Iniesta au Xavi ndio ampishe Raul... mkuu achana na Chogo kabisa.Raul Gonzalez aingie nafasi ya Thiery kwenye Top 10, Thiery asogee list ya chini.
Makelele pia anaingia kwenye list ya 11-20, anaweza kumtoa kiungo yeyote hapo.
Wapi Alessandro Diel Piero?Wapi Andrea Pirlo?
Wapi Marcelo?
Wapi Roberto Carlos?
Wapi Inzagi Pippo?
Wapi Raul Gonzalez?
Wapi Didie Drogba?
Wapi Bergkamp?
Wapi Oliver Kahn?
Wapi Samuel Etoo?
Wapi David Beckham?
Wapi Claudio Makelele?
ni WIVU tuUpo sahihi. ... BTW ubora wa mchezaji ni mchango wake ktk achievements za timu yake na timu ya Taifa lake ...... huyo mpiga vyenga wa Nou camp mnamu-overrate
Mess ukilinganisha na ao wanao mfuata kwenye mtiriliko wako wa maandishi yeye anatakiwa kuwa wa mwisho kwakua yeye mafanimio yake yamejikita kwenye klabu yake ya Barca na si zaid ya apo. Wenzake wanao mfuatia wamefanikiwa kwenye klabu na timu zao za taifa.Wachambuzi wenzangu uchwara njooni tuijadili hii listView attachment 1102208View attachment 1102209
Kuna ugonjwa MBAYA sana wa kisaikolojia humpata mwanadamu mwenye moyo dhaifu, ukamkarahisha ndani yake hali asijue kuwa ANAUMWA... kumnunia mtu aliyefanikiwa. Utajiudhi bure ndugu yangu, Lionel Messi ni suala Mtambuka.Upo sahihi. ... BTW ubora wa mchezaji ni mchango wake ktk achievements za timu yake na timu ya Taifa lake ...... huyo mpiga vyenga wa Nou camp mnamu-overrate
Yes, hajawa tested... lkn amezitest almost all big clubs 😀😀😀Messi never been tested or exposed. ..... alianzia maisha ya mpira Barca na sasa yupo ukingoni huko huko...... kama anashindwa ku convert vitu anavyovifanya uwanjani to trophies ...... He's useless ...Vitu
Huu mwaka wa 4 unapita Barca bila kombe lolote la maana nje ya kombe la nyumbani.... means miaka minne Messi akiwa kwenye peak hajawa msaada kwa timu yake....Kuna ugonjwa MBAYA sana wa kisaikolojia humpata mwanadamu mwenye moyo dhaifu, ukamkarahisha ndani yake hali asijue kuwa ANAUMWA... kumnunia mtu aliyefanikiwa. Utajiudhi bure ndugu yangu, Lionel Messi ni suala Mtambuka.
Hebu jisome wewe mwenyewe jinsi unavyojikera kwa kujikanyagakanyaga na maneno ya kuokota okota! Unasema ubora wa mchezaji ni mchango wake katika achievements za timu yake na taifa lake, JE, umeshaiona Barcelona inavyocheza bila Messi? JE, unafamu kuwa Lionel Messi ndio ALL TIME SCORER wa Argentina na ana ndio anayeongoza pia kwa uwiano wa goals/match?
Utajikwaza bureee, mtu anayepiga FREE KICK inakwenda straight wavuni, bado unahoji his personal brilliance kwa sababu za kuunga unga? Unachekesha we jamaa
Kile kitendo tu cha wewe kufikiri kuwa ndani ya miaka 4 ANAWIWA kushinda trophy fulani tayari ni indication kuwa tunamzungumzia MTU FULANI MAALUM. Labda nikuulize, kwani Messi ni timu au ni mchezaji?Huu mwaka wa 4 unapita Barca bila kombe lolote la maana nje ya kombe la nyumbani.... means miaka minne Messi akiwa kwenye peak hajawa msaada kwa timu yake....
Hii kupiga vyenga na kufunga ktk ligi dhaifu ya nyumbani haimfanyi awe bora.
Mapenzi yakizidi huleta upofu .
marcelo kafanya nini cha ajabu mzeeWapi Andrea Pirlo?
Wapi Marcelo?
Wapi Roberto Carlos?
Wapi Inzagi Pippo?
Wapi Raul Gonzalez?
Wapi Didie Drogba?
Wapi Bergkamp?
Wapi Oliver Kahn?
Wapi Samuel Etoo?
Wapi David Beckham?
Wapi Claudio Makelele?
Busquet, Modric, Rooney wamefanya maajabu gani?marcelo kafanya nini cha ajabu mzee
Ronaldo hastahili..? Ila XAVI+INIESTA ndio wanastahili sio?Ronald wa pili? Kweli Luna vituko duniani
Huyu mbuzi hata topten hastahili
lakini wote hoa ni bora zaidi ya MarceloBusquet, Modric, Rooney wamefanya maajabu gani?
Hapo kwa Busquet bora angekaa Sergio Ramos... au beki hazijui gozi?lakini wote hoa ni bora zaidi ya Marcelo
hawa wanacheza namba tofauti.. mkuu! labdo Kroos au MakeleleHapo kwa Busquet bora angekaa Sergio Ramos... au beki hazijui gozi?
Swala la namba na ubora ni tofauti mkuu.. ndio maana yupo Cannavaro lakin Beckham hayumo.hawa wanacheza namba tofauti.. mkuu! labdo Kroos au Makelele
Wachambuzi wenzangu uchwara njooni tuijadili hii listView attachment 1102208View attachment 1102209