Wachezaji bora wa muda wote kipindi cha miaka 25

Raul Gonzalez aingie nafasi ya Thiery kwenye Top 10, Thiery asogee list ya chini.

Makelele pia anaingia kwenye list ya 11-20, anaweza kumtoa kiungo yeyote hapo.
cha ajabu sergio bosquet yupo kwenye list halafu mafundi kama vile pavel nedved, manuel rui costa, super frank lampard, clarence sedoff hawaonekani
rubbish
 
Messi never been tested or exposed. ..... alianzia maisha ya mpira Barca na sasa yupo ukingoni huko huko...... kama anashindwa ku convert vitu anavyovifanya uwanjani to trophies ...... He's useless ...Vitu
Haya ni mambo ambayo hayana nguvu saana, hata kama kacheza timu moja still uwezo wake uwanjani umeonekana!! De lima na ufundi wake wote ucl ameisikia kwenye redio tu, George opong weah!! Muafrika pekee mwenye tuzo ya mchezaji bora wa dunia kombe la afrika tu kaishia kuliona kwa tv!!

Mpira c mchezo wa mtu m1 mkuu, ulitegemea messi afanye nini km kocha national team anaita kikosi kibovu mara, apange hovyo..
Hata kina pele,kina maradona na wengineo hawakufanya maajabu pekee yao

Kwangu messi ataendelea kuwa bora kwa ule mchezo safu aliopata kuonesha!!
 
cha ajabu sergio bosquet yupo kwenye list halafu mafundi kama vile pavel nedved, manuel rui costa, super frank lampard, clarence sedoff hawaonekani
rubbish

Unazi ndiyo chanzo cha yote haya.

Na mitazamo binafsi pia, swala la Nedved, Seadorf, Edgar Davids, Christian Vierri, Raul Gonzalez na Oliver Kahn kutokuwemo ni very debatable.
 
Eti anamulinganisha busquets na mitumba sedofu lampad na Gerrard ni ugonjwa Kwa kukatwa mikia huu
Mkuu mie sitaki kujiingiza kwenye kupinga listi!! Wala sisemi busquets ni mbovu,

Ila ni tusi kubwa kwa mtu clarence seerdorf na mr livepool, captain himself bwana Steven Gerrard!!
Hizi ni dharau kubwa kwa ulimwengu wa soka..

Nakuomba utengue kauli, huyu gerrard kilichomponza sijui ni taifa lake bovu, gerrard alikuwa mtu hatari saana kaupiga mwingi, seerdorf ndio kabisa sipati kukuelezea, kaondoka na mpira wake.

Tengua kauli.
 
Messi never been tested or exposed. ..... alianzia maisha ya mpira Barca na sasa yupo ukingoni huko huko...... kama anashindwa ku convert vitu anavyovifanya uwanjani to trophies ...... He's useless ...Vitu
How many trophies do he have!!!talk with fact bro na how many individual awards he got? Ukijibu utakuwa umejuw how is he a [emoji238][emoji238][emoji238]
 
Nilikua nakuja mkuu tuchambue lakin hilo neno uchwara limenistopisha maana mm sio mchambuzi uchwara
 
Wakuitwa thierry henry kichogo!! Acha kabisa huyu kiumbe baada ya ronaldo de lima kwa kizazi hicho basi th14 ndio anafata kwa uhataru na ubora.

Hahaha, nakupata mkuu.

Ila kiukweli hii list namba 5 za juu naona ndizo hazina ubishi sana, wengine wanaofata tukianza kubishana tutakesha.
 
Waliotoa hiyo orodha hawajatenda haki
Wapi Andrea Pirlo?
Wapi Marcelo?
Wapi Roberto Carlos?
Wapi Inzagi Pippo?
Wapi Raul Gonzalez?
Wapi Didie Drogba?
Wapi Bergkamp?
Wapi Oliver Kahn?
Wapi Samuel Etoo?
Wapi David Beckham?
Wapi Claudio Makelele?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…