Wachezaji kama Makame wa Fountain Gate wanapaswa kujitambua

Muambieni mo mzee b 20 nae adhamini timu 10 za ligi
 
GSM anaimbwa Yanga inapofunga magoli, mbona haimbwi mdhamini mkuu SportPesa. Mnadhani mnadili na watoto wa chekechea?
Unawapangia watu maisha???
Mbona huku tunamuimba sana Makonda wakati raisi ni SSH.

Mbona mnamuimba Ahoua wakati kocha ni Fadlu

Tuna wadhamini wengi ila ambaye yuko karibu na timu zaidi ni GSM

Ulitaka goli likifungwa tuimbe Visit Zanzibar au Afya water

Gusa Achia Waji-kijili
 
Kwa hiyo unataka walegeze kwa simba pia. Rage ajengewe mara maana viongozi wenu wanawaona mipang'ang'a

Muambieni mo mzee b 20 nae adhamini timu 10 za ligi

Kama hoja zenu ndiyo hizo kweli nimewashika pabaya.
 
Na wewe utujibu, haudhaminiwi na GSM, lakini Yanga kawafunga mara 4 mfululizo mmelipwa kiasi gani? Maana sio bure, mmechangia pointing 12.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…