Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Ila nimegundua Wachezaji wa Yanga na benchi zima la ufundi wana amini sana ushirikina wanaona hao mashabiki labda wana dawa machoni wakiwaangalia tuu hawatoboi...ndo maana ni mabingwa wa kupita milango isiyo rasmi...😃😃😃😃😃😃🤣🤣🤣🤣🤣