Wachezaji bora wa muda wote kipindi cha miaka 25

Wachezaji bora wa muda wote kipindi cha miaka 25

Kama mesi ulimwangalia dk 90/ uwanjani, hata Pele nimemcheki dk 90/ uwanjani huko you tube ulikosema kuna full match za timu ya taifa ya Brazil enzi hizo.

Kacheki na wewe utajua kwa nini Pele ni king wa soccer duniani mpaka leo
Pelle hajamzidi kitu solanke wa bornomouth
 
Sasa MTU unashindwa kuisaidia nchi yako kwenye match saba tu za kombe la dunia mchukue kombe halafu unamwita mchezaji bora kwa kipindi cha miaka 25 huo ni ujinga, ubora wake uko wapi sasa

Narudia tena messi na ronaldo wa ureno sio wachezaji bora kwa kipindi hicho cha miaka 25
Messi haitaji kuchukua kombe la dunia kuonyesha ubora yeye ni boda kuliko kombe la dunia kweli mashabiki wengi wa Chelsea ni wasukuma alafu empty set
 
Mbona ureno ilibeba euro ikiwa mbovu tu? sasa kama mchezaji bora unashindwa kweli kuonyesha individual skills kuibeba timu na kusingizia eti anaocheza nao wabovu huu ni upuuzi basi tuamini hawezi kucheza timu nyingine tofauti na Barca na pengine hata Uefa hao Barca wasinyakue tena kwa kumtegemea Messi kwani nae anataka wachezaji wa viwango vikubwa awategemee ili yeye aonekane bora (eg. Xavi & Iniesta)
Ureno iliyobeba euro Ronaldo aliisaidia nn?
 
Hawa watu wana sababu za hovyo... Timu ya Messi, di maria, aguero, maxi, zabaleta, otamendi, rojo, higuain, mascherano, dybala n.k unasema ni mbovu?
Inafungwa na timu ya Sanchez, medel, vidal n.k mara 2 fainali?
Tuongelee vingine sio kwa timu nzuri kama argentina
Rojo na higuani ni WACHEZAJI au magunia ya mavi?
 
Katika era ya CR7 na Messi usimuweke Zidane! Utakosea sana!

Zidane awekwe katika era za Ronaldo Lima, Henry, na wengineo bwana Gaucho.

Zidane na bwana Gaucho ni zama za watu wa udambwi udambwi!

Siku hizi ni nadra kuona maudambwi udambwi kama yale, ya kupiga kanzu watu wa 4!

Katika tik taka style ya barca utapiga kanzu watu wa 4 saa ngapi wakati wenzako wanataka pasi mpaka 500 half time tu.

Kwenye hii era ya andunje na Cr7 wawekwe watu ambao ni nguli wa kupiga mabao na watengeneza mabao,

Watu kama Sergio Busquet andaa headline ya kumuweka. Ipe Jina hili hapa Best Offensive Midfielders of all Time.

Hapa utamuweka Fabinho, Ng'olo Kante, Busquet, na wengineo wazee wa kukata umeme.

Mtoa mada umejaribu sana, lakini umefeli kutofautisha aina za hao watu.

Kuna mabenki bora wa kushoto duniani, mawinga bora duniani, na wengine wengi tu.
Mkuu sio Mimi ni jarida limetoa hiyo list kama ulijua ni mm nisamehe bure.
 
Turudi kwenye Post ya mtoa mada mkuu.. Kante anaingia kweli?
Kwa vigezo vyangu vya kombe la dunia anaingia, hapo namwondoa messi na ronaldo kwa sababu hawana uwezo wa kuzipa mataji timu zao za taifa
 
Messi haitaji kuchukua kombe la dunia kuonyesha ubora yeye ni boda kuliko kombe la dunia kweli mashabiki wengi wa Chelsea ni wasukuma alafu empty set
Andunje wako hamna kitu mkuu bila kombe la dunia
 
Kwa vigezo vyangu vya kombe la dunia anaingia, hapo namwondoa messi na ronaldo kwa sababu hawana uwezo wa kuzipa mataji timu zao za taifa
Kante ni mchezaji mpira au ni mjinga tu kante ana nn anachomzidi athuman iddy chuji?
 
Ureno iliyobeba euro Ronaldo aliisaidia nn?
Kama hujui tu Ronaldo ndio alikuwa mchezaji mwenye magoli mengi katikq kikosi chao cha ureno aliyoyafunga akiivusha timu yake kuanzia makundi, hadi fainali ya michuano hiyo
 
Kama hujui tu Ronaldo ndio alikuwa mchezaji mwenye magoli mengi katikq kikosi chao cha ureno aliyoyafunga akiivusha timu yake kuanzia makundi, hadi fainali ya michuano hiyo
Na Messi wakati Argentina inafika fainali WC Messi aliongoza Kwa magori na alikuwa mchezaji Bora wa competition
 
Duh Hamna Deco,Ian Right,Ian Rush,Shearer,Paulo Di Canio,Luis Enrique,Morientes,Ibracadabra,Kaka,Carlos,Stephen Darmat,Oliver Khahn,Jurgen Krinsmann,Zolla, Denilson Play maker, Wanchope, Nevded, Mustapha Hadji,Nuno Gomez balaa, Marcelo Salas,Nteze John Rungu 😁na Wakali kibao ambao humo kwenye list am sure ukiwachukua mmoja mmoja for sure watapigwa chini kwa kura..

Watuwekee na records zao waache kutulisha matango pori
 
Vigezo hamna apo ww unajifunzia mpira timu hiyo hiyo unachezea hiyo hiyo maisha yako yoote unatakiwa utoke tukuone maajabu nje ya alafu ile timu hata ukimpeleka ajibu atakua zaid ya yule kama unabisha kawaulize akina ronadino na etoo ubora upo kati
 
Back
Top Bottom