kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Huenda mzee Upili yupo kazini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
licha ya kuwa kazn tatz stress mpaka wanahis wamerogwa kumbe hakuna kitHuenda mzee Upili yupo kazini.
Makala yao inaonyesha wazi tu hujui mpira umedandia mtumbwi wa vibwengo bila kujielewa ,,, ndugu mpira (1) hauitaji siasa (2) unaitaji kuongozwa na watu wanaoujua (3) haulazimishi kiwango alichotokanacho mchezaji kutoka timu A ni lazima kiendelee atakapokuja timu B (4)mwisho unahitaji mashabiki wanaojitambua au kuutambua mpiraWachezaji wetu wanakuja wakiwa wameacha historia kwao, Simba iliwasajili kutokana na Ubora wao, lkn huwezi amini jamaa wakianza t kuitumikia Simba uwezo unaporomoka kidogo kidogo.
Joshua Mutale ni moja ya viungo hatar kabisa ukanda huu lkn ameanza taratibu kuonekana Saido aliyechangamka.
Mutale leo kila anaposhika mpira anadondoka au anapokonywa kizembe kabisa
Mutale yule wa Power Dynamo sio huyu wa Simba
Mwingine ni Ahoua, mwingine ni Mukwala, hata Ateba atakuwa hivyo hivyo
Siku c nyingi Fernandez naye ataingia kwenye 18 za washirikina
Fabryce Mwamba Ngoma tayari cku nyingi ameshaingia kwenye chungu, hana tena maajabu.
Watu tunajiuliza Louis Micquisone huyu huyu alietoka Simba juzi t ndio anapasua anga UD Songo?
Basi utasikia msimu ujao wamemchukua wao na wanamfungulia password
Wachezaji wote walioachwa Simba msimu uliopita wanakiwasha kwenye timu zao mpya tena wengine wamesajiliwa kwa mahela mengi t
Walipokuwa Simba ama walikuwa majeruhi ama walikuwa vituko t uwanjani
Wachezaji hawa ni lazima Dua na kafara ifanyike vinginevyo hakuna kazi tena
Pia soma:Wachezaji wapya wa Simba wanahitaji muda ili kuzoea mazingira ya ligi yetu, tafadhalini sana mashabiki wa Simba