Mr mutuu
JF-Expert Member
- Jan 27, 2023
- 2,869
- 14,501
Mtu anachezea sijui mtibwa huko umwambie hakuna posho wakati kina mwijaku na baba levo umewapa posho mtaelewa wapi na wapi sasa?Hebu niambie kwa wachezaji wenu hawa hapa hawa, unaweza kufanya hivyo ulivyoandika hapo na mkaelewana kabisa..?.