Wachezaji bora wa muda wote kipindi cha miaka 25

Wachezaji bora wa muda wote kipindi cha miaka 25

Mkuu kama kigezo ni kombe la dunia mbona hujamuweka POGBA, VARANE, MBAPPE, GIROUD, GRIEZMANN, OZIL, KROOS, MULLAR N.K
tuache ushabiki mkuu..sasa KANTE wa nini hapo?
Kante ndio ilikuwa injini ya ufaransa mkuu
Hao wengine walifanya vizuri lakini sio kama Kante
 
bila kombe la dunia anaubora gani.......
Soma hiyoooo


View attachment 1104226View attachment 1104228View attachment 1104229View attachment 1104230View attachment 1104231View attachment 1104232View attachment 1104233
Sihitaji kupoteza muda kwenda kusoma huko, we weka ulichokiona ndio point ya msingi hapa.
Sio kujaza jaza mapicha kibao, ulichokisoma huko nakuona ni pointi ya msingi kwako iweke hapa tueleweshane.
 
Mbona ureno ilibeba euro ikiwa mbovu tu? sasa kama mchezaji bora unashindwa kweli kuonyesha individual skills kuibeba timu na kusingizia eti anaocheza nao wabovu huu ni upuuzi basi tuamini hawezi kucheza timu nyingine tofauti na Barca na pengine hata Uefa hao Barca wasinyakue tena kwa kumtegemea Messi kwani nae anataka wachezaji wa viwango vikubwa awategemee ili yeye aonekane bora (eg. Xavi & Iniesta)
Jamaa yangu naona unataka kunisumbua tu, tatizo la argentina halikuwa mchezaji mmoja mmoja ila ni timu nzima.

Hivi ureno ingefeli ile fainali ronaldo angekuwa mbovu kisa hajabeba ndoo juhudi zote za kuwafikisha fainali zingekuwa bure, 2014,15 na 16 zote hizo messi kawafikisha waargentina timu inafungwa fainali 3, sasa unasemaje hajaupiga mwingi national team..
Kubeba ndoo katika fainali majaliwa, modric 2018 kaupiga mwingi kafungwa fainali ila walitambua mchango wake hadi wakampa tuzo ya mchezaji bora wa mashindano.
 
Kacheza santos alafu wanamringanisha na Messi ambai amekuwa bora kwa miaka 11 na zaidi [emoji23][emoji23][emoji23]

Eti ana 3 world cup wakt ile ilikuwa ni tim work, 1963 kama ckosei hakucheza baadhi ya mechi mpaka final brazil inachukua ubingwa pele hakucheza.
Wewe pele hujamfatilia wala humjui, tubaki tu kwa messi.

Huko santos kafanya makubwa national team pia usisikie.. Game 14 za world cup goli 10 assist karibia 12.
58 wakat ana miaka 18 anafunga hat trick nusu fainali, goli moja inapigwa krosi anauwa kifuani, anampiga beki darizi ndani ya box, anaweka kimiani fainali anaweka.

62 ndio aliumia mchezo wa mwanzo wenzake wakaenda kubeba ndoo, pele alikuwa akichezewa faulo heavy
66, aliumia mapema ikapelekea kusema hatocheza tena kombe la dunia sababu ya faulo nzito walizokuwa wanamchezea matokeo yake fainali za mwaka 70 fifa wakaanzisha kadi nyekundu.
Hyo 63 unayoisemea ww hakukuwepo na world cup, ila kulikuwa na club world cup na santos ikabeba nadhani waliwatungua ac milan ama benfica ya kina eusebio..

Pele alikuwa mchezaji mkamilifu zaidi, nikimtizama pele namuona messi na cr7 ndani ya mtu mmoja
Alikuwa na skills za hali ya juu
Alikuwa ana stamina, ana balance
Ball controll kiwango cha lami
Anapiga miguu yote
Mpigaji mzuri wa freekicks
Baada ya juninho perambucano mwenye goli 77 za freekick ni Pele ambae anafatia kwa kuwa na goli 66 za free kicks

Leo niachie kwa hapo.
 
Valencia ya Pablo Aimar ilienea haswa. Golini unamkuta mzee mzima na bleach yake, Santiago Canizares.

Pia walikuwepo waargentina wengine kama Roberto Ayala huyu bila shaka ndio alikuwa anavaa kitambaa, Maurizio Pellegrin ambaye msimu uliopita alikuwa kocha wa Southampton.

Bila kumsahau Mohamed Momo Sissoko, kiungo mkabaji kutoka Mali ambapo baadae alikwenda Liverpool. Pia kulikuwa na beki chipukizi Raul Abiol ambaye baadae alienda kukipiga Real Madrid na kisha Napoli.

Hiko kikosi chini ya kocha mpambanaji Rafa Benitez kilitwaa ubingwa wa La Liga msimu 2003/2004 na kuushangaza ulimwengu na pia kujifuta machozi baada ya misimu miwili kabla ya hapo kufungwa Fainali ya mbili mfululizo za Uefa Champions League kama ambavyo itaenda kutokea kwa Liverpool msimu huu.

Hakika Valencia walikuwa na timu nzuri sana iliyokuwa na mchanganyiko mzuri wa wachezaji.
Valencia hii ililuwa imetulia zaidi.
 
Kuna George Haghi, Andre Pirlo, George Weah, Hirsto yule Mbulgaria, David Beckham, jurgen Klinsman, Golikipa wa Ujerumani maajabu jina limenitoka, samuel Eto, Phillip Lahm, Hernandez Crespo, Sergio Aguero, Steven Gerad, Jonh Terry, Wayne Rooney,Denis Bergkamp, Pavel Nedved, na wengine wengi sana kila mchezaji ana ladha yake
Naam
 
Mzee mwenzangu hiyo si sababu

Andunje mchezaji bora wa kizazi hiki kacheza spain tu ila kawashikisha adabu waingereza, wajeruman na waitaliank

Same to faza pele, kafunga timu za ulaya kama hana akili nzuri kichwani
Vijana walinichanganya kidogo, baada ya kuona wanamponda sana Messi na mimi nikaamua nijitoe ufahamu kidogo.
 
Huyu jamaa basi tu, vizazi vya dot com hawamjui ila alikuwa fundi tena fundi haswaa!!
Ni kwel mkuu, mimi licha ya kuwa Man Utd lakini huwa namkubali sana fundi huyu licha ya kuwa alichezea kwa mahasimu wetu wa miaka ile Arsenal.

Mimi huwa nawaambia vijana, kama hukuwahi kumuona Bergkamp akicheza basi mtazame Berbatov walau kwa uchache sana alikuwa anafanana nae kwa staili ya uchezaji.
 
Sihitaji kupoteza muda kwenda kusoma huko, we weka ulichokiona ndio point ya msingi hapa.
Sio kujaza jaza mapicha kibao, ulichokisoma huko nakuona ni pointi ya msingi kwako iweke hapa tueleweshane.

hapa kwani tuition mkuu, kama huwezi kusoma na kufanya tathmini yanini ulete ujuaji.Pathetic
 
Sasa kamzid kisa umeona hako kalist au?
Ndani ya hiyo miaka 9 Ronaldo akiwa la liga kabeba uefa ngapi na Messi kabeba ngapi?
Ndani ya hiyo miaka 9 Messi kashinda taji gani na timu yake ya taifa compared na Ronaldo
Halafu unaposema individuals trophies huku hajawahi vaa uzi mwengne tofauti na wa Barca na akivaa mwengine basi ni wa Argentina ambako hana hata kikombe cha kuku halafu unasema anaongoza magoli mengi kufunga national team, jiulize anafunga wakati gani? why awe na magoli mengi argentina with no trophy?

Messi ana World Cup ya Argentina under 17 mkuu, msiwe mna hate hivyo man, kama mashindano magumu kuliko yote kacheza finali World cup ambayo Ronaldo hawez kucheza mpaka anakufa and narudia tena Messi ana individual awards nyingi kuliko Ronaldo na anaenda kuchukua balondor ya sita sasa nan mkubwa kwenye mpira ? juzi wachambuzi wametoa top 25 ya All time soccer players, japokuwa wachambuzi tofauti wameweka listi zao tofauti kila mtu akisema lake lakin kwenye hizi list kuna kitu kimoja ambacho ni common ambacho ni "NON OF ALL THOSE LIST RONALDO IS ABOVE MESSI" unafikiri kwanini na pamoja kuwa unasema sijui champions league sijui nini, Kwanini watu wote walotoa list Messi yupo juu ya Ronaldo ?...Walipigiana simu ?
 
Vijana walinichanganya kidogo, baada ya kuona wanamponda sana Messi na mimi nikaamua nijitoe ufahamu kidogo.
Hahaa!!

Sawa mzee mwenzangu hawa vijana wamejaa uzandiki, huwezi kumkataa mtu kama andunje hata kidogo, ndio best player ever kwa kizazi hiki
 
Ni kwel mkuu, mimi licha ya kuwa Man Utd lakini huwa namkubali sana fundi huyu licha ya kuwa alichezea kwa mahasimu wetu wa miaka ile Arsenal.

Mimi huwa nawaambia vijana, kama hukuwahi kumuona Bergkamp akicheza basi mtazame Berbatov walau kwa uchache sana alikuwa anafanana nae kwa staili ya uchezaji.
Non flying Dutchman

Arsenal yangu haijapata tena mtu kama huyu, tunabaki tunajiliwaza tu.
Nikitizama goli anawafunga newcastle,goli anawafunga argentina robo fainali world cup dah!! Na mengine mengi nasikitika kwanini miaka inaenda mbele, jamaa alikuwa na jicho na soft touches za ajabu sijapata kuona.
 
Hawa watu wana sababu za hovyo... Timu ya Messi, di maria, aguero, maxi, zabaleta, otamendi, rojo, higuain, mascherano, dybala n.k unasema ni mbovu?
Inafungwa na timu ya Sanchez, medel, vidal n.k mara 2 fainali?
Tuongelee vingine sio kwa timu nzuri kama argentina
Mkuu kwako ww timu nzuri ni ipi yenye majina makubwa eeh!! Mpira hauko hivyo timu inahitaji muunganiko mzuri kwa wachezaji mpaka kocha!
Real madrid ya 2002 mpaka 2006 galacticos kibao ila uefa kwenye bomba
Brazil world cup 2006 tena gaucho kwenye peak yake, katoka kutusambaratisha arsenal uefa, Ricardo kaka na wengine vipi walishindwa nini kuonja hata fainali
Spain 2014,2018
Vipi wajerumani mwaka jana nao!!?

Mpira sio kuwa na michezaji ya majina makubwa tu.

Leicester city alitwaa ndoo ya epl bila hayo majina makubwa.
 
G.O.A.T
1558434599834.jpeg
 
Back
Top Bottom