Wachezaji na fans engagement ni shida sana

Wachezaji na fans engagement ni shida sana

uhurumoja

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2014
Posts
9,616
Reaction score
22,521
Nimeangalia mapokezi ya wachezaji wa Yanga bukoba ni makubwa sana tena sana pale airport na watu wameacha shughuli zao kwenda kuwapokea ila namna wachezaji wanawapita mashabiki ni kama paka na panya wengi wamefunika vichwa na kofia miwani kubwa earphones mwendo wa ngiri
Angalau Dube kuonesha appreciation kwa kutabasam na kupunga mikono sisemi washikane mikono ila no sign of affection kwa uma ule Ile si sawa kabisa
Hii huwa hivyo hata katika mechi mwisho wa mechi huoni wachezaji wakikusanyika na kwenda kuonesha kuwa pamoja na mashabiki watakimbia kwenda vyumbani kana kwamba pale nje Kuna mvua hii ni tofauti na ughaibuni ambapo wachezaji husogea karibu na mashabiki na kupata picha ya karibu huwa tunaona
Wachezaji waambiwe siku watakayocheza empty stadium ndio watajua umuhimu wa shabiki
 
Fan engagement dunia nzima tunaziona watu wanatenga mda Wana sign jersey nadhani huko ndani hawafundishwi modern football business
Sijui wamekumbwa na nini, ila wachezaji wa Yanga walikuwa wanaongoza kwa ku show love kwa mashabiki wao. Nakumbuka ilifikia hatua wanagawa jezi kwa mashabiki kabla ya mechi kuanza
 
Sijui wamekumbwa na nini, ila wachezaji wa Yanga walikuwa wanaongoza kwa ku show love kwa mashabiki wao. Nakumbuka ilifikia hatua wanagawa jezi kwa mashabiki kabla ya mechi kuanza
Nakumbuka sana nami nimeshangaa kwa Leo ukiangalia sio hapa kote wamelaumu lugha za mwili za wachezaji ni kama hazikujali kabisa uwepo wa ule umati pale lakini ifahamike kuwa huu uma ndio huleta wawekezaji
 
Unataka wakiuke masharti ya mganga
Mda mfupi nimetoka kuangalia game ya Bayer Leverkusen baada ya mechi wachezaji wameungana na mashabiki kwa mda wa zaidi ya dk 5 wakipiga makofi na picha zimepigwa
Kule SA mashabiki waliachwa kama yatima pale airport Leo tena vile vile sio utaratibu mzuri
 
Nimeangalia mapokezi ya wachezaji wa Yanga bukoba ni makubwa sana tena sana pale airport na watu wameacha shughuli zao kwenda kuwapokea ila namna wachezaji wanawapita mashabiki ni kama paka na panya wengi wamefunika vichwa na kofia miwani kubwa earphones mwendo wa ngiri
Angalau Dube kuonesha appreciation kwa kutabasam na kupunga mikono sisemi washikane mikono ila no sign of affection kwa uma ule Ile si sawa kabisa
Hii huwa hivyo hata katika mechi mwisho wa mechi huoni wachezaji wakikusanyika na kwenda kuonesha kuwa pamoja na mashabiki watakimbia kwenda vyumbani kana kwamba pale nje Kuna mvua hii ni tofauti na ughaibuni ambapo wachezaji husogea karibu na mashabiki na kupata picha ya karibu huwa tunaona
Wachezaji waambiwe siku watakayocheza empty stadium ndio watajua umuhimu wa shabiki
Mada nzuri ila kwa nini umeenda mbali kutolea mifano ya ughaibuni wakati hapa hapa kuna timu zinafanya vizuri sana kwenye eneo hilo tena msimu huu huu wamekuwa na ubunifu mkubwa eneo hilo?
 
Mada nzuri ila kwa nini umeenda mbali kutokea mifano ya ughaibuni wakati hapa hapa kuna timu zinafanya vizuri sana kwenye eneo hilo tena msimu huu huu wamekuwa na ubunifu mkubwa eneo hilo?
Naomba mfano nitafurahi sana kujua tukio na kama ni tabia endelevu
 
Nimeangalia mapokezi ya wachezaji wa Yanga bukoba ni makubwa sana tena sana pale airport na watu wameacha shughuli zao kwenda kuwapokea ila namna wachezaji wanawapita mashabiki ni kama paka na panya wengi wamefunika vichwa na kofia miwani kubwa earphones mwendo wa ngiri
Angalau Dube kuonesha appreciation kwa kutabasam na kupunga mikono sisemi washikane mikono ila no sign of affection kwa uma ule Ile si sawa kabisa
Hii huwa hivyo hata katika mechi mwisho wa mechi huoni wachezaji wakikusanyika na kwenda kuonesha kuwa pamoja na mashabiki watakimbia kwenda vyumbani kana kwamba pale nje Kuna mvua hii ni tofauti na ughaibuni ambapo wachezaji husogea karibu na mashabiki na kupata picha ya karibu huwa tunaona
Wachezaji waambiwe siku watakayocheza empty stadium ndio watajua umuhimu wa shabiki
Utaratibu huu wa kukusanyika na kuwapa
mashabiki some appreciation anao kocha wa ball wa kisasa kabisa Fadlu Davis au muite Davuuu...kama unaangalia Simba kwa sasa
Kwako mtoa mada....
 
Nimeangalia mapokezi ya wachezaji wa Yanga bukoba ni makubwa sana tena sana pale airport na watu wameacha shughuli zao kwenda kuwapokea ila namna wachezaji wanawapita mashabiki ni kama paka na panya wengi wamefunika vichwa na kofia miwani kubwa earphones mwendo wa ngiri
Angalau Dube kuonesha appreciation kwa kutabasam na kupunga mikono sisemi washikane mikono ila no sign of affection kwa uma ule Ile si sawa kabisa
Hii huwa hivyo hata katika mechi mwisho wa mechi huoni wachezaji wakikusanyika na kwenda kuonesha kuwa pamoja na mashabiki watakimbia kwenda vyumbani kana kwamba pale nje Kuna mvua hii ni tofauti na ughaibuni ambapo wachezaji husogea karibu na mashabiki na kupata picha ya karibu huwa tunaona
Wachezaji waambiwe siku watakayocheza empty stadium ndio watajua umuhimu wa shabiki
Nadhani wanahitaji kuelimishwa
 
Back
Top Bottom