Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Heee [emoji44] Si Ni Juzi Humu Zilianzishwa Threads Za Kuwasifia Wachezaji Wa Simba Kama Huyo Zimbwe, Leo Hamumtaki Tena? [emoji23]
Mohamed Hussein Special Thread 😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heee [emoji44] Si Ni Juzi Humu Zilianzishwa Threads Za Kuwasifia Wachezaji Wa Simba Kama Huyo Zimbwe, Leo Hamumtaki Tena? [emoji23]
Na n'gombe fc aka [emoji230][emoji230][emoji230] takwiimu zao leteTeam; Makolo Fc
Nafasi Kidunia; 98
Nafasi Kiutajiri; 3
Nchi; Tik Tok
Toa Onyango na ZimbweKapombe, Zimbwe, Kagere, Mugalu, Onyango,Mhilu, kibu, Boko na Mzamiru Tunawatakia Kila La Kheri.
[emoji23][emoji23][emoji23]Mohamed Hussein Special Thread [emoji16][emoji16]
Anzisha timu yakoKapombe, Zimbwe, Kagere, Mugalu, Onyango,Mhilu, kibu, Boko na Mzamiru Tunawatakia Kila La Kheri.
Kwani Simba kapoteza nini? Najua atakuwa bingwa Madrid Ila ujue lazima akomae kushinda akitetereka tu imekula kwake ni km Simba akishinda tu tena goli moja Yuko robo finalHaha unafananisha simba na madrid? mwenzako hakuna alichopoteza japo amepgwa nne.
Wrong kwani kuna timu imeshinda away be positiveGhafla sana huwa mnabadilika kosa mlilofanya hamkuondoka na hawa waamuzi wenu wa hapa bongo wanaowaachiaga magoli ya offside na kuwazawadia penati!
Wewe nako chengaKapombe, Zimbwe, Kagere, Mugalu, Onyango,Mhilu, kibu, Boko na Mzamiru Tunawatakia Kila La Kheri.
Huu ujasiri wa Nyani(kwa mjibu wa Eymael) kumjibu simba bila woga unatoka wapi?Waulize MAKOLO wenzio kuwa ni kipi haswa kinachowatoa mapovu ikiwa Manyau nyau FC hakupoteza chochote kwa mechi ya jana[emoji848][emoji1787]
Lakini si tulikubaliana Simba kikosi kipana[emoji23][emoji23][emoji23]Kapombe, Zimbwe, Kagere, Mugalu, Onyango,Mhilu, kibu, Boko na Mzamiru Tunawatakia Kila La Kheri.