Ukiibiwa si ndiyo nyota imefifia?Tunazungumzia kuiba nyota. Na si kufifia Mzee. Kufifia ni mada nyingine au mie ndo sijaelewa mada?
Nyota ndiyo kipaji, ndiyo tabia ya mtu ya kuzaliwa, ndiyo kipawa cha mtuNyota ni tabia iliyo ndani ya mtu. Ni tofauti na kipaji. Mfano, wizi.. Mtu anakuwa mwizi na kizazi chake kina kuwa na tabia/hulka ya wizi na udokozi. Mtu anapozaliwa katika familia ya mtu mfanyabiashara ana uhakika wa kusimamia biashara zake vyema kabisa bila kumsumbua kwa kuwa kuna kitu kimetoka kwa uzao wake.. Kifupi nyota ni tabia tu.
Binafsi siaminiJe unaamini kuwa nyota huibiwa kimuingiliano (Kujamiiana)
Cjawah kuangalia nyota au tabia yangu..Ukiibiwa si ndiyo nyota imefifia?
Ni kitu kimoja
Na zinaa kama zinaa haiwezi kutumika kuiba nyota yako
Ila gharama za guest, pombe na kuhonga ndiyo vinaharibu mafanikio yako (nyota yako)
Sijui namna inavyoibiwa ila lazima kuwepo na nguvu ya shetani. Maana anaweza kua mtoto ana nyota kuliko mzazi wake. Na mzaz akaichukua nyota ya mtoto kwa namna ajuavyo yeye hapo sidhani kama kufanya mapenzi kutahusikaJe unaamini kuwa nyota huibiwa kimuingiliano (Kujamiiana)
Kazi nzuri kwako ni u-nesi, siasa na uandishi wa habariCjawah kuangalia nyota au tabia yangu..
Embu nfanyie feva uniambie nn kinaendelea mkuu
Tarehe 26/6
Kuibiwa ni kuwa huna kabisa. Kufifia ni kuwa nayo lakini imepungua kasi. Mfano (Mimi niliibiwa na nikakutana na mtaalamu akanieleza kuwa Nina nyota ila nyota yangu ni ya kupata na kupoteza.) Just imagine hadi nakwambia ivi nikupe tu mfano ila nateseka kishenzi na hii nyota.Ukiibiwa si ndiyo nyota imefifia?
Ni kitu kimoja
Na zinaa kama zinaa haiwezi kutumika kuiba nyota yako
Ila gharama za guest, pombe na kuhonga ndiyo vinaharibu mafanikio yako (nyota yako)
Kama nyota n tabia ya asili.. haina Haja ya kwenda kwa mganga n mtu bnafsi anaitajka kupambana na nafsi yake ad kuacha kufanya vtu vbaya na kufanya vtu vzuri...Nyota ni tabia iliyo ndani ya mtu. Ni tofauti na kipaji. Mfano, wizi.. Mtu anakuwa mwizi na kizazi chake kina kuwa na tabia/hulka ya wizi na udokozi. Mtu anapozaliwa katika familia ya mtu mfanyabiashara ana uhakika wa kusimamia biashara zake vyema kabisa bila kumsumbua kwa kuwa kuna kitu kimetoka kwa uzao wake.. Kifupi nyota ni tabia tu.
Kazi nzuri kwako ni u-nesi, siasa na uandishi wa habari
Namba zako za bahati ni
2, 7, 11, 16, 20, 25
Kipaji ni kitu ambacho huishi ndani ya mtu bila kupotea. Na nyota huweza kupotea, ni tofautiNyota ndiyo kipaji, ndiyo tabia ya mtu ya kuzaliwa, ndiyo kipawa cha mtu
Ni uwezo wa mtu kutumia akili yake na mwili kufanikiwa katika maisha yake
Je mimi nimekusomea nyota yako?Kuibiwa ni kuwa huna kabisa. Kufifia ni kuwa nayo lakini imepungua kasi. Mfano (Mimi niliibiwa na nikakutana na mtaalamu akanieleza kuwa Nina nyota ila nyota yangu ni ya kupata na kupoteza.) Just imagine hadi nakwambia ivi nikupe tu mfano ila nateseka kishenzi na hii nyota.
Bado hujuwi maana ya nyotaKipaji ni kitu ambacho huishi ndani ya mtu bila kupotea. Na nyota huweza kupotea, ni tofauti
Du.. u-nesi aisee mbona nkionaga wagonjwa waliovunjika nahis kzungungu mwili unaisha nguvu...Kazi nzuri kwako ni u-nesi, siasa na uandishi wa habari
Namba zako za bahati ni
2, 7, 11, 16, 20, 25
NakujibuMkuu kuna jamaa huko mwanzoni aliandika umchekie yeye ni amezaliwa November 22nd. Naona umemruka
Sawa kakaBado hujuwi maana ya nyota
Programming ni lugha inayotumia computer, ndiyo uandishi huo huoDu.. u-nesi aisee mbona nkionaga wagonjwa waliovunjika nahis kzungungu mwili unaisha nguvu...
Siasa .... yan mm sifuatili siasa kabisa sijui hata mkuu wa mkoa wa sasa wa dar ..hahaha itabid n mgugo aisee
Uandishi wa habar... yaa iyo nahisi naweza kufanya nishawahi andika andika vtabu vya story
Ila saiv nafanya sana programming sasa nayo sijui ndo uhandish wa habar
.................
Swali langu
Sasa mkuu hizo namba Za bahat naztumia wap kwenye kubet au kuomba kaz .???
Naztumia wap? Nsaidie hill tu
Sawa bro,Bado hujuwi maana ya nyota
Nikuulize swali, nyota ni nini? Tuanzie apaBado hujuwi maana ya nyota