Wachezaji kama Makame wa Fountain Gate wanapaswa kujitambua

Wachezaji kama Makame wa Fountain Gate wanapaswa kujitambua

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
Wachezaji wengi wa kitanzania huwa hawajitambui kama ilivyo kwa beki Makame.

Mchezaji huyo alishapata uhakika wa kucheza yanga na kwa akili zake kama zilivyokuwa za wachezaji wengi wa kibongo ama waafrika wasiojitambua,alicheza chini ya kiwango ili timu inayotarajia kumsajili ifunge goli nyingi.

Saidi hakujua mchezo uliokuwepo maana anaamini timu yake imekiwasha kiukweli.Basi ile kuona beki anayetaka kusajiliwa na yanga ni Makame, akaamua kukataa hilo dili akijua jamaa kiwango kipo chini sana.Kumbe yale yalikuwa maigizo ila mzungu hajui.

Sasa wachezaji kama Makame ni wengi sana hapa nchini.Unazi unawafanya washindwe kutoa jasho kuonesha uwezo wao.
Hii ndio dawa yao

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Wachezaji wengi wa kitanzania huwa hawajitambui kama ilivyo kwa beki Makame.

Mchezaji huyo alishapata uhakika wa kucheza yanga na kwa akili zake kama zilivyokuwa za wachezaji wengi wa kibongo ama waafrika wasiojitambua,alicheza chini ya kiwango ili timu inayotarajia kumsajili ifunge goli nyingi.

Saidi hakujua mchezo uliokuwepo maana anaamini timu yake imekiwasha kiukweli.Basi ile kuona beki anayetaka kusajiliwa na yanga ni Makame, akaamua kukataa hilo dili akijua jamaa kiwango kipo chini sana.Kumbe yale yalikuwa maigizo ila mzungu hajui.

Sasa wachezaji kama Makame ni wengi sana hapa nchini.Unazi unawafanya washindwe kutoa jasho kuonesha uwezo wao.
Hii ndio dawa yao

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Hakika alizngua
 
Said Kichwa anakula vichwa. Baleke naye kaliwa kichwa. Mkude sidhani kama atapona pamoja na ushkaji wake kwa Hersi.

Swali linalobaki ni je timu ina uwezo wa kusajili wachezaji wapya au ni mbwembwe tu hizi? Yanga haina hata uwezo wa kuvunja mkataba wa Chasambi. Sasa hivi tutaona wimbo la wachezaji wa mikataba ya miezi sita sita.
 
Said Kichwa anakula vichwa. Baleke naye kaliwa kichwa. Mkude sidhani kama atapona pamoja na ushkaji wake kwa Hersi.

Swali linalobaki ni je timu ina uwezo wa kusajili wachezaji wapya au ni mbwembwe tu hizi? Yanga haina hata uwezo wa kuvunja mkataba wa Chasambi. Sasa hivi tutaona wimbo la wachezaji wa mikataba ya miezi sita sita.
Mtanchanganyikiwa tu kila mmoja wenu Kwa wakati wake ...... Huku mnasema hakuna hela mara mnasema tunamunua mechi mara tunanunua marefa.... Mtachanganyikiwa sana ...
 
Mtanchanganyikiwa tu kila mmoja wenu Kwa wakati wake ...... Huku mnasema hakuna hela mara mnasema tunamunua mechi mara tunanunua marefa.... Mtachanganyikiwa sana ...
Kwani kuhonga wachezaji wa ligi ya NBC unadhani ni shingi ngapi?

Na tunaposema athari za GSM kudhamini timu nyingi unadhani ni mpaka kila mechi akawaambie kazeni mnapocheza na Simba au legezeni mnapocheza na Yanga? Wakati mwingine timu zenyewe zinajiongeza kutokana na huo ufadhili wa GSM, wanaweza kuona wanalipa fadhila.

Haya mambo ukiyaangalia kwa jicho la ushabiki unakuwa na upofu na hauwezi kuyaelewa kwa hiyo hamna haja ya kuendelea kubishana.
 
Naamini we ndo bumunda namba 1 humu Jamii forums
Juzi nimewaambia mil 50 ni pesa ndogo sana kwa kazi mliyowatuma wale Singida kuifanya. Hizi Dodoma sijui vitimu gani ndiyo hata milioni 30 haifiki.

Ubingwa wa NBC unaamuliwa kwa mechi chache sana, labda hazizidi 7. Hapa naongelea mechi ambazo Yanga na Simba zinafungwa au kutoka sare. Ile mil 50 inahamishiwa kwenye mechi nyingine maana kina Tchakei wameshindwa kazi.
 
Juzi nimewaambia mil 50 ni pesa ndogo sana kwa kazi mliyowatuma wale Singida kuifanya. Hizi Dodoma sijui vitimu gani ndiyo hata milioni 30 haifiki.

Ubingwa wa NBC unaamuliwa kwa mechi chache sana, labda hazizidi 7. Hapa naongelea mechi ambazo Yanga na Simba zinafungwa au kutoka sare. Ile mil 50 inahamishiwa kwenye mechi nyingine maana kina Tchakei wameshindwa kazi.
Simba alihongwa bei gani kufungwa mara nne mfululizo

Simba anashiriki mashindano yenu ya akina mama

Yaani Yanga anawafunga Simba 5 halafu ahonge ili awafunge Fountain Gate
Anyway kama una ushahidi fika kwenye mamlaka wachukue hatua, ukiendelea kulia hapa utajiumiza
Yanga bingwa
 
Simba alihongwa bei gani kufungwa mara nne mfululizo

Simba anashiriki mashindano yenu ya akina mama

Yaani Yanga anawafunga Simba 5 halafu ahonge ili awafunge Fountain Gate
Anyway kama una ushahidi fika kwenye mamlaka wachukue hatua, ukiendelea kulia hapa utajiumiza
Yanga bingwa
GSM anadhamini timu 8 halafu anasema Yanga bingwa. Unahitaji ushahidi mwingine zaidi ya huo?

Hii mada wala sina interest sana ya kuijadili ni basi tu.
 
GSM ndo mmiliki wa Yanga?
Bakhresa mbona ana timu na anadhamini timu zote kwenye ligi.
Kwaiyo GSM asitangaze biashara zake kosa wewe kapuku utabwabwaja
Hii mada nimeshaichangia vya kutosha, nitakuwa narudia tu majibu yangu maana majibu yenu na nyie ni yale yale tu.

Kukurahisishia tu, GSM kama siyo mmiliki ni nani? Maana ndiye anayeimbwa mkifunga magoli na siyo SportPesa ambaye ndiye mdhamini mkuu wa klabu.

Azam Media inadhamini ligi kwa kupitia mkataba wake na TFF. Azam FC ni timu. Haya ni makampuni mawili tofauti.

Mwisho, mnajichanganya na inaonyesha hamna jibu mnaloliamini pale mnapotumia Bakhresa kama mfano wa kuonyesha kuwa inaruhusiwa kumiliki timu na kudhamini timu zaidi ya moja wakati huo huo mnamkana GSM kuwa siyo mmiliki wa Yanga. Kama GSM siyo mmiliki wa Yanga, kwa nini mnatumia mfano wa Bakhresa mnayeamini ndiye mmiliki wa Azam FC na Azam Media?
 
Wachezaji wengi wa kitanzania huwa hawajitambui kama ilivyo kwa beki Makame.

Mchezaji huyo alishapata uhakika wa kucheza yanga na kwa akili zake kama zilivyokuwa za wachezaji wengi wa kibongo ama waafrika wasiojitambua,alicheza chini ya kiwango ili timu inayotarajia kumsajili ifunge goli nyingi.

Saidi hakujua mchezo uliokuwepo maana anaamini timu yake imekiwasha kiukweli.Basi ile kuona beki anayetaka kusajiliwa na yanga ni Makame, akaamua kukataa hilo dili akijua jamaa kiwango kipo chini sana.Kumbe yale yalikuwa maigizo ila mzungu hajui.

Sasa wachezaji kama Makame ni wengi sana hapa nchini.Unazi unawafanya washindwe kutoa jasho kuonesha uwezo wao.
Hii ndio dawa yao

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
I wish ingekuwa wewe ndio makame halafu tuone jinsi ambavyo ungekimbia kuzuia ule mpira usiingie golini, tofauti na hapo haya uliyoandika hayana tofauti na matope
 
Kwani kuhonga wachezaji wa ligi ya NBC unadhani ni shingi ngapi?

Na tunaposema athari za GSM kudhamini timu nyingi unadhani ni mpaka kila mechi akawaambie kazeni mnapocheza na Simba au legezeni mnapocheza na Yanga? Wakati mwingine timu zenyewe zinajiongeza kutokana na huo ufadhili wa GSM, wanaweza kuona wanalipa fadhila.

Haya mambo ukiyaangalia kwa jicho la ushabiki unakuwa na upofu na hauwezi kuyaelewa kwa hiyo hamna haja ya kuendelea kubishana.
Asante kwa mawazo yako
 
Juzi nimewaambia mil 50 ni pesa ndogo sana kwa kazi mliyowatuma wale Singida kuifanya. Hizi Dodoma sijui vitimu gani ndiyo hata milioni 30 haifiki.

Ubingwa wa NBC unaamuliwa kwa mechi chache sana, labda hazizidi 7. Hapa naongelea mechi ambazo Yanga na Simba zinafungwa au kutoka sare. Ile mil 50 inahamishiwa kwenye mechi nyingine maana kina Tchakei wameshindwa kazi.
Kwani Simba hamna hela ya kuhonga??
 
Kwani Simba hamna hela ya kuhonga??
Tunahonga kwa urefu wa kamba yetu. Hivi Simba anaingiaje kuhonga mchezaji wa SBS wakati mfumo mzima wa timu umekaa kiuto uto?

Ila nilishawahi kusema, timu hizi kuikamia Simba inaisaidia sana maana ikienda kimataifa inakuwa imara zaidi. Kwa hiyo pamoja na kulalamika ila pia tunashukuru.
 
Hii mada nimeshaichangia vya kutosha, nitakuwa narudia tu majibu yangu maana majibu yenu na nyie ni yale yale tu.

Kukurahisishia tu, GSM kama siyo mmiliki ni nani? Maana ndiye anayeimbwa mkifunga magoli na siyo SportPesa ambaye ndiye mdhamini mkuu wa klabu.

Azam Media inadhamini ligi kwa kupitia mkataba wake na TFF. Azam FC ni timu. Haya ni makampuni mawili tofauti.

Mwisho, mnajichanganya na inaonyesha hamna jibu mnaloliamini pale mnapotumia Bakhresa kama mfano wa kuonyesha kuwa inaruhusiwa kumiliki timu na kudhamini timu zaidi ya moja wakati huo huo mnamkana GSM kuwa siyo mmiliki wa Yanga. Kama GSM siyo mmiliki wa Yanga, kwa nini mnatumia mfano wa Bakhresa mnayeamini ndiye mmiliki wa Azam FC na Azam Media?
Kwaiyo wewe huelewi kuwa Bakhresa ndo mmiliki wa Azam media, Azam fc-, Azam beverage
Yanga pale Kuna wadhamini wengi kama GSM, Afya water, sportpesa, visit Zanzibar

GSM haimiliki Yanga
Yanga ni timu ya Wanachama siyo timu ya mtu binafsi, soma katiba ya Yanga, itakwambia mmiliki wa Yanga ni nani

Rage alivowaita mbumbumbu alikuwa sahihi
 
Kwaiyo wewe huelewi kuwa Bakhresa ndo mmiliki wa Azam media, Azam fc-, Azam beverage
Yanga pale Kuna wadhamini wengi kama GSM, Afya water, sportpesa, visit Zanzibar

GSM haimiliki Yanga
Yanga ni timu ya Wanachama siyo timu ya mtu binafsi, soma katiba ya Yanga, itakwambia mmiliki wa Yanga ni nani

Rage alivowaita mbumbumbu alikuwa sahihi
Azam Media, LLC ndiyo inadhamini ligi. Hii ni kampuni. Azam FC ambayo ni kampuni tofauti inadhaminiwa pia na Azam Media kama ambavyo timu zingine zote zinadhaminiwa kwa mujibu wa kanuni za TFF. Azam FC ina wadhamini wengine kama ambavyo timu zingine zinafanya.

GSM anaimbwa Yanga inapofunga magoli, mbona haimbwi mdhamini mkuu SportPesa. Mnadhani mnadili na watoto wa chekechea?

Achana na mambo ya katiba, kwani katiba ya Yanga inatambua rangi nyeupe katika rangi za timu? Usifanye nikakuitia Mzee Magoma.

Swali linabaki pale pale, kama mnatuaminisha GSM siyo mmiliki wa Yanga, kwa nini mnatumia mfano wa Bakhresa ambaye mnaamini ndiye mmiliki wa Azam FC na anadhamini ligi nzima? Hamuoni kwamba mnajisnitch?
 
Back
Top Bottom