Wachezaji bora wa muda wote kipindi cha miaka 25

Wachezaji bora wa muda wote kipindi cha miaka 25

Kama kuna mchezaji hapo hajaibeba nchi yake mgongoni kutwaa kombe la dunia, huyo sio mchezaji bora!!!

King wa soccer atabaki kuwa PELE wa Brazil
Haters Pele aliyekuwa anacheza mechi kila siku Hana cha kucheza kila weekend
 
Haters Pele aliyekuwa anacheza mechi kila siku Hana cha kucheza kila weekend

Muurize alimuona uyo pele live? Kuhusu makombe ile ilikuwa ni team work na sio juhudi zake kama ambavyo tunamuona Messi akiibeba timu.
 
Kama kuna mchezaji hapo hajaibeba nchi yake mgongoni kutwaa kombe la dunia, huyo sio mchezaji bora!!!

King wa soccer atabaki kuwa PELE wa Brazil

Ulimshuhudia live uyo pele wako? Kuhusu makombe ile ilikuwa ni team work bwana mdogo.
 
Pele ambaye hakucheza Ulaya

Kacheza santos alafu wanamringanisha na Messi ambai amekuwa bora kwa miaka 11 na zaidi 😂😂😂

Eti ana 3 world cup wakt ile ilikuwa ni tim work, 1963 kama ckosei hakucheza baadhi ya mechi mpaka final brazil inachukua ubingwa pele hakucheza.
 
Valencia ya Pablo Aimar ilienea haswa. Golini unamkuta mzee mzima na bleach yake, Santiago Canizares.
Pia walikuwepo waargentina wengine kama Roberto Ayala huyu bila shaka ndio alikuwa anavaa kitambaa, Maurizio Pellegrin ambaye msimu uliopita alikuwa kocha wa Southampton.
Bila kumsahau Mohamed Momo Sissoko, kiungo mkabaji kutoka Mali ambapo baadae alikwenda Liverpool. Pia kulikuwa na beki chipukizi Raul Abiol ambaye baadae alienda kukipiga Real Madrid na kisha Napoli.
Hiko kikosi chini ya kocha mpambanaji Rafa Benitez kilitwaa ubingwa wa La Liga msimu 2003/2004 na kuushangaza ulimwengu na pia kujifuta machozi baada ya misimu miwili kabla ya hapo kufungwa Fainali ya mbili mfululizo za Uefa Champions League kama ambavyo itaenda kutokea kwa Liverpool msimu huu.
Hakika Valencia walikuwa na timu nzuri sana iliyokuwa na mchanganyiko mzuri wa wachezaji.

Shukurani sana mkuu kwa kumbukumbu nzuri, kulikua na Killy Gonzalez, wakina John Carew nadhan walipita baadae
 
Ivi kuna kiungo mkabaji fundi kama busquet dunia hii embu uwage unamuangalia Kwa umakini uyo king of disguise passes
Hv ni Busquet baba yake au huyu kijana anaecheza mpaka sasa?.. kama ni huyu wa sasa tuache mahaba hafai kuwepo.
Kuna Seedorf, Makelele, Nedved, Okocha, Carlos.
 
Messi never been tested or exposed. ..... alianzia maisha ya mpira Barca na sasa yupo ukingoni huko huko...... kama anashindwa ku convert vitu anavyovifanya uwanjani to trophies ...... He's useless ...Vitu
Trophies zipi unazozitaka?
Afu tuache ushamba kua mtu kucheza timu moja ko sio mchezaji.
Hivi hii kauli ipo kwa Messi tu? Mbona Pele alicheza timu moja tu lakini bdo mnamsifu kua ni mchezaji bora?
 
Muurize alimuona uyo pele live? Kuhusu makombe ile ilikuwa ni team work na sio juhudi zake kama ambavyo tunamuona Messi akiibeba timu.
Kwanza Pelle sio wa miaka 25 iliyopita... ukisema makombe ni timu work uko sawa kabisa lakin uwezo wa mtu mmoja mmoja ndio unafanya tunawataja hapa.
Hatutaji timu nzima sababu ya uwezo binafsi wa mtu husika.. Kwani Argentina hawana timu work..? wanafikaje fainali sasa?
 
Trophies zipi unazozitaka?
Afu tuache ushamba kua mtu kucheza timu moja ko sio mchezaji.
Hivi hii kauli ipo kwa Messi tu? Mbona Pele alicheza timu moja tu lakini bdo mnamsifu kua ni mchezaji bora?
Hao hawana point..
 
Kacheza santos alafu wanamringanisha na Messi ambai amekuwa bora kwa miaka 11 na zaidi [emoji23][emoji23][emoji23]

Eti ana 3 world cup wakt ile ilikuwa ni tim work, 1963 kama ckosei hakucheza baadhi ya mechi mpaka final brazil inachukua ubingwa pele hakucheza.
Ilikuwa ni Kombe la Dunia la mwaka 1962 ambapo michuano ilipigwa pale Chile, mechi ya kwanza tu Pele anaumia. Garrincha anaibeba Brazil kwenye makwapa yake mpk fainali ambapo Pele ndio anarejea.

Na kudhihirisha hilo, Garincha ndio akawa Mchezaji bora wa mashindano. Sema tu dunia haijawahi kumtambua Garincha licha ya kusifiwa na kuchukuliwa kuwa mmoja wa wakokota mpira bora zaidi katika historia ya mchezo huo.
 
Messi never been tested or exposed. ..... alianzia maisha ya mpira Barca na sasa yupo ukingoni huko huko...... kama anashindwa ku convert vitu anavyovifanya uwanjani to trophies ...... He's useless ...Vitu

Unataka trophies gani tena ? Why do you guys hate this man to this extent ? Do you think he landed five balondors just like that ? and he is going for the six one...jaman punguzen roho ya wivu na vitu kama hivyo, mpira unachezwa popote aisee...Mnataka afanyaje ?
 
Back
Top Bottom