Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tony kroos hawezi kuwepo hata kwenye top 50. Kuna watu wengi sana hapo katikati.ungeniwekea hata Tony Kroos basi au ndo kwasababu hana balon de'or
Busquets hayupo hiyo orodha ya kishogaWafuatao ndio wachezaji kumi bora kuwahi kutokea kwa kuangalia mafanikio binafsi na mafanikio kwenye timu walizochezea ikiwemo timu za taifa:
1. Cristiano Ronaldo
2. Franz Beckenbauer
3. Johan Cruyff
4. Zinedine Zidane
5. Michael Platin
6. Marco van Basten
7. Gerd Muller
8. Lev Yashin
9. Roberto Baggio
10. Paolo Maldini
Matusi hayana umuhimu wowote. Busquets hata kwenye top 50 hawezi kuingia. Iniesta na xavi hawapo ndio iwe busquets?Busquets hayupo hiyo orodha ya kishoga
Hi list imekaa sawa kabisaWafuatao ndio wachezaji kumi bora kuwahi kutokea kwa kuangalia mafanikio binafsi na mafanikio kwenye timu walizochezea ikiwemo timu za taifa:
1. Cristiano Ronaldo
2. Franz Beckenbauer
3. Johan Cruyff
4. Zinedine Zidane
5. Michael Platin
6. Marco van Basten
7. Gerd Muller
8. Lev Yashin
9. Roberto Baggio
10. Paolo Maldini
Wafuatao ndio wachezaji kumi bora kuwahi kutokea kwa kuangalia mafanikio binafsi na mafanikio kwenye timu walizochezea ikiwemo timu za taifa:
1. Cristiano Ronaldo
2. Franz Beckenbauer
3. Johan Cruyff
4. Zinedine Zidane
5. Michael Platin
6. Marco van Basten
7. Gerd Muller
8. Lev Yashin
9. Roberto Baggio
10. Paolo Maldini
Kinachoangaliwa ni mchango wa mchezaji katika mafanikio ya timu.. na ule mchango unapelekea kupata tuzo binafsi.Oohh kwahiyo Modric ni bora kuliko Lewandowski sababu ana ballon d'or
Na pia Muller ni bora kuliko Lewandowski sababu ana world cup
Aiseee!!
Beckham?😂 kwa lipi? Henry alikuwa poa lakini amekosa ballon d'or.8,9 na 10 watoe
Weka
Bekham
Thiery Henry
Ruud Gullit/Luis Figo
Ni wachezaji wazuri lakini hapo watamtoa nani?Xavi, Iniesta na Va Va Voom hawapo apo.? Hii list ni Batili
Wafuatao ndio wachezaji kumi bora kuwahi kutokea kwa kuangalia mafanikio binafsi na mafanikio kwenye timu walizochezea ikiwemo timu za taifa:
1. Cristiano Ronaldo
2. Franz Beckenbauer
3. Johan Cruyff
4. Zinedine Zidane
5. Michael Platin
6. Marco van Basten
7. Gerd Muller
8. Lev Yashin
9. Roberto Baggio
10. Paolo Maldini
Rahisi sanaNi wachezaji wazuri lakini hapo watamtoa nani?
Mimi kama fan wa arsenal ningependa Henry awepo lakini kukosa ballon d'or kunamnyima nafasi. Halafu wakati anacheza timu ya taifa staa wao alikuwa Zidane na sio yeye.Rahisi sana
Toa Baggio apo kwanza alipaisha penat weka Va Va Voom.
Hao hata top 100 wanaweza wasiingie.😂Andre york na kaka yake wale hawapo
Wa kitambo hao mkuu, mmewasahau sana bwana wacha niwataje watrend au vipi mkuu.Hao hata top 100 wanaweza wasiingie.😂
Sio wa zamani kivile.. walikuwa wazuri lakini vigezo wanazidiwa kwa mbali na wengine.Wa kitambo hao mkuu, mmewasahau sana bwana wacha niwataje watrend au vipi mkuu.
Nimechambua kutoka kwenye vyanzo mbalimbali ikiwemo FIFA, Wikipedia na majarida mbalimbali yaliyofanya polling.Samahani kidogo,
Haya ni maoni yako binafsi au ni andiko umelitoa pahala?