buhoro ksl
JF-Expert Member
- Apr 17, 2019
- 248
- 246
Kapombe, Zimbwe, Kagere, Mugalu, Onyango,Mhilu, kibu, Boko na Mzamiru Tunawatakia Kila La Kheri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yamekuwa hayo tena? Si mlikuwa mnaenda kufuzu ugenini?Kapombe, zimbwe, kagere Mugalu Onyango Mhilu, kibu, Boko na Mzamiru Tunawatakia Kila La Kheri.
Kufungwa kubaya sana [emoji22]Kapombe, Zimbwe, Kagere, Mugalu, Onyango,Mhilu, kibu, Boko na Mzamiru Tunawatakia Kila La Kheri.
Kufungwa kupo, kafungwa Madrid NNE Jana sembuse Simba?Kufungwa kubaya sana [emoji22]
come Down, Just RelaxKufungwa kubaya sana [emoji22]
Haha unafananisha simba na madrid? mwenzako hakuna alichopoteza japo amepgwa nne.Kufungwa kupo, kafungwa Madrid NNE Jana sembuse Simba?
Kwani Simba kapoteza nini?Haha unafananisha simba na madrid? mwenzako hakuna alichopoteza japo amepgwa nne.
Ghafla sana huwa mnabadilika kosa mlilofanya hamkuondoka na hawa waamuzi wenu wa hapa bongo wanaowaachiaga magoli ya offside na kuwazawadia penati!Kapombe, Zimbwe, Kagere, Mugalu, Onyango,Mhilu, kibu, Boko na Mzamiru Tunawatakia Kila La Kheri.
acha mihemko wewe..... acha kutuletea uchuro wa kitopolo hapa.. kufungwa ni sehem ya mchezo... mbona na sisi tulishinda magoli kama hayo?? ukiwacha akina zimbwe, kapombe, kibu, kwa sasa ni wachezaji gani wa ndani walipo Kwenye form na wanaweza kucheza match za kimataifa wakatuingiza hadi robo finali kama walivyofanya hawa..??Kapombe, Zimbwe, Kagere, Mugalu, Onyango,Mhilu, kibu, Boko na Mzamiru Tunawatakia Kila La Kheri.
Ngoja niedit,wakuondoka awe kagere,mugalu,kibu na bokoKapombe, Zimbwe, Kagere, Mugalu, Onyango,Mhilu, kibu, Boko na Mzamiru Tunawatakia Kila La Kheri.
umeelewekaNgoja niedit,wakuondoka awe kagere,mugalu,kibu na boko
Calm...come Down, Just Relax
Hapo Mohamed Hussein kinamwondoa nini labda? Maana utupatie na sababu za Kila mmoja kutaka aondoke.Ni Kwamba Wamechoka
Kapombe, Zimbwe, Kagere, Mugalu, Onyango,Mhilu, kibu, Boko na Mzamiru Tunawatakia Kila La Kheri.