luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Kama Master Mbappe Kilian mwenyewe alikutwa na dalili za corona sembuse wao embu wakapumzike
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba ndio anapima? Na wale wata5 kule Sudani mechi ya kwanza nao walibambikiwa?wachezaji 8 wa el merikh hawajacheza wamebambikiwa corona
Walipimbwa na Simba?Walipimwa na CAF?
Hahahahah, na Manara ndio mkemia mkuu 😂😂😂😂😂Hapana ni Mwakalebela
Mikwara ya wabongo!Ukisoma kauli kama hizi unaweza fikiri kuwa kichwani kuna akili kumbe ni debe tupu!Ulitakiwa ujue hilo hata kabla haujaingia kwenye mjadala
Wee nyani na mbwa, unabwekea wapi?Figisu zimeanza
Pole kwa msiba😂😂 Zimefika Mtani.
Nishapoa Mtani.Pole kwa msiba
Hakika mtaniNishapoa Mtani.
Ndo mana wanasema siku zote Dunia tunapita.