Dr.adams faida
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 1,888
- 3,352
Wakuu nimekuwa najiuliza kwanini wachezaji wa kibongo bado wanafeli kutusua kucheza mpira nje ya nchi kama mataifa mengine.
Kila mwaka hatuuzi mchezaji wa ndani kwenda kucheza nje na ikitokea akaenda hamalizi msimu anarudi kupiga ndondo na tolori combine tunafeli wapi au mnafeli wapi?
Simba wameuza wachezaji wawili kwa thamani ya juu sana luis na chama inakaribia billion 5 wameweka kwenye kikapu chao na wote hawa ni wachezaji wa kigeni.
Yanga wamemuuza kisinda naye ni mchezaji wa kigeni lakini wabongo bado wanang'aa sharubu tu kwenye majaruba yetu kwanini hawasanuki?
Mbona tunawachezaji wazuri tu kucheza mataifa hayo wanayoenda wenzetu.
Mwisho wa siku wachezaji wa kigeni wamekuwa wakiitumia tz kama sehemu ya kutusulia tu vijana komaeni mnapokuwa uwanjani ,ktk msimu huu sikutegemea kama manula angeendela kusalia ligi kuu kwa kiwango alichokionesha tunafeli wapi?
Hawa wachezaji wetu wabadilike sasa kuweni na connection pia muwe na wasimamizi wenu maagent,wanasheria wanaosimamia kazi zenu muwe na malengo msicheze mpira wakimazoea soka limebadilika sana wenzetu wameshasanuka sana ndo maana wanapitia kwetu.
Leo msimu huu sijui kama tumeuza hata wachezaji wa kibongo hata watatu nje tupo tunang'aa macho tu....unakuta mchezaji anafurahia chama kuuzwa billion 1.8 alihali yeye ni mwendo wa kusugua benchi msimu mzima.
Nyinyi ndio mnadombaga mkipewa nafasi kwenye timu ya taifa kwa sababu hamna exposure ya kisoka.
Inaniuma mpaka leo miaka nenda rudi tunajivunia wachezaji wanne au watano wanaocheza nje kwenye angalau mataifa manne komaeni sana wazee kina mohamed hussein, dilunga,adam adam,waziri juniour,mwamnyeto,dickson job,dilunga, na wengine wote mnaofanya vizuri kwenye ligi kuweni na mikakati ya kusonga mbele zaidi ili nchi yetu ikue zaidi kisoka.
Kila mwaka hatuuzi mchezaji wa ndani kwenda kucheza nje na ikitokea akaenda hamalizi msimu anarudi kupiga ndondo na tolori combine tunafeli wapi au mnafeli wapi?
Simba wameuza wachezaji wawili kwa thamani ya juu sana luis na chama inakaribia billion 5 wameweka kwenye kikapu chao na wote hawa ni wachezaji wa kigeni.
Yanga wamemuuza kisinda naye ni mchezaji wa kigeni lakini wabongo bado wanang'aa sharubu tu kwenye majaruba yetu kwanini hawasanuki?
Mbona tunawachezaji wazuri tu kucheza mataifa hayo wanayoenda wenzetu.
Mwisho wa siku wachezaji wa kigeni wamekuwa wakiitumia tz kama sehemu ya kutusulia tu vijana komaeni mnapokuwa uwanjani ,ktk msimu huu sikutegemea kama manula angeendela kusalia ligi kuu kwa kiwango alichokionesha tunafeli wapi?
Hawa wachezaji wetu wabadilike sasa kuweni na connection pia muwe na wasimamizi wenu maagent,wanasheria wanaosimamia kazi zenu muwe na malengo msicheze mpira wakimazoea soka limebadilika sana wenzetu wameshasanuka sana ndo maana wanapitia kwetu.
Leo msimu huu sijui kama tumeuza hata wachezaji wa kibongo hata watatu nje tupo tunang'aa macho tu....unakuta mchezaji anafurahia chama kuuzwa billion 1.8 alihali yeye ni mwendo wa kusugua benchi msimu mzima.
Nyinyi ndio mnadombaga mkipewa nafasi kwenye timu ya taifa kwa sababu hamna exposure ya kisoka.
Inaniuma mpaka leo miaka nenda rudi tunajivunia wachezaji wanne au watano wanaocheza nje kwenye angalau mataifa manne komaeni sana wazee kina mohamed hussein, dilunga,adam adam,waziri juniour,mwamnyeto,dickson job,dilunga, na wengine wote mnaofanya vizuri kwenye ligi kuweni na mikakati ya kusonga mbele zaidi ili nchi yetu ikue zaidi kisoka.