Wachezaji wa Kaizer Chiefs waliokosa mechi ya kwanza na Simba Sc waungana na timu kuja Tanzania

Kichwa Kichafu

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2017
Posts
44,855
Reaction score
189,385
Habari.

Kocha mkuu wa Kaizer Chiefs mtaalamu Hunt aliyekuwa na kicheko cha dharau dakika ya 65 ya mchezo wa kwanza wa klabu bingwa Africa CAFCL, Hunt amethibitisha wachezaji wawili waliokuwa majeruhi kuungana na timu.

Wachezaji hao waliokosa mechi ya kwanza ni nahodha wa timu Kuhne na mlinda mlango Daniel Akpey.

Hivyo kusafiri na timu na tunatarajia watacheza mchezo ujao kwa Mkapa.

Nawasilisha Mzee Mkoloni

Cc: Kichwa Kichafu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…