Kwa nini unaongea peke yako barabarani?Wewe ni muhubiri wa injili au kuna masaibu yamekupata?Msiwatumie kisiasa ,asili yao ni Ethiopia kama walivyo waTz wengine wana asili ya uhindini na wengine uarabuni na walio wengi ni kutoka misitu ya Congo ,hii Tanganyika ilikuwa pori tupu ,msikae na kuwadanganya wasiojua historia ya nchi hii na uwepo wake.
Kwahiyo wapewe Waarabu 🤣🤣Wamasai ni wavamizi katika maeneo ya Eneo la crater.
Lissu keshatia timuWamasai ni wavamizi katika maeneo ya Eneo la crater.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Msiwatumie kisiasa ,asili yao ni Ethiopia kama walivyo waTz wengine wana asili ya uhindini na wengine uarabuni na walio wengi ni kutoka misitu ya Congo ,hii Tanganyika ilikuwa pori tupu ,msikae na kuwadanganya wasiojua historia ya nchi hii na uwepo wake.
Lisu hajifunzi wala hana shukurani.Anapenda kutia mguu watu walipotulia.Inakera sana.Ukiwa kiongozi usie na ustahamilivu mara unamp....rs
1-Hajifunzi kipi?Lisu hajifunzi wala hana shukurani.Anapenda kutia mguu watu walipotulia.Inakera sana.Ukiwa kiongozi usie na ustahamilivu mara unamp....rs
Wewe Member ni Kilaza kweli nduguvyangu, Ko ulikua unataka kusemaje labda? Maana bado hujasema na utasema🧐Wamasai ni wavamizi katika maeneo ya Eneo la crater.
Msiwatumie kisiasa ,asili yao ni Ethiopia kama walivyo waTz wengine wana asili ya uhindini na wengine uarabuni na walio wengi ni kutoka misitu ya Congo ,hii Tanganyika ilikuwa pori tupu ,msikae na kuwadanganya wasiojua historia ya nchi hii na uwepo wake.
Na zama hizo Simba na wanyama wengine walijaa na wakipatikana mpaka kwenye fukwe za bahari .
Anahubiri kwa kutumia neno moja kutoka katika rundo la maneno.Sidhani kama anaeleweka.Beating around the bushes.Wewe Member ni Kilaza kweli nduguvyangu, Ko ulikua unataka kusemaje labda? Maana bado hujasema na utasema🧐
Arudi Uko msitu wa kongo au india sijui ethiopia anakokusema aone atakavyotolewa nduki. Chawa tu huyu.Anahubiri kwa kutumia neno moja kutoka katika rundo la maneno.Sidhani kama anaeleweka.Beating around the bushes.
Wewe nyang'au kwa hiyo unataka kusemaje?Wamasai ni wavamizi katika maeneo ya Eneo la crater.
Msiwatumie kisiasa ,asili yao ni Ethiopia kama walivyo waTz wengine wana asili ya uhindini na wengine uarabuni na walio wengi ni kutoka misitu ya Congo ,hii Tanganyika ilikuwa pori tupu ,msikae na kuwadanganya wasiojua historia ya nchi hii na uwepo wake
Na zama hizo Simba na wanyama wengine walijaa na wakipatikana mpaka kwenye fukwe za bahari .
Chizi huyoKwa nini unaongea peke yako barabarani?Wewe ni muhubiri wa injili au kuna masaibu yamekupata?
Hoja yako ni nini hapa dogo?Wamasai ni wavamizi katika maeneo ya Eneo la crater.
Msiwatumie kisiasa ,asili yao ni Ethiopia kama walivyo waTz wengine wana asili ya uhindini na wengine uarabuni na walio wengi ni kutoka misitu ya Congo ,hii Tanganyika ilikuwa pori tupu ,msikae na kuwadanganya wasiojua historia ya nchi hii na uwepo wake.
Na zama hizo Simba na wanyama wengine walijaa na wakipatikana mpaka kwenye fukwe za bahari .
Acha upunguwani! Sasa hao Waarabu wako ndiyo wanaruhusiwa kuishi Adeni!!!Wamasai ni wavamizi katika maeneo ya Eneo la crater.
Msiwatumie kisiasa ,asili yao ni Ethiopia kama walivyo waTz wengine wana asili ya uhindini na wengine uarabuni na walio wengi ni kutoka misitu ya Congo ,hii Tanganyika ilikuwa pori tupu ,msikae na kuwadanganya wasiojua historia ya nchi hii na uwepo wake.
Na zama hizo Simba na wanyama wengine walijaa na wakipatikana mpaka kwenye fukwe za bahari .
Apewe ofa ya kuishi "the Milembe Resort Hotels" kwa miezi angalau sita,anaweza kupata afua na ku-relax.Idadi ya vichaa inazidi kukua
Lissu ajifunzi kipi? Shukrani zipi, atoe kwa nani na kwa lipi?Lisu hajifunzi wala hana shukurani.Anapenda kutia mguu watu walipotulia.Inakera sana.Ukiwa kiongozi usie na ustahamilivu mara unamp....rs