eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,379
Kante ndio ilikuwa injini ya ufaransa mkuuMkuu kama kigezo ni kombe la dunia mbona hujamuweka POGBA, VARANE, MBAPPE, GIROUD, GRIEZMANN, OZIL, KROOS, MULLAR N.K
tuache ushabiki mkuu..sasa KANTE wa nini hapo?
Turudi kwenye Post ya mtoa mada mkuu.. Kante anaingia kweli?Kante ndio ilikuwa injini ya ufaransa mkuu
Hao wengine walifanya vizuri lakini sio kama Kante
Upuuzi wa kiwango cha sirikali ya awamu fulani katika nchi fulaniTeam inategemea mascherano atoe assist si upuuzi huo
Sihitaji kupoteza muda kwenda kusoma huko, we weka ulichokiona ndio point ya msingi hapa.bila kombe la dunia anaubora gani.......
Soma hiyoooo
Why does Messi always vomit before big matches?
Everything that FC Barcelona’s medical staff does not know yet. It is common knowledge nowadays that Messi vomits regularly before big matches. Yet Messiwww.starecta.com
View attachment 1104226View attachment 1104228View attachment 1104229View attachment 1104230View attachment 1104231View attachment 1104232View attachment 1104233
Jamaa yangu naona unataka kunisumbua tu, tatizo la argentina halikuwa mchezaji mmoja mmoja ila ni timu nzima.Mbona ureno ilibeba euro ikiwa mbovu tu? sasa kama mchezaji bora unashindwa kweli kuonyesha individual skills kuibeba timu na kusingizia eti anaocheza nao wabovu huu ni upuuzi basi tuamini hawezi kucheza timu nyingine tofauti na Barca na pengine hata Uefa hao Barca wasinyakue tena kwa kumtegemea Messi kwani nae anataka wachezaji wa viwango vikubwa awategemee ili yeye aonekane bora (eg. Xavi & Iniesta)
Wewe pele hujamfatilia wala humjui, tubaki tu kwa messi.Kacheza santos alafu wanamringanisha na Messi ambai amekuwa bora kwa miaka 11 na zaidi [emoji23][emoji23][emoji23]
Eti ana 3 world cup wakt ile ilikuwa ni tim work, 1963 kama ckosei hakucheza baadhi ya mechi mpaka final brazil inachukua ubingwa pele hakucheza.
Mzee mwenzangu hiyo si sababuPele ambaye hakucheza Ulaya
Valencia hii ililuwa imetulia zaidi.Valencia ya Pablo Aimar ilienea haswa. Golini unamkuta mzee mzima na bleach yake, Santiago Canizares.
Pia walikuwepo waargentina wengine kama Roberto Ayala huyu bila shaka ndio alikuwa anavaa kitambaa, Maurizio Pellegrin ambaye msimu uliopita alikuwa kocha wa Southampton.
Bila kumsahau Mohamed Momo Sissoko, kiungo mkabaji kutoka Mali ambapo baadae alikwenda Liverpool. Pia kulikuwa na beki chipukizi Raul Abiol ambaye baadae alienda kukipiga Real Madrid na kisha Napoli.
Hiko kikosi chini ya kocha mpambanaji Rafa Benitez kilitwaa ubingwa wa La Liga msimu 2003/2004 na kuushangaza ulimwengu na pia kujifuta machozi baada ya misimu miwili kabla ya hapo kufungwa Fainali ya mbili mfululizo za Uefa Champions League kama ambavyo itaenda kutokea kwa Liverpool msimu huu.
Hakika Valencia walikuwa na timu nzuri sana iliyokuwa na mchanganyiko mzuri wa wachezaji.
NaamKuna George Haghi, Andre Pirlo, George Weah, Hirsto yule Mbulgaria, David Beckham, jurgen Klinsman, Golikipa wa Ujerumani maajabu jina limenitoka, samuel Eto, Phillip Lahm, Hernandez Crespo, Sergio Aguero, Steven Gerad, Jonh Terry, Wayne Rooney,Denis Bergkamp, Pavel Nedved, na wengine wengi sana kila mchezaji ana ladha yake
Huyu jamaa basi tu, vizazi vya dot com hawamjui ila alikuwa fundi tena fundi haswaa!!Denis Bergkamp
Non Flying Dutchman
Vijana walinichanganya kidogo, baada ya kuona wanamponda sana Messi na mimi nikaamua nijitoe ufahamu kidogo.Mzee mwenzangu hiyo si sababu
Andunje mchezaji bora wa kizazi hiki kacheza spain tu ila kawashikisha adabu waingereza, wajeruman na waitaliank
Same to faza pele, kafunga timu za ulaya kama hana akili nzuri kichwani
Ni kwel mkuu, mimi licha ya kuwa Man Utd lakini huwa namkubali sana fundi huyu licha ya kuwa alichezea kwa mahasimu wetu wa miaka ile Arsenal.Huyu jamaa basi tu, vizazi vya dot com hawamjui ila alikuwa fundi tena fundi haswaa!!
Sihitaji kupoteza muda kwenda kusoma huko, we weka ulichokiona ndio point ya msingi hapa.
Sio kujaza jaza mapicha kibao, ulichokisoma huko nakuona ni pointi ya msingi kwako iweke hapa tueleweshane.
Sasa kamzid kisa umeona hako kalist au?
Ndani ya hiyo miaka 9 Ronaldo akiwa la liga kabeba uefa ngapi na Messi kabeba ngapi?
Ndani ya hiyo miaka 9 Messi kashinda taji gani na timu yake ya taifa compared na Ronaldo
Halafu unaposema individuals trophies huku hajawahi vaa uzi mwengne tofauti na wa Barca na akivaa mwengine basi ni wa Argentina ambako hana hata kikombe cha kuku halafu unasema anaongoza magoli mengi kufunga national team, jiulize anafunga wakati gani? why awe na magoli mengi argentina with no trophy?
Hahaa!!Vijana walinichanganya kidogo, baada ya kuona wanamponda sana Messi na mimi nikaamua nijitoe ufahamu kidogo.
Non flying DutchmanNi kwel mkuu, mimi licha ya kuwa Man Utd lakini huwa namkubali sana fundi huyu licha ya kuwa alichezea kwa mahasimu wetu wa miaka ile Arsenal.
Mimi huwa nawaambia vijana, kama hukuwahi kumuona Bergkamp akicheza basi mtazame Berbatov walau kwa uchache sana alikuwa anafanana nae kwa staili ya uchezaji.
Dalili za kushindwa hizi.hapa kwani tuition mkuu, kama huwezi kusoma na kufanya tathmini yanini ulete ujuaji.Pathetic
Mkuu kwako ww timu nzuri ni ipi yenye majina makubwa eeh!! Mpira hauko hivyo timu inahitaji muunganiko mzuri kwa wachezaji mpaka kocha!Hawa watu wana sababu za hovyo... Timu ya Messi, di maria, aguero, maxi, zabaleta, otamendi, rojo, higuain, mascherano, dybala n.k unasema ni mbovu?
Inafungwa na timu ya Sanchez, medel, vidal n.k mara 2 fainali?
Tuongelee vingine sio kwa timu nzuri kama argentina