Watu tunajisahau tu ila kapombe ,zimbwe sio wazuri kama timu aina mpra na sio wazuri katka kukaba sio mara moja wala mara mbil simba mara nyingi inafungwa kwa sababu ya makosa ya wao kupitika kirahisi ata jina la adebayo yule wa gendar ya niger aliwatesa sana mechi ya kwao ni vile tu hatukufungwa , ni inonga tu ambae man to man anaweza kukosea mara chache lkn onyango kapombe zimbwe sio wazur ktk kuzuia asa mipira ya kukimbiza ,narudia tena mara kwa mara kama sio siasa na kubebana ktk mpra wetu simba wangekua mbal sana miaka hii endapo tu wangekua wanafanyia kaz makosa yao kila msimu ,mfano kuna msimu walitolewa na kaizer chiefs tena kwa kufungwa na kuonyeshwa madhaifu yao ktk timu cha ajabu msimu unaofuata wanadanganyana kufanya vile kufanya vzur zaid kwa wachezaj wale wale sana sana eneo la mbele ,kuna muda hiz timu zetu siasa na maneno ndio zinarudishwa nyuma kwa mtu ata ambae sio kocha anajua shida ya simba inaanzia wap na inaishia wap ila ukifka usajir kaz kubebana tu na ikitokea wameshinda bas wanajisahau