Wachezaji Wa Simba S. C Acheni "Kumzururisha" Mzungu

Wachezaji Wa Simba S. C Acheni "Kumzururisha" Mzungu

Ni wakati sasa Wachezaji waitwe waulizwe wana shida gani na Dejan mpaka wanaamua kutomtumia. Inawezekana ni roho mbaya zetu tu watu weusi, au Dejan pamoja na kuji-position sehemu mbalimbali lakini wenzake wanamuona labda hayuko eneo zuri la kupewa mipira (offside au amekabwa).

Hata lile goli alilofunga alijipasia mpira yeye mwenyewe.
 
Ni wakati sasa Wachezaji waitwe waulizwe wana shida gani na Dejan mpaka wanaamua kutomtumia. Inawezekana ni roho mbaya zetu tu watu weusi, au Dejan pamoja na kuji-position sehemu mbalimbali lakini wenzake wanamuona labda hayuko eneo zuri la kupewa mipira (offside au amekabwa).

Hata lile goli alilofunga alijipasia mpira yeye mwenyewe.
Israel Patrick Mwenda kuliko amtupie majalo Mzungu basi bora apige kwa kipa anaweza kujichanganya likaingia. Bahati nzuri Mungu si athumani kipa akamtemea mpira Mzungu.
 
Hapana mkuu sina chuki kumkataa kagere na kusema haendani kwenye mfumo ila mzungu ndo anafaa striker wote hawataki mpaka chama ilikuwa hamtaki eti yupo slow kuanzisha mashambulizi ajabu ndo amehusika magoli yote ya simba kitendo cha kutoa list ya wachezaji ambao hawataki halafu mzungu anamuacha kina igawa team kwasababu mpira unaonekana hauchezwi chumbani ni kama mashabiki wa Manchester United walivyokuwa wanalalamika kwa Maguire.
Kocha alitoa hiyo list lini?
Mbona mnapenda kujiabisha wakuu?
 
Nimependa maoni yako mkuu, lakini kwa dejan mbona zipo pasi nyingi jana amepewa lakini either anaanguka au anazidiwa ujanja na mabeki?

To me nafikiri ni nzuri zaidi dejan awe anaingia sub kama alivyoanza mechi kadhaa zilizopita.
Haya pia ni maoni yangu mkuu.

Pasi ngumu anapewa, akiwa sehemu ambayo amekaa vizuri kabisa kwenye angle mzuri ni kweli hawampi
 
Kocha alitoa hiyo list lini?
Mbona mnapenda kujiabisha wakuu?
Sasa kwani sasa hvi kuna siri wengine wameshindwa kuwaondoa kwasababu ni usajili mpya kwa hyo ndo maana ameshindwa ila ilikuwa team nzima ile anaitoa kwa mkopo anabaki yeye na mzungu wake bora hata amepewa mkataba wa mwaka mmoja.
 
Hapana mkuu sina chuki kumkataa kagere na kusema haendani kwenye mfumo ila mzungu ndo anafaa striker wote hawataki mpaka chama ilikuwa hamtaki eti yupo slow kuanzisha mashambulizi ajabu ndo amehusika magoli yote ya simba kitendo cha kutoa list ya wachezaji ambao hawataki halafu mzungu anamuacha kina igawa team kwasababu mpira unaonekana hauchezwi chumbani ni kama mashabiki wa Manchester United walivyokuwa wanalalamika kwa Maguire.
Dejan mzuri. Wachezaji wenzake wanamyima pasi makusudi ili asiwe maarufu. Hicho ndicho kinachoigharimu simba.
 
Pasi ngumu anapewa, akiwa sehemu ambayo amekaa vizuri kabisa kwenye angle mzuri ni kweli hawampi
Dejan mzuri. Wachezaji wenzake wanamyima pasi makusudi ili asiwe maarufu. Hicho ndicho kinachoigharimu simba.
Sahihi kabisa,
Wanadhani wanamkomoa Dejan kumbe timu nzima inaathirika.
 
Mdhungu huko kwao alishawahi kucheza mechi 58 na kufunga goli 8 tu. Halafu naskiaga mara kadhaa kuwa anaundugu na kocha sasa hii mambo ya undugu kwenye kazi mara nyingi huwa na madhara sana
 
Yule ni Mviziaji angepata mtu kama ki izo game alizocheza tungekua tunaongea mengine hapa
 
Back
Top Bottom