tony92
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,398
- 3,691
Kauli yangu ni general tu haijataja timu yoyote haya ulotoa ni mawazo yakoKumbe Yanga ndio timu Bora, sikuwa najua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kauli yangu ni general tu haijataja timu yoyote haya ulotoa ni mawazo yakoKumbe Yanga ndio timu Bora, sikuwa najua.
Tumia ubongo wako vizuri,Mikia wanalialia tu..msimu huu tutaoneshana makali..sio msimu wa kuingia uwanjani na point zako tatu mfukoni
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndoto za maruweruwe baada ya kukoswakoswa.😆Ujumbe uwafikie nyie wachezaji wetu kuweni makini sana watu wameumia miaka 4 wkajiaminisha kwamba baada ya usajili wa lopolopo anayeogopa jua kwamba wanaenda nusu fanali ya CAF maana wanaamini ndiye aliyekuwa anaifikisha simba mbali huko CAf.
Hizi milioni 15 ni rasharasha tu na rafu zile zilizolenga kutia u-kilema au kuua za Dodoma jiji ni rasharasha soon mtawekewa mitego ya kufumaniwa na mademu/wake za watu,mtatumiwa majambazi nyumbani kwenu au wapendwa wenu wadhuriwe ili akili zenu zisiwe mchezoni.
Kuweni makini pia mkiendesha magari barabarani..HAWA JAMAA NI MAFIOSO WENYE ROHO MBAYA SANA MSIJE KUSEMA HAMKUONYWA
Hivi timu inayokaa sana na mpira hupewa pointi ngapi.simba vs utopolo, kagera vs utopolo nenda kaangalie ball pocession halafu rudi hapa uniambie nani walikuwa wanakaa zaidi na mpira , pira makande ni utopwinyo hapo ndipo kwao
hiyo isiyokaa na mpira ndo inasemekana inacheza pira biriani?Hivi timu inayokaa sana na mpira hupewa pointi ngapi.