Uto unateseka ukiwa wapiAcha kuleta uchochezi hapa li timu lenu mwaka huu liko hovyo tu. Mbona kwenye ngao ya jamii mikia walicheza rafu sana na husemi ? Tulia, mwaka huu kazi mnayo. Mlizoea kutunziwa viporo mwaka huu hakuna kitu kama hicho.
Ni kweli kabisa mpaka miutopolo imefanya njama key players kama Chama na Konde boy wauzwe ili kumdhoofisha mnyama 5imba nguvu moya.Wanatumia nguvu nyingi sana kuwapoteza Simba.
Ujumbe uwafikie nyie wachezaji wetu kuweni makini sana watu wameumia miaka 4 wkajiaminisha kwamba baada ya usajili wa lopolopo anayeogopa jua kwamba wanaenda nusu fanali ya CAF maana wanaamini ndiye aliyekuwa anaifikisha simba mbali huko CAf
Hizi milioni 15 ni rasharasha tu na rafu zile zilizolenga kutia u-kilema au kuua za Dodoma jiji ni rasharasha soon mtawekewa mitego ya kufumaniwa na mademu/wake za watu,mtatumiwa majambazi nyumbani kwenu au wapendwa wenu wadhuriwe ili akili zenu zisiwe mchezoni
Kuweni makini pia mkiendesha magari barabarani..HAWA JAMAA NI MAFIOSO WENYE ROHO MBAYA SANA MSIJE KUSEMA HAMKUONYWA
nasikia zamalek wanamtaka nchimbi kwa bilioni 3Ni kweli kabisa mpaka miutopolo imefanya njama key players kama Chama na Konde boy wauzwe ili kumdhoofisha mnyama 5imba nguvu moya.
[emoji2][emoji16][emoji28][emoji23][emoji1787]nasikia zamalek wanamtaka nchimbi kwa bilioni 3
Simba imeshajipolea njia yenyewe, mhindi mwenyewe kaanza kula kona.Wanatumia nguvu nyingi sana kuwapoteza Simba.
Kama hizi taarifa unazo peleka polisi zitafanyiwa kazi hapa unaleta porojo tu.Narudia tena u kilema muwatie uwanjani kupitia hizo milioni 15 mnazomwaga huko mikoani ila please hizo plan za kuwadhuru nje ya uwanja achaneni nazo
Hivi hamuoni aibu kuita simba mikia watu tuloongoza ligi miaka 4 mfululizo? Mikia ni nyieAcha kuleta uchochezi hapa li timu lenu mwaka huu liko hovyo tu. Mbona kwenye ngao ya jamii mikia walicheza rafu sana na husemi ? Tulia, mwaka huu kazi mnayo. Mlizoea kutunziwa viporo mwaka huu hakuna kitu kama hicho.
Wakishirikiana na Media na wachambuzi mandaziWanatumia nguvu nyingi sana kuwapoteza Simba.
utachezaji mpira mpinzani anaruka judo?Ebu Simba waache visingizio wacheze mpira, ni kweli hakuna timu inayoweza kuwa kwenye fomu siku zote na kweli sasa tunaona uthibitisho wa hilo.
Nakubaliana nawe kwa 100% katika hili na tunajua Kiongozi Mmoja Mstaafu Kikatiba ndiyo anawapa Kiburi Yanga SC kwakuwa tu anammudu na ndiyo anamuongoza Kiongozi Kikatiba wa sasa.Ujumbe uwafikie nyie wachezaji wetu kuweni makini sana watu wameumia miaka 4 wkajiaminisha kwamba baada ya usajili wa lopolopo anayeogopa jua kwamba wanaenda nusu fanali ya CAF maana wanaamini ndiye aliyekuwa anaifikisha simba mbali huko CAf
Hizi milioni 15 ni rasharasha tu na rafu zile zilizolenga kutia u-kilema au kuua za Dodoma jiji ni rasharasha soon mtawekewa mitego ya kufumaniwa na mademu/wake za watu,mtatumiwa majambazi nyumbani kwenu au wapendwa wenu wadhuriwe ili akili zenu zisiwe mchezoni
Kuweni makini pia mkiendesha magari barabarani..HAWA JAMAA NI MAFIOSO WENYE ROHO MBAYA SANA MSIJE KUSEMA HAMKUONYWA
Si umeona hadi Denis kibu baada ya kusajili tu simba keshaambiwa siyo mtanzania? sasa hdi Kim poulsen analalmika sababu anamhitaji sana pale stars..rafu against simba hadi uhamiaji huko na uchunguzi utachukua mwaka ili asicheze tu
Acha kuleta uchochezi hapa li timu lenu mwaka huu liko hovyo tu. Mbona kwenye ngao ya jamii mikia walicheza rafu sana na husemi ? Tulia, mwaka huu kazi mnayo. Mlizoea kutunziwa viporo mwaka huu hakuna kitu kama hicho.
Ukiacha fitina, inawezekana kuna ka ukweli fulani vile! Watanzania tunajuana. Yule dogo ukimuangalia kwa umakini, unaona kabisa ni wa nchi jirani.
Kumbe Taifa Star imemchezesha mchezaji wa kigeni kwanye timu ya Taifa.Si umeona hadi Denis kibu baada ya kusajili tu simba keshaambiwa siyo mtanzania? sasa hdi Kim poulsen analalmika sababu anamhitaji sana pale stars..rafu against simba hadi uhamiaji huko na uchunguzi utachukua mwaka ili asicheze tu
Kumbe Yanga ndio timu Bora, sikuwa najua.Ukiwa na timu mbovu kila unayekutana nae unahisi anakamia
Kwa yaliyotokea dodoma jana yaweza kweli kutokea haya.Ujumbe uwafikie nyie wachezaji wetu kuweni makini sana watu wameumia miaka 4 wkajiaminisha kwamba baada ya usajili wa lopolopo anayeogopa jua kwamba wanaenda nusu fanali ya CAF maana wanaamini ndiye aliyekuwa anaifikisha simba mbali huko CAf
Hizi milioni 15 ni rasharasha tu na rafu zile zilizolenga kutia u-kilema au kuua za Dodoma jiji ni rasharasha soon mtawekewa mitego ya kufumaniwa na mademu/wake za watu,mtatumiwa majambazi nyumbani kwenu au wapendwa wenu wadhuriwe ili akili zenu zisiwe mchezoni
Kuweni makini pia mkiendesha magari barabarani..HAWA JAMAA NI MAFIOSO WENYE ROHO MBAYA SANA MSIJE KUSEMA HAMKUONYWA