Wachepukaji wengi wana tabia hizi

Wachepukaji wengi wana tabia hizi

1. Hachezi mbali na simu yake kila wakati.[emoji336]

2. Inbox na sent items hufutwa kila wakati.

3. Ukimuomba simu yake ghafla lazima akwambie, "hebu kwanza"

4. Kamwe haiiti kwa mlio, always vibration.

5. Namba nyingi ha-save.

6. Kuna simu hapokei hata iweje. Anapenda sms zaidi

7. Majina mengi kwenye simu yameseviwa kwa majina ya kufikirika.

8. Muda mwingi ni mtu wa kujihami.

9. Anapenda password na anabadili mara kwa mara.

10. Akiazima simu yako, akitumia tu anafuta namba haraka.

11.Always yuko na simu, hadi bafuni ikibidi.

12. Anajazba ukimuuliza chochote kuhusu simu anajishtukia.

13. Akiwa anachati anakuangalia mara kwa mara kiwiziwizi

14. Hana jeuri ya kukuweka profile picture na akikuweka humalizi masaa anakudampu huko

Hapa kuna ukweli asilimia millioni moja kabisa.
ayo matako jau
 
So, mlishaachana?
Mzee baba hakuwa na simu nyingine bali alikuwa anaitumia hiyo hiyo. Michepuko yake yote ilikuwa inanifahamu sema tuu walikuwa wanajua tuna migogoro kiasi kwamba tunakaribia kuachana( ndio anavyowadanganya). Wengine aliwasave majina ya kiume kwahiyo kujua inakuwa ngumu. Wanaume shikamoo jamani [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Siku hizi kuna kuwekwa status halafu unajiview mwenyewe...Kuwekwa dp na status sio kipimo cha kupendwa kabisa.

Huyo sio BAHARIA, kuna chama kimoja cha siri saana ambacho hata uwepo wake umekuwa ni wa kufikirika toka zamani kinaitwa KNIGHT WALKERS.

Hawa wamerithishwa medani za kimataifa za vita kutoka kwa MADINGI wa kale.

MADINGI hawa enzi zao hawakuwa na simu za mkononi, walitumia vimemo wakati wa mafunzo na ukikomaa unakuwa mtu wa KUHESHIMU MUDA SAANA
Mf; Anapeana ahadi ya kuonana na mchepuko saa KUMI KAMILI JIONI basi ujue hapo kuna + au - dakika KUMI. Umechelewa promise inavunjwa.

Na mengineyo meengi, sasa ukijumlisha na zile software wanazotumia siku izi kwenye simu zao ,akitikisa simu tu ina hide private content zoote.
 
Mchumba wangu alikuwa mchepukaji maarufu Africa mashariki na kati lakini hakuwa na tabia hata moja kati ya hizo juu na sikuwahi waza kwamba ana msururu wa wanawake ...hao ni wachepukaji wanaoanza wale makonkodi hawana muda wa kukuangalia kwa kuibia sijui kuweka pasword.
Hiyo misululu nawe ukiwemo uliijuaje sasa mamy[emoji23]
 
Simu yake nilikuwa naishika masaa yote hata ukague hadi setting hukuti chochote....hakuwa na pasword zaidi ya pattern ambayo na mimi nilikuwa naijua profile picture na status nilikuwa najaa tele kama kwangu vile. Inshort hakuwa na trace yoyote ya kukufanya umhisi hata kama anacheat.
Kumbe yeye michepuko yake alikuwa anaiambia kabisa nyumbani kuna mjinga mmoja ambae ikifika saa 2 usiku msinitumie meseji wala kupiga na ikifika asubuhi anavyotoka getini ndio anaanza kuwatafuta siku nzima anachepuka wee nyumbani anarudi clean hana chochote kwenye simu. Utakagua hadi alarm hupati chochote ng'oo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwahiyo ulifanywa mbwinga maana si mjinga ,pole sana
 
Simu yake nilikuwa naishika masaa yote hata ukague hadi setting hukuti chochote....hakuwa na pasword zaidi ya pattern ambayo na mimi nilikuwa naijua profile picture na status nilikuwa najaa tele kama kwangu vile. Inshort hakuwa na trace yoyote ya kukufanya umhisi hata kama anacheat.
Kumbe yeye michepuko yake alikuwa anaiambia kabisa nyumbani kuna mjinga mmoja ambae ikifika saa 2 usiku msinitumie meseji wala kupiga na ikifika asubuhi anavyotoka getini ndio anaanza kuwatafuta siku nzima anachepuka wee nyumbani anarudi clean hana chochote kwenye simu. Utakagua hadi alarm hupati chochote ng'oo

Aiseee
 
Mzee baba hakuwa na simu nyingine bali alikuwa anaitumia hiyo hiyo. Michepuko yake yote ilikuwa inanifahamu sema tuu walikuwa wanajua tuna migogoro kiasi kwamba tunakaribia kuachana( ndio anavyowadanganya). Wengine aliwasave majina ya kiume kwahiyo kujua inakuwa ngumu. Wanaume shikamoo jamani [emoji23][emoji23][emoji23]

Sema mwanaume aliyekuwa wako shikamoo sisi wanaume wengine Maisha yemeshatuchepua mpaka tumemalizwa na kuisha kabisa [emoji30]
 
Back
Top Bottom