Wachezaji wa Simba wajilinde nje ya uwanja soon wanakodisha vibaka kuwadhuru

Wachezaji wa Simba wajilinde nje ya uwanja soon wanakodisha vibaka kuwadhuru

CHIZI VITABU

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2021
Posts
1,061
Reaction score
2,477
Ujumbe uwafikie nyie wachezaji wetu kuweni makini sana watu wameumia miaka 4 wkajiaminisha kwamba baada ya usajili wa lopolopo anayeogopa jua kwamba wanaenda nusu fanali ya CAF maana wanaamini ndiye aliyekuwa anaifikisha simba mbali huko CAf.

Hizi milioni 15 ni rasharasha tu na rafu zile zilizolenga kutia u-kilema au kuua za Dodoma jiji ni rasharasha soon mtawekewa mitego ya kufumaniwa na mademu/wake za watu,mtatumiwa majambazi nyumbani kwenu au wapendwa wenu wadhuriwe ili akili zenu zisiwe mchezoni.

Kuweni makini pia mkiendesha magari barabarani..HAWA JAMAA NI MAFIOSO WENYE ROHO MBAYA SANA MSIJE KUSEMA HAMKUONYWA
 
Ukiwa na timu mbovu kila unayekutana nae unahisi anakamia
 
Ujumbe uwafikie nyie wachezaji wetu kuweni makini sana watu wameumia miaka 4 wkajiaminisha kwamba baada ya usajili wa lopolopo anayeogopa jua kwamba wanaenda nusu fanali ya CAF maana wanaamini ndiye aliyekuwa anaifikisha simba mbali huko CAf

Hizi milioni 15 ni rasharasha tu na rafu zile zilizolenga kutia u-kilema au kuua za Dodoma jiji ni rasharasha soon mtawekewa mitego ya kufumaniwa na mademu/wake za watu,mtatumiwa majambazi nyumbani kwenu au wapendwa wenu wadhuriwe ili akili zenu zisiwe mchezoni

Kuweni makini pia mkiendesha magari barabarani..HAWA JAMAA NI MAFIOSO WENYE ROHO MBAYA SANA MSIJE KUSEMA HAMKUONYWA
Acha kuleta uchochezi hapa li timu lenu mwaka huu liko hovyo tu. Mbona kwenye ngao ya jamii mikia walicheza rafu sana na husemi ? Tulia, mwaka huu kazi mnayo. Mlizoea kutunziwa viporo mwaka huu hakuna kitu kama hicho.
 
Ebu Simba waache visingizio wacheze mpira, ni kweli hakuna timu inayoweza kuwa kwenye fomu siku zote na kweli sasa tunaona uthibitisho wa hilo.
 
Ebu Simba waache visingizio wacheze mpira, ni kweli hakuna timu inayoweza kuwa kwenye fomu siku zote na kweli sasa tunaona uthibitisho wa hilo.
Kama kweli wewe una ubinadamu nisaidie ku share hu ujumbe uwafikie wachezaji wa simba ili waaanze kuchukua tahadhari shidi ya MAJITU MAFIOSO yaliyojificha kwenye kivuli cha uana michezo
 
Ebu Simba waache visingizio wacheze mpira, ni kweli hakuna timu inayoweza kuwa kwenye fomu siku zote na kweli sasa tunaona uthibitisho wa hilo.
Simba ya msimu huu itapata point 1 au 3 uwanjani kwa mgongo wa penati, au kadi nyekundu pekee.

Kinyume na hapo, ni kipigo tu.
 
Chonde chonde ndugu zangu rafu za uwanja zinatosha plan zenu za kutaka kuwadhuru vijana wetu nje ya uwanja muache jamani maana tayari uhamiaji wamewasaidia issue ya Kibu denis sasa huko mnapoelekea huo ni ungese
Safari hii Simba mnacheza "pira makande" sio "pira biriani"
 
Sasa nimemwelewa MO kwanini katoboa boti alafu kakimbia[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Hahahahahhaahhhah makolo fc Ni vima kabisa🤣🤣🤣🤣🤣
Luc hakukosea kuwaita manyani

4E10C7DA-AD2B-403E-99F5-57D374C49F02.jpeg
 
Back
Top Bottom