Cute Msangi
Member
- Apr 11, 2023
- 79
- 226
Yanga inabidi wawe makini na chama na baleke ni wachezaji waliokuwa kwenye form nzuri hivi Sasa na ni HATARI.
Simba inabidi wawe makini na wachezaji wote wa yanga na kocha Nabi.
hivi Sasa ukiongelea timu yenye team work hali ya kupambana kwa wachezaji ni Yanga na kila mchezaji anatamani aoneshe kiwango chake kwa kocha nabi.
kocha nabi professor ni kocha mwenye mbimu na anajua kuusoma mchezo mapema ili ajue afanye Nini kupata ushindi.
Viva Yanga
official mwananchi fan💛💚💛💚
Simba inabidi wawe makini na wachezaji wote wa yanga na kocha Nabi.
hivi Sasa ukiongelea timu yenye team work hali ya kupambana kwa wachezaji ni Yanga na kila mchezaji anatamani aoneshe kiwango chake kwa kocha nabi.
kocha nabi professor ni kocha mwenye mbimu na anajua kuusoma mchezo mapema ili ajue afanye Nini kupata ushindi.
Viva Yanga
official mwananchi fan💛💚💛💚