Xhizo de incredible
Member
- Nov 14, 2018
- 74
- 123
Mnafikiri mpira rahisi nyie kuna wakat lazma mtu a drop performance yanatokea ulaya sembuse bongo Alexis Sanchez Man u
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]"Wachezaji wanaocheza kama Tuisila Kisinda wapo wengi sana pale Tandika Mabatini"
Haya sio maneno yangu ni maneno ya mchambuzi Wilson Oruma.
My Take: Kamati za usajili kuweni makini hasa kwa wachezaji kutoka nje
IQ yako ndogo sana kuelewa mamboWe jamaa huwaga unashangaza kwani mchambuzi kuwa mshabiki wa timu Fulani nayo ni ajabu
Nyie mliojiunga jamiiforum juzi mna tabu hamjui humu wengine sie baba zenu,, kamuulize mama akoUngejibu vizuri tu aisha mbona nimeuliza vizuri tu mrembo? Halafu wewe sio msagaji aisha nakujua sana