Wachezaji kumi bora kuwahi kutokea bara la ulaya (raia wa ulaya) mpaka sasa

Wachezaji kumi bora kuwahi kutokea bara la ulaya (raia wa ulaya) mpaka sasa

Wafuatao ndio wachezaji kumi bora kuwahi kutokea kwa kuangalia mafanikio binafsi na mafanikio kwenye timu walizochezea ikiwemo timu za taifa:

1. Cristiano Ronaldo
2. Franz Beckenbauer
3. Johan Cruyff
4. Zinedine Zidane
5. Michael Platin
6. Marco van Basten
7. Gerd Muller
8. Lev Yashin
9. Roberto Baggio
10. Paolo Maldini
Busquets hayupo hiyo orodha ya kishoga
 
Wafuatao ndio wachezaji kumi bora kuwahi kutokea kwa kuangalia mafanikio binafsi na mafanikio kwenye timu walizochezea ikiwemo timu za taifa:

1. Cristiano Ronaldo
2. Franz Beckenbauer
3. Johan Cruyff
4. Zinedine Zidane
5. Michael Platin
6. Marco van Basten
7. Gerd Muller
8. Lev Yashin
9. Roberto Baggio
10. Paolo Maldini
Hi list imekaa sawa kabisa
 
Wafuatao ndio wachezaji kumi bora kuwahi kutokea kwa kuangalia mafanikio binafsi na mafanikio kwenye timu walizochezea ikiwemo timu za taifa:

1. Cristiano Ronaldo
2. Franz Beckenbauer
3. Johan Cruyff
4. Zinedine Zidane
5. Michael Platin
6. Marco van Basten
7. Gerd Muller
8. Lev Yashin
9. Roberto Baggio
10. Paolo Maldini

8,9 na 10 watoe
Weka
Bekham
Thiery Henry
Ruud Gullit/Luis Figo
 
Oohh kwahiyo Modric ni bora kuliko Lewandowski sababu ana ballon d'or

Na pia Muller ni bora kuliko Lewandowski sababu ana world cup

Aiseee!!
Kinachoangaliwa ni mchango wa mchezaji katika mafanikio ya timu.. na ule mchango unapelekea kupata tuzo binafsi.

Modric kwa maoni yangu ni bora kuliko Lewandowski kwa kuangalia mchango wake pale Madrid na kule Croatia.

Muller ni level ya juu sana kuliko Lewandowski kwasababu nyingi mno ukiangalia mchango wake ikiwepo pia ballon d'or, world cup etc
 
8,9 na 10 watoe
Weka
Bekham
Thiery Henry
Ruud Gullit/Luis Figo
Beckham?😂 kwa lipi? Henry alikuwa poa lakini amekosa ballon d'or.

Ruud gullit na Figo walikuwa wazuri lakini kwenye top ten hawawezi kuingia kwa kuwatoa hao magwiji unaowataja.
 
Wafuatao ndio wachezaji kumi bora kuwahi kutokea kwa kuangalia mafanikio binafsi na mafanikio kwenye timu walizochezea ikiwemo timu za taifa:

1. Cristiano Ronaldo
2. Franz Beckenbauer
3. Johan Cruyff
4. Zinedine Zidane
5. Michael Platin
6. Marco van Basten
7. Gerd Muller
8. Lev Yashin
9. Roberto Baggio
10. Paolo Maldini
 
Rahisi sana

Toa Baggio apo kwanza alipaisha penat weka Va Va Voom.
Mimi kama fan wa arsenal ningependa Henry awepo lakini kukosa ballon d'or kunamnyima nafasi. Halafu wakati anacheza timu ya taifa staa wao alikuwa Zidane na sio yeye.
 
Samahani kidogo,
Haya ni maoni yako binafsi au ni andiko umelitoa pahala?
Nimechambua kutoka kwenye vyanzo mbalimbali ikiwemo FIFA, Wikipedia na majarida mbalimbali yaliyofanya polling.
 
Back
Top Bottom