Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ukitema big G huwa bado ina utamu!!Ukishuka kiwango Yanga ndio uende kitayose kweli,bora Kabwili alienda Rwanda huko
Utapigwa mitiMimi shabiki wa Yanga naongezea wengine
Yakubu - Tabora united
Heritier Makambo
-Tabora United
Hawa wote wamecheza kwa kiwango kikubwa tu wakiwa Yanga. Mchezaji kama Juma Shabani kacheza hadi fainali ya kombe la shirikisho Afrika. Wachezaji wanapanda na kushuka.1.Djuma Shabani wakati anasajiliwa Yanga tuliambiwa alikuwa akihitajika Real Madrid sasa yupo Namungo
2.Obrey Chirwa.,akivyotoka Yanga tukaaambiwa ameeenda Al Ahly ya Misri.
3.Tshishimbi,walisema ni zaido ya De Bruyne
...inaendelea
Mimi ni Yanga na tunajua kua huku kwetu yanga wenye akili ni 2 tuUtapigwa miti
Yanga hakuna mapunga kama weweMimi ni Yanga na tunajua kua huku kwetu yanga wenye akili ni 2 tu
Feisal-Azam FC, Chamazi1.Djuma Shabani wakati anasajiliwa Yanga tuliambiwa alikuwa akihitajika Real Madrid sasa yupo Namungo
2.Obrey Chirwa.,akivyotoka Yanga tukaaambiwa ameeenda Al Ahly ya Misri.
3.Tshishimbi,walisema ni zaido ya De Bruyne
...inaendelea
Mzee wa somjo yule eti molinga nae mchezaji wakucheza yanga 🤣🤣🤣🤣Bila kusahau kocha wao boo anaishi Paris Ila tangia atemwe na yanga anazunguka hapa Tanzania polisi, coastal na Sasa Namungo