Wachawi wanavyoiba nyota za watu wanafanyaje?

Wachawi wanavyoiba nyota za watu wanafanyaje?

GODZILLA

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2014
Posts
5,909
Reaction score
10,542
Ni mara kadhaa sasa nimekuwa nikisikia kuhusu habari za nyota.

Hii nyota ni kitu gani haswa? Kwa mfano ukienda kwa mganga anaweza kuiona? Kwa namna gani?

Wengine husema nyota ni vipaji? Hivi vipaji vinaweza kuonekana kwa namna gani na wachawi?

Ni kitu kinachoweza kuonekana umbo lake?

Wachawi wanaibaje nyota? Wanaifanyaje fanyaje mpaka itoke kwako iende kwao?

Wakishaiiba wanaiweka wapi? Wanaipeleka wapi? Kwa ajili ya nini? Wanaweza kuitunza mahali labda? Ni kitu kinachoweza kuhamishika?
 
Kama wanaiba nyota kwanini wasiibe nyota ya rais ili marais watoke vizazi vyao tu?

Kama wanaiba nyota kwanini wasiibe nyota za wanasayansi wagunduzi walioingia kwenye rekodi za dunia ili vizazi vyao viambukizwe uwezo huo wa ugunduzi?

Kama wanaiba nyota vipi nikiwalipa waniibie nyota za Warren Buffet, Amancio Ortega Gaona, Dangote, Messi, Zuckerberg, Bill Gate nk watafanya?

Wanaiba nyota kwa malipo ya mtetea-mweusi? Baghosha!

JPM alitokomeza mauaji ya muda mrefu ya vikongwe wenye macho mekundu na wenye ulemavu wa ngozi.

Sorry for graphic images. Taswira kwa hisani ya google.

1639232176851.png

Ofisi ya wenye biashara ya kuiba nyota.

1639232196443.png

Kiganja cha Albino kikiwa kimekatwa.

1639232224749.png

Albino aliyeuawa Burundi kunyofolewa mguu na mikono na masalia kutelekezwa porini.

Micah.3:2-3 2Who hate the good, and love the evil; who pluck off their skin from off them, and their flesh from off their bones; 3Who also eat the flesh of my people, and flay their skin from off them; and they break their bones, and chop them in pieces, as for the pot, and as flesh within the caldron.
 
Kama wanaiba nyota kwanini wasiibe nyota ya rais ili marais watoke vizazi vyao tu?

Kama wanaiba nyota kwanini wasiibe nyota za wanasayansi wagunduzi walioingia kwenye rekodi za dunia ili vizazi vyao viambukizwe uwezo huo wa ugunduzi?

Kama wanaiba nyota vipi nikiwalipa waniibie nyota za Warren Buffet, Amancio Ortega Gaona, Dangote, Messi, Zuckerberg, Bill Gate nk watafanya?

Wanaiba nyota kwa malipo ya mtetea-mweusi? Baghosha!

JPM alitokomeza mauaji ya muda mrefu ya vikongwe wenye macho mekundu na wenye ulemavu wa ngozi.

Sorry for graphic images. Taswira kwa hisani ya google.

View attachment 2040666

Ofisi ya wenye biashara ya kuiba nyota.

View attachment 2040668

Mkono wa Albino ukiwa umekatwa.

View attachment 2040669
Albino aliyeuawa Burundi kunyofolewa mguu na mikono na masalia kutelekezwa porini.

Micah.3:2-3 2Who hate the good, and love the evil; who pluck off their skin from off them, and their flesh from off their bones; 3Who also eat the flesh of my people, and flay their skin from off them; and they break their bones, and chop them in pieces, as for the pot, and as flesh within the caldron.
Kwahiyo unamaanisha hawawezi kuiba nyota?
 
Ni mara kadhaa sasa nimekuwa nikisikia kuhusu habari za nyota.

Hii nyota ni kitu gani haswa? Kwa mfano ukienda kwa mganga anaweza kuiona? Kwa namna gani?

Wengine husema nyota ni vipaji? Hivi vipaji vinaweza kuonekana kwa namna gani na wachawi?

Ni kitu kinachoweza kuonekana umbo lake?

Wachawi wanaibaje nyota? Wanaifanyaje fanyaje mpaka itoke kwako iende kwao?

Wakishaiiba wanaiweka wapi? Wanaipeleka wapi? Kwa ajili ya nini? Wanaweza kuitunza mahali labda? Ni kitu kinachoweza kuhamishika?
Huku Kinondoni kuna maduka tunaambiwa tuvue viatu tukienda kununua bidhaa
 
Uchawi upo na kweli mtu anaweza kuiba nyota yako kwa kupitia alama za kiganja chako

Umewahi kujiuliza watu wanaoenda kwa waganga kwanini huwa wanaangaliwa viganja vyao?

Ni kwa sababu akiona una bahati anakuibia na usiniulizi kivipi maana mimi sio mchawi na ninayapuuza sana ingawa yapo

Wengine huwa wanakuwa na mikosi na mambo yao hayaendi kwa sababu wako karibu na watu wenye husda na jicho la husda kwani kila unapofanya kitu kinaharibika

Kuanzia biashara, Kazi, Ndoa na hata safari basi ujue kuna mnafiki wa karibu unaemuona ni mzuri kumbe hakutakii Jema lolote na wewe kila jema lako unamwambia halafu linafeli

Ila siku ukimjua na ukimlamba block kwa kila sehemu hata salamu basi mambo yako yatabadilika

Huyo sio anaiba nyota yako hapana anaichoma kabisa [emoji24][emoji24][emoji24]
 
Kama wanaiba nyota kwanini wasiibe nyota ya rais ili marais watoke vizazi vyao tu?

Kama wanaiba nyota kwanini wasiibe nyota za wanasayansi wagunduzi walioingia kwenye rekodi za dunia ili vizazi vyao viambukizwe uwezo huo wa ugunduzi?

Kama wanaiba nyota vipi nikiwalipa waniibie nyota za Warren Buffet, Amancio Ortega Gaona, Dangote, Messi, Zuckerberg, Bill Gate nk watafanya?

Wanaiba nyota kwa malipo ya mtetea-mweusi? Baghosha!

JPM alitokomeza mauaji ya muda mrefu ya vikongwe wenye macho mekundu na wenye ulemavu wa ngozi.

Sorry for graphic images. Taswira kwa hisani ya google.

View attachment 2040666

Ofisi ya wenye biashara ya kuiba nyota.

View attachment 2040668
Mkono wa Albino ukiwa umekatwa.

View attachment 2040669
Albino aliyeuawa Burundi kunyofolewa mguu na mikono na masalia kutelekezwa porini.

Micah.3:2-3 2Who hate the good, and love the evil; who pluck off their skin from off them, and their flesh from off their bones; 3Who also eat the flesh of my people, and flay their skin from off them; and they break their bones, and chop them in pieces, as for the pot, and as flesh within the caldron.
katika utumbo huu ni utumbo wa Mende na nzi, Hao matajiri ulio wataja sio wajinga au vilaza kama unavyowaona , wazito sana hao, Wana Siri nyingi za Dunia, endelea kuwaza ujinga Hivyo Hivyo. Ukinzani umeandika kitu Cha maana kumbe uhalisho
 
*Una nyota ya kuwa mtu maarufu hasa kwa upande wa burudani

*Wewe ni kiongozi

*Unaweza kuwa wa kwanza kwenye chochote kama ukiweza kutambua madhaifu yako na kuyatendea kazi

*Mchawi wako mkubwa anayekuloga ni EGOISM

Nikipata muda nitakuandikia zaidi

Weekend njema kwako
Unajuaje yote haya mkuu?

Kwa mfano nikienda kwa mganga anaweza kuona haya yote?

Yanaonekanaje?
 
Back
Top Bottom