Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hata mimi ni mpenzi wa pele ila siku nyingine jaribu kusoma maelezo kwanza..Kwani Huyo Messi ame-achieve nini mpaka amzidi Pelle ....zaidi ya vyenga visivyokuwa na makombe ya maana huko Hispania!
Upo sahihi. ... BTW ubora wa mchezaji ni mchango wake ktk achievements za timu yake na timu ya Taifa lake ...... huyo mpiga vyenga wa Nou camp mnamu-overrateMkuu hata mimi ni mpenzi wa pele ila siku nyingine jaribu kusoma maelezo kwanza..
Hapa wametajwa wachezaji bora ndani ya miaka 25 iliyopita.
Mkuu tuweke porojo pembeni, hayo mafanikio tuweke kando kwanza mie binafsi napenda kumjaji mtu kwa kile anachokifanya mchezaji uwanjani..Upo sahihi. ... BTW ubora wa mchezaji ni mchango wake ktk achievements za timu yake na timu ya Taifa lake ...... huyo mpiga vyenga wa Nou camp mnamu-overrate
Naomba niungane na list hii. Iko sahihi kabisa. Vigezo na masharti vmezingatiwa kabisaWachambuzi wenzangu uchwara njooni tuijadili hii listView attachment 1102208View attachment 1102209
Hakuna kitu nawashukuru wazazi wangu kama kunipeleka shule.Kwani Huyo Messi ame-achieve nini mpaka amzidi Pelle ....zaidi ya vyenga visivyokuwa na makombe ya maana huko Hispania!
Wapi Andrea Pirlo?
Wapi Marcelo?
Wapi Roberto Carlos?
Wapi Inzagi Pippo?
Wapi Raul Gonzalez?
Wapi Didie Drogba?
Wapi Bergkamp?
Wapi Oliver Kahn?
Wapi Samuel Etoo?
Wapi David Beckham?
Wapi Claudio Makelele?
VituMkuu tuweke porojo pembeni, hayo mafanikio tuweke kando kwanza mie binafsi napenda kumjaji mtu kwa kile anachokifanya mchezaji uwanjani..
Swali fupi.
Katika miaka 25 ni nani unaona uwanjani anaupiga mwingi kushinda ule wa andunje messi
Where is Jay Jay Okocha!Wapi Andrea Pirlo?
Wapi Marcelo?
Wapi Roberto Carlos?
Wapi Inzagi Pippo?
Wapi Raul Gonzalez?
Wapi Didie Drogba?
Wapi Bergkamp?
Wapi Oliver Kahn?
Wapi Samuel Etoo?
Wapi David Beckham?
Wapi Claudio Makelele?
Kwahyo awekwe nani badala ya Messi?Upo sahihi. ... BTW ubora wa mchezaji ni mchango wake ktk achievements za timu yake na timu ya Taifa lake ...... huyo mpiga vyenga wa Nou camp mnamu-overrate
Afrika wanatutenga bhana.. why?Where is Jay Jay Okocha!