Pelle hajamzidi kitu solanke wa bornomouthKama mesi ulimwangalia dk 90/ uwanjani, hata Pele nimemcheki dk 90/ uwanjani huko you tube ulikosema kuna full match za timu ya taifa ya Brazil enzi hizo.
Kacheki na wewe utajua kwa nini Pele ni king wa soccer duniani mpaka leo
Messi haitaji kuchukua kombe la dunia kuonyesha ubora yeye ni boda kuliko kombe la dunia kweli mashabiki wengi wa Chelsea ni wasukuma alafu empty setSasa MTU unashindwa kuisaidia nchi yako kwenye match saba tu za kombe la dunia mchukue kombe halafu unamwita mchezaji bora kwa kipindi cha miaka 25 huo ni ujinga, ubora wake uko wapi sasa
Narudia tena messi na ronaldo wa ureno sio wachezaji bora kwa kipindi hicho cha miaka 25
Ureno iliyobeba euro Ronaldo aliisaidia nn?Mbona ureno ilibeba euro ikiwa mbovu tu? sasa kama mchezaji bora unashindwa kweli kuonyesha individual skills kuibeba timu na kusingizia eti anaocheza nao wabovu huu ni upuuzi basi tuamini hawezi kucheza timu nyingine tofauti na Barca na pengine hata Uefa hao Barca wasinyakue tena kwa kumtegemea Messi kwani nae anataka wachezaji wa viwango vikubwa awategemee ili yeye aonekane bora (eg. Xavi & Iniesta)
Rojo na higuani ni WACHEZAJI au magunia ya mavi?Hawa watu wana sababu za hovyo... Timu ya Messi, di maria, aguero, maxi, zabaleta, otamendi, rojo, higuain, mascherano, dybala n.k unasema ni mbovu?
Inafungwa na timu ya Sanchez, medel, vidal n.k mara 2 fainali?
Tuongelee vingine sio kwa timu nzuri kama argentina
Mkuu sio Mimi ni jarida limetoa hiyo list kama ulijua ni mm nisamehe bure.Katika era ya CR7 na Messi usimuweke Zidane! Utakosea sana!
Zidane awekwe katika era za Ronaldo Lima, Henry, na wengineo bwana Gaucho.
Zidane na bwana Gaucho ni zama za watu wa udambwi udambwi!
Siku hizi ni nadra kuona maudambwi udambwi kama yale, ya kupiga kanzu watu wa 4!
Katika tik taka style ya barca utapiga kanzu watu wa 4 saa ngapi wakati wenzako wanataka pasi mpaka 500 half time tu.
Kwenye hii era ya andunje na Cr7 wawekwe watu ambao ni nguli wa kupiga mabao na watengeneza mabao,
Watu kama Sergio Busquet andaa headline ya kumuweka. Ipe Jina hili hapa Best Offensive Midfielders of all Time.
Hapa utamuweka Fabinho, Ng'olo Kante, Busquet, na wengineo wazee wa kukata umeme.
Mtoa mada umejaribu sana, lakini umefeli kutofautisha aina za hao watu.
Kuna mabenki bora wa kushoto duniani, mawinga bora duniani, na wengine wengi tu.
Kwa vigezo vyangu vya kombe la dunia anaingia, hapo namwondoa messi na ronaldo kwa sababu hawana uwezo wa kuzipa mataji timu zao za taifaTurudi kwenye Post ya mtoa mada mkuu.. Kante anaingia kweli?
Andunje wako hamna kitu mkuu bila kombe la duniaMessi haitaji kuchukua kombe la dunia kuonyesha ubora yeye ni boda kuliko kombe la dunia kweli mashabiki wengi wa Chelsea ni wasukuma alafu empty set
Sasa unatuletea habari za majarida hapa, hizo ni mawazo yao sio uhalisia wa mambo ulivyoMkuu sio Mimi ni jarida limetoa hiyo list kama ulijua ni mm nisamehe bure.
Kama hujui tu Ronaldo ndio alikuwa mchezaji mwenye magoli mengi katikq kikosi chao cha ureno aliyoyafunga akiivusha timu yake kuanzia makundi, hadi fainali ya michuano hiyoUreno iliyobeba euro Ronaldo aliisaidia nn?
Na Messi wakati Argentina inafika fainali WC Messi aliongoza Kwa magori na alikuwa mchezaji Bora wa competitionKama hujui tu Ronaldo ndio alikuwa mchezaji mwenye magoli mengi katikq kikosi chao cha ureno aliyoyafunga akiivusha timu yake kuanzia makundi, hadi fainali ya michuano hiyo
Na kuchukua nn? tena akicheza dk zote 90Na Messi wakati Argentina inafika fainali WC Messi aliongoza Kwa magori na alikuwa mchezaji Bora wa competition
Kila kikosi cha taifa lao wamo... wewe unawakataaRojo na higuani ni WACHEZAJI au magunia ya mavi?
Wachambuzi wenzangu uchwara njooni tuijadili hii listView attachment 1102208View attachment 1102209