Wachezaji Bongo waliovuma kwa muda mfupi kisha wakapotea kwenye soka

Edward Christopher wa simba
 
Chibe Chibe Chibindu na SAMSON MWAMWANDA waliisha ndani ya msimu mmoja tu pale Jangwani baada ya kufanywa kitu mbaya na Machupa.
 
 
 
Chibe Chibe Chibindu na SAMSON MWAMWANDA waliisha ndani ya msimu mmoja tu pale Jangwani baada ya kufanywa kitu mbaya na Machupa.
Chibe alienda malizia soka lake bandari ya Mtwara, alikuwa anapiga majalo hadi sio poa. Alikuwa mtaalamu sana wa set pieces hususani kona.
 
Chibe alienda malizia soka lake bandari ya Mtwara, alikuwa anapiga majalo hadi sio poa. Alikuwa mtaalamu sana wa set pieces hususani kona.
Mkuu Unakumbuka kisa cha huyo Mwamba kutemwa Yanga lkn?
 
Chibe Chibe Chibindu na SAMSON MWAMWANDA waliisha ndani ya msimu mmoja tu pale Jangwani baada ya kufanywa kitu mbaya na Machupa.

Daah lile goli lilikuwa hatari sana, Machupa alipokea mpira akiwa kalipa mgongo goli la Utopolo, kisha akafanya turn kama zile za akina Thierry Henry kisha aka-curve mpira wenyewe uswahilini tunaita akazungusha! What a goal! Afu kumbuka hapo shamba la bibi lilijaa tope baada ya mvua kunyesha sana!

Hao akina Mwamanda walistahili tu kutimuliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…