Wacheza mieleka ni waigizaji wazuri sana

Wacheza mieleka ni waigizaji wazuri sana

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Mwaka huu nimemuona John Cena kwenye movie mbili. Suicide Squad na vacation friend. Amejitahidi sana bado japo kufikia level za kina The Rock.

Nadhani mchezo wa mieleka unawandaa vema sana hawa jamaa kuea waigizaji. Ni kama training hivi. Maana mtu kama The Rock ni muigizaji mwenye uwezo mkubwa sana, bila shaka John Cena anaenda njia hiyo.
 
John Cena alianza kufanya movie na music mapema sana kabla ya the Rock. Unaikumbuka The Marine ya kwanza.
Pia wengine waliomtangulia the Rock ni pamoja na Rob Van Dam (RVD),
Dave Batista
Stone Cold- Steve Austin
Shawn Michaels alishirikishwa kwenye Texas Ranges ya chuck Noris
Code rodes-star dust
Na wengine wengi
 
Lakini the rock Amekuja kufanya movie full time. Tangu atenguliwe joint na John Cena kwenye Raw main event , mechi ya dk 45 Akaamua kujikita kwenye movie full time.
Pia jamaa anatalent sana ya kuigiza.
 
John Cena alianza kufanya movie na music mapema sana kabla ya the Rock. Unaikumbuka The Marine ya kwanza.
Pia wengine waliomtangulia the Rock ni pamoja na Rob Van Dam (RVD),
Dave Batista
Stone Cold- Steve Austin
Shawn Michaels alishirikishwa kwenye Texas Ranges ya chuck Noris
Code rodes-star dust
Na wengine wengi

Pia Mike The minz akaendelea na The Marine hasa hasa hii nayoikubalig sana The Marine -Moving Target kaperform vizuri
 
Mwaka huu nimemuona John Cena kwenye movie mbili. Suicide Squad na vacation friend. Amejitahidi sana bado japo kufikia level za kina The Rock.

Nadhani mchezo wa mieleka unawandaa vema sana hawa jamaa kuea waigizaji. Ni kama training hivi. Maana mtu kama The Rock ni muigizaji mwenye uwezo mkubwa sana, bila shaka John Cena anaenda njia hiyo.
Sababu wanachofanya pale ulingonj ni uigizaji wa LIVE. Na ndo maana hawapatagi kazi Sana wakihamia tasnia ya uigizaji
 
Sababu wanachofanya pale ulingonj ni uigizaji wa LIVE. Na ndo maana hawapatagi kazi Sana wakihamia tasnia ya uigizaji
Sio mechi zote wanapanga matokeo. Mechi chache hupunguza matokep ili kuhamasisha. Ila nyingi ni kukaza msuli. Kama wrestemenia na Royal Rumble damu lazima imwagike wanatolewaga na machela.
Vinginevyo Nani angekubali kuwafanya wenzake maarufu kila siku apigwe yeye tu. ?uwezo
 
Hii aliicheza sana. John Cena ni muigizaji mzuri sana ila hakupata muda wa kuigiza ila kwasasa atakuwa bora sana.
Triple H kuna movie ya vampire aliigiza km moja ya vampire.
Pia Mike The minz akaendelea na The Marine hasa hasa hii nayoikubalig sana The Marine -Moving Target kaperform vizuri
 
Suicide squad ipi maana naijua ile ya Will Smith, Fireboy, kuna demu na jamaa yake wameigiza kama Joker na Batman yumo?
Mwaka huu nimemuona John Cena kwenye movie mbili. Suicide Squad na vacation friend. Amejitahidi sana bado japo kufikia level za kina The Rock.

Nadhani mchezo wa mieleka unawandaa vema sana hawa jamaa kuea waigizaji. Ni kama training hivi. Maana mtu kama The Rock ni muigizaji mwenye uwezo mkubwa sana, bila shaka John Cena anaenda njia hiyo.
 
Suicide squad ipi maana naijua ile ya Will Smith, Fireboy, kuna demu na jamaa yake wameigiza kama Joker na Batman yumo?
Hii hapa anajiita peacemaker
818KRi8rtnL._SL1500_.jpg
 
Mwaka huu cena ameupiga kwenye fast and furious 9 , suicide squad, na mwakani inakuja series ya peacemaker

Hivi ni Movie au series? sema either way najua sitoipenda tu, sio kwamba niko negative hapana ni intuition tu
 
Mieleka pia ni maigizo, boss. Inawezekana vipi mtu apigwe nyundo ya Triple H na apone.
 
Back
Top Bottom