Wachezaji wa Simba wajilinde nje ya uwanja soon wanakodisha vibaka kuwadhuru

Wachezaji wa Simba wajilinde nje ya uwanja soon wanakodisha vibaka kuwadhuru

Mikia wanalialia tu..msimu huu tutaoneshana makali..sio msimu wa kuingia uwanjani na point zako tatu mfukoni
 
Timu ya Simba ni bora bado imecheza mechi nne
Tp mazembe
Yanga
Biashara
Dodoma jiji
Mechi zote hizo Simba kamiliki mpira zaidi ya asilimia 55 Sasa apo timu bovu liko wp
Mambo mengine tumia ubongo wako vizuri ndgu yangu
 
Ujumbe uwafikie nyie wachezaji wetu kuweni makini sana watu wameumia miaka 4 wkajiaminisha kwamba baada ya usajili wa lopolopo anayeogopa jua kwamba wanaenda nusu fanali ya CAF maana wanaamini ndiye aliyekuwa anaifikisha simba mbali huko CAf.

Hizi milioni 15 ni rasharasha tu na rafu zile zilizolenga kutia u-kilema au kuua za Dodoma jiji ni rasharasha soon mtawekewa mitego ya kufumaniwa na mademu/wake za watu,mtatumiwa majambazi nyumbani kwenu au wapendwa wenu wadhuriwe ili akili zenu zisiwe mchezoni.

Kuweni makini pia mkiendesha magari barabarani..HAWA JAMAA NI MAFIOSO WENYE ROHO MBAYA SANA MSIJE KUSEMA HAMKUONYWA
Ndoto za maruweruwe baada ya kukoswakoswa.😆
 
Tatizo wala s hao n marefa wakibongo, marefa wa kibongo bado Sana hovyo Sana Kama ile mirafu ya Dodoma jiji na biashara dhid ya simba tuna safari ndefu
 
Simba imeingiliwa mwaka huu. Ina vichaa wengi.
 
simba vs utopolo, kagera vs utopolo nenda kaangalie ball pocession halafu rudi hapa uniambie nani walikuwa wanakaa zaidi na mpira , pira makande ni utopwinyo hapo ndipo kwao
Hivi timu inayokaa sana na mpira hupewa pointi ngapi.
 
Back
Top Bottom