kizuri kujifunza baada ya hizo nyota ni kufahamu kuhusu MALAIKA, LUGHA WANAYOTUMIA MALAIKA NA ISHARA ZAO WANAPOKUJIBU AU KUKUELEKEZA JAMBO
 
Bado siamini kama mtu anaweza kuiba nyota yako lakini bado naendelea kujifunza zaidi katika hili

Nyota yako inafifia baada ya wewe kutofahamu madhaifu yako ya asili

Ukumbuke nyota 1 unashea na watu wengine wengi sana hivyo unaweza kufikiri fulani ameiba nyota yako kumbe nyota zenu zinafanana na wewe ulizembea kushughulika na madhaifu yako
You sound Metaphysicist than Occultist and Cosmologist either!
 
You sound Metaphysicist than Occultist and Cosmologist either!
Occult sipendi kabisa ingawa nyota yangu ina uhusiano wa karibu na mambo hayo

Naamini bahati na mikosi unatengeneza mwenyewe ukisaidiwa kwa karibu na nyota yako (haiba yako ya asili)

Labda white wizard hiyo nipo tayari kufanya ila siyo black wizard
 
We nae toa mapicha yako ya kutisha huko
If you reviewed my post comprehensively, it included prior- apology to the Content Manager, the Editor and the audience for graphic images. If you are not of the mass-communication fraternity, you won't understand this.
 
Japokuwa najuwa kuwa nyota zinakaa angani tu lkn kwa muktadha wa mada niungane na hadhira kwamba nyota zinakaa ndani ya mtu, sasa basi, nijuavyo ni kuwa kinachoweza kuhamisha nyota (siyo kuiondoa yote) ni zinaa na uasherati.
Kwa mara ya kwanza nimekutana na mtu anayejua kuhusiana na nyota, ni kweli bro, nyota ya mtu inachukuliwa lea urahisi sana bila yeye kujua anapozini.
Na wachawi wakitaka kukuchukulia nyota yako kirahisi, njia kubwa wanachofanya, pepo au roho chafu au jini mahaba linamwingia mwanamke waliomchagua, halafu huyo mwanamke wanakukutanisha Naye inaweza kuwa kwenye basi, kazini, au ex wako,na yule mwanamke akikuona tu anaanza kukupenda isivyo kawaida.
Basi ukilala Naye, lile jini ndio linapata access ya kuchukua nyota yako
 
Kwa mara ya kwanza nimekutana na mtu anayejua kuhusiana na nyota, ni kweli bro, nyota ya mtu inachukuliwa lea urahisi sana bila yeye kujua anapozini.
Na wachawi wakitaka kukuchukulia nyota yako kirahisi, njia kubwa wanachofanya, pepo au roho chafu au jini mahaba linamwingia mwanamke waliomchagua, halafu huyo mwanamke wanakukutanisha Naye inaweza kuwa kwenye basi, kazini, au ex wako,na yule mwanamke akikuona tu anaanza kukupenda isivyo kawaida.
Basi ukilala Naye, lile jini ndio linapata access ya kuchukua nyota yako
Ukumbuke kuzini ni starehe na starehe ni gharama

Kama unataka kupoteza hela kirahisi wewe kuwa bize na wanawake hukawii kufilisika

Ila kama una hela za kutosha na vitega uchumi vingi hakuna uzinzi utaiba nyota yako
 
Back
Top Bottom