Wachezaji hawa wa Ihefu wanastahili kuchezea Simba bila maswali

Wachezaji hawa wa Ihefu wanastahili kuchezea Simba bila maswali

Mwishokambi

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
390
Reaction score
1,425
Maroun Tchakei ni mahali pake kabisa kukipiga Simba msimu ujao, jamaa anajua kupiga krosi, anajua kumiliki mpira, ana nguvu, anapiga kona hatari mno na anajua kusambaza pasi za upendo, nikionaga Ihefu wanacheza huwa kazi yangu ni kumcheki Tchakei tu roho yangu inaburudika sana, huwa najiuliza kwanini SImba inaokoteza wachezaji kama Onana, Babacar halafu inawaacha wachezaji wenye uwezo namna hii.

Yaani Ihefu wanajua kuselect wachezaji kuliko Simba kweli? Halafu kuna fowadi yule Elvan Rupia, mnene, mfupi, ana nguvu, ana control, yule mkenya ni hatari kuliko huyo huyo mjinga anaitwa Freddy Michael, Rupia ni striker haswa, katika mastriker wa kigeni waliopo hapa nchini Rupia kwangu ni namba moja.

Hao akina Freddy cjui Jobe cjui Guede cjui Kagere cjui Chirwa hawana ishu kwa jamaa huyu, huyu jamaa ni mtu na nusu.
 
Maroun Tchakei ni mahali pake kabisa kukipiga Simba msimu ujao, jamaa anajua kupiga krosi, anajua kumiliki mpira, ana nguvu, anapiga kona hatari mno na anajua kusambaza pasi za upendo, nikionaga Ihefu wanacheza huwa kazi yangu ni kumcheki Tchakei tu roho yangu inaburudika sana, huwa najiuliza kwanini SImba inaokoteza wachezaji kama Onana, Babacar halafu inawaacha wachezaji wenye uwezo namna hii.

Yaani Ihefu wanajua kuselect wachezaji kuliko Simba kweli? Halafu kuna fowadi yule Elvan Rupia, mnene, mfupi, ana nguvu, ana control, yule mkenya ni hatari kuliko huyo huyo mjinga anaitwa Freddy Michael, Rupia ni striker haswa, katika mastriker wa kigeni waliopo hapa nchini Rupia kwangu ni namba moja.

Hao akina Freddy cjui Jobe cjui Guede cjui Kagere cjui Chirwa hawana ishu kwa jamaa huyu, huyu jamaa ni mtu na nusu.
Uto mambo ya Simba hayawahusu kwani hampendi wachezaji wazuri wachukueni
 
Maroun Tchakei ni mahali pake kabisa kukipiga Simba msimu ujao, jamaa anajua kupiga krosi, anajua kumiliki mpira, ana nguvu, anapiga kona hatari mno na anajua kusambaza pasi za upendo, nikionaga Ihefu wanacheza huwa kazi yangu ni kumcheki Tchakei tu roho yangu inaburudika sana, huwa najiuliza kwanini SImba inaokoteza wachezaji kama Onana, Babacar halafu inawaacha wachezaji wenye uwezo namna hii.

Yaani Ihefu wanajua kuselect wachezaji kuliko Simba kweli? Halafu kuna fowadi yule Elvan Rupia, mnene, mfupi, ana nguvu, ana control, yule mkenya ni hatari kuliko huyo huyo mjinga anaitwa Freddy Michael, Rupia ni striker haswa, katika mastriker wa kigeni waliopo hapa nchini Rupia kwangu ni namba moja.

Hao akina Freddy cjui Jobe cjui Guede cjui Kagere cjui Chirwa hawana ishu kwa jamaa huyu, huyu jamaa ni mtu na nusu.
Mkuu, ulichoandika ni sahihi ila umemsahau Mwamba mmoja ambaye ndio architect wa mashambulizi yote ya Ihefu Bw. Buka Abuya. Jamaa ni balaa na nusu yaani huwa hakabiki kiurahisi. Hata mechi ya jana amewatesa sana akina Aucho.
 
Mkuu, ulichoandika ni sahihi ila umemsahau Mwamba mmoja ambaye ndio architect wa mashambulizi yote ya Ihefu Bw. Buka Abuya. Jamaa ni balaa na nusu yaani huwa hakabiki kiurahisi. Hata mechi ya jana amewatesa sana akina Aucho.
Duke Abuye
Marouf Tchakei
Elvis Rupia....Harambee stars
Benjamin Tamim ..Super Eagle
Amadou Amande....The Mambaz
Maurice Chuku ....Nigeria
Josh Onyango....Kenya
Mohamed Khomen...Mali

Kifupi Ihefu wako na timu
 
Maroun Tchakei ni mahali pake kabisa kukipiga Simba msimu ujao, jamaa anajua kupiga krosi, anajua kumiliki mpira, ana nguvu, anapiga kona hatari mno na anajua kusambaza pasi za upendo, nikionaga Ihefu wanacheza huwa kazi yangu ni kumcheki Tchakei tu roho yangu inaburudika sana, huwa najiuliza kwanini SImba inaokoteza wachezaji kama Onana, Babacar halafu inawaacha wachezaji wenye uwezo namna hii.

Yaani Ihefu wanajua kuselect wachezaji kuliko Simba kweli? Halafu kuna fowadi yule Elvan Rupia, mnene, mfupi, ana nguvu, ana control, yule mkenya ni hatari kuliko huyo huyo mjinga anaitwa Freddy Michael, Rupia ni striker haswa, katika mastriker wa kigeni waliopo hapa nchini Rupia kwangu ni namba moja.

Hao akina Freddy cjui Jobe cjui Guede cjui Kagere cjui Chirwa hawana ishu kwa jamaa huyu, huyu jamaa ni mtu na nusu.
Tupe takwimu za Rupia ili tumlinganishe na Fred then tupe za Saidoo tumlinganishe na Tchakei then tupe nafasi ya Ihefu kwenye ligi tuilinganishe na Simba then tufanye conclusion
 
Maroun Tchakei ni mahali pake kabisa kukipiga Simba msimu ujao, jamaa anajua kupiga krosi, anajua kumiliki mpira, ana nguvu, anapiga kona hatari mno na anajua kusambaza pasi za upendo, nikionaga Ihefu wanacheza huwa kazi yangu ni kumcheki Tchakei tu roho yangu inaburudika sana, huwa najiuliza kwanini SImba inaokoteza wachezaji kama Onana, Babacar halafu inawaacha wachezaji wenye uwezo namna hii.

Yaani Ihefu wanajua kuselect wachezaji kuliko Simba kweli? Halafu kuna fowadi yule Elvan Rupia, mnene, mfupi, ana nguvu, ana control, yule mkenya ni hatari kuliko huyo huyo mjinga anaitwa Freddy Michael, Rupia ni striker haswa, katika mastriker wa kigeni waliopo hapa nchini Rupia kwangu ni namba moja.

Hao akina Freddy cjui Jobe cjui Guede cjui Kagere cjui Chirwa hawana ishu kwa jamaa huyu, huyu jamaa ni mtu na nusu.
Unataka kutufahamishamisha kwamba hawastahili kucheza ihefu
 
Maroun Tchakei ni mahali pake kabisa kukipiga Simba msimu ujao, jamaa anajua kupiga krosi, anajua kumiliki mpira, ana nguvu, anapiga kona hatari mno na anajua kusambaza pasi za upendo, nikionaga Ihefu wanacheza huwa kazi yangu ni kumcheki Tchakei tu roho yangu inaburudika sana, huwa najiuliza kwanini SImba inaokoteza wachezaji kama Onana, Babacar halafu inawaacha wachezaji wenye uwezo namna hii.

Yaani Ihefu wanajua kuselect wachezaji kuliko Simba kweli? Halafu kuna fowadi yule Elvan Rupia, mnene, mfupi, ana nguvu, ana control, yule mkenya ni hatari kuliko huyo huyo mjinga anaitwa Freddy Michael, Rupia ni striker haswa, katika mastriker wa kigeni waliopo hapa nchini Rupia kwangu ni namba moja.

Hao akina Freddy cjui Jobe cjui Guede cjui Kagere cjui Chirwa hawana ishu kwa jamaa huyu, huyu jamaa ni mtu na nusu.
Hao labda wakacheze Yanga wakienda Simba mwezi hauishi watakuwa wameshashughulikiwa.
 
Mashabiki wa simba huwa waanifurahisha sana. Hao wachezaji wenu wakati usajili huwa mnawasifia mpaka mnapitiliza. Ila wakianza kuzingua, mnawageuka.

Mnatakiwa mjifunze kwa sisi mashabiki wa Yanga. Mara zote huwa tunaridhishwa na viwango vya wachezaji wetu. Na ikitokea mchezaji ameshuka kiwango, huwa hatuoni kama ni dhambi kusema ukweli ili maboresho yaweze kufanyika.

Na kamwe huwezi kutukuta tunawatamani hovyo wachezaji wa timu nyingine kama mfanyavyo nyinyi ambao mnawatolea udenda wachezaji wa Ihefu.
 
Benjamin Tanimu anakuja Yanga nafasi ya Gift Fred
 
Mashabiki wa simba huwa waanifurahisha sana. Hao wachezaji wenu wakati usajili huwa mnawasifia mpaka mnapitiliza. Ila wakianza kuzingua, mnawageuka.

Mnatakiwa mjifunze kwa sisi mashabiki wa Yanga. Mara zote huwa tunaridhishwa na viwango vya wachezaji wetu. Na ikitokea mchezaji ameshuka kiwango, huwa hatuoni kama ni dhambi kusema ukweli ili maboresho yaweze kufanyika.
Sina uhakika kama ndugu yangu hizo phrase nilizobold (moja ya Simba, ya pili ya Yanga) sijajua kama zina tofauti. Unasema Simba wachezaji wakizingua huwa wanawageuka, halafu ukasema ninyi Yanga ni tofauti na Simba maana wachezaji wakishuka kiwango huwa hamuoni dhambi kusema ukweli. Kwangu mimi nimeona umeandika kitu kile kile hufanyika kikitokea Simba na Yanga, ila wewe ulijaribu kuonyesha kuwa kuna utofauti. Kuwageuka na kusema ukweli, ni vitu tofauti?
 
Sina uhakika kama ndugu yangu hizo phrase nilizobold (moja ya Simba, ya pili ya Yanga) sijajua kama zina tofauti. Unasema Simba wachezaji wakizingua huwa wanawageuka, halafu ukasema ninyi Yanga ni tofauti na Simba maana wachezaji wakishuka kiwango huwa hamuoni dhambi kusema ukweli. Kwangu mimi nimeona umeandika kitu kile kile hufanyika kikitokea Simba na Yanga, ila wewe ulijaribu kuonyesha kuwa kuna utofauti. Kuwageuka na kusema ukweli, ni vitu tofauti?
Nimeipenda sana hii. Ingekuwa ni wale watoto waliozaliwa miaka ya 2000, wangekimbilia kutukana matusi ya nguoni. Huwa hawajui kabisa kujenga hoja.
 
Back
Top Bottom