eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,379
Kante ndio ilikuwa injini ya ufaransa mkuuMkuu kama kigezo ni kombe la dunia mbona hujamuweka POGBA, VARANE, MBAPPE, GIROUD, GRIEZMANN, OZIL, KROOS, MULLAR N.K
tuache ushabiki mkuu..sasa KANTE wa nini hapo?
Hao wengine walifanya vizuri lakini sio kama Kante