Wachezaji wa SSC Team-Work inawagharimu

Wachezaji wa SSC Team-Work inawagharimu

Huyu ntu anaonekana kuwa na chukiness muombeeni kama inawezekana

Mimi ni Shabiki wa SSC kindakindani yaani ile piga ua afe kipa afe beki.

Lakini hizi sugarcoat ndio zinafanya team zetu hazifiki mbali . KUACHA kuongea UKWELI TUPU eti kisa watasema mimi sio SSC
Hakuna mpira wa inshallah inshallah au kuomba omba Mungu, hakuna icho kitu... mpira ni investment na maandalizi thabiti... mambo ya Mungu saidia tushinde ni uchimvi tu. Fanyeni maandalizi na timu yenye tija,

Tunatumia muda mwingi kuhamasisha na kujaza uwanja na kusumbua watu mitaani badala ya kuangalia changamoto za timu.

Leo hii eti inshallah tutafunga SA, ni uchimvi kabisa na hakuna hiko kitu. Yaani walichotufanya Asec , kule kwao ndio SSC itafanywa kwa madiba, hakuna namna ingine

Post za Jumapili utasikia tunajipanga upya, mpira unamatokeo matatu na Blah Blah nyingi. Ila ukweli ni kwamba SSC haina resistant kwa timu zinazoingia robo fainal
 
Ye
Shomari Kapombe show me the way .......

Juzi niliandika kuwa SSC haijaandaliwa game za knock out kama hizi. Ushindi wa leo means ni point 3 kwenye makundi, hii ndiyo inaibeba SSC kwenye makundi lakini kwenye hizi knock out ni kama imeshapoteza , huo ndiyo ukweli MCHUNGU.

Sitegemei SSC kama itavuka hii hatua lakini kwenye mpira lolote linaweza kutokea.

Nilimwambia Ahmed Ali nilipokutana nae pale Msimbazi kuwa mpira sio uhamasishaji na kusumbua watu mtaani, mpira ni investment na kuwa na team yenye muunganiko, Simba inakosa kitu muhimu kama TEAMWORK na MUUNGANIKO.

Ukiangalia Uchezaji wa SAKO au KIBU, ni uchezaji wa KIUBINAFSI zaidi ambao kimsingi game kama hizi hautakiwa. SAKO anataka kulazimisha kushinda yeye, huku pembeni yake kuna wachezaji walio kwenye position nzuri.... matokeo yake hakuna anayeshinda... hivyo hivyo kwa KIBU. Team work kwenye timu haipo.

Michuano ya KIMATAIFA ni team work na siyo INDIVIDUAL PERFORMANCE. Hii Philosophy inatakiwa kuwa kwenye vichwa vya wachezaji na kuwe na walimu wa kuwafundisha wachezaji maana ya team work, badala yake muda mwingi unatumika kusumbua watu MITAANI , na kusahau TATIZO la MSINGI la SSC.

Sasa ngoja muende SA mkaoneshwe nidhamu ya mpira na maana ya team work.

Nilisema SSC hamuwezi kupita na HAMTOPITA. Huo ndio UKWELI mchungu, mtajadili jadili hapa sijui suluhu kule sijui nini , lakini jibu ni moja, MTAFUNGWA straightforward bila hata ya kutumia nguvu.

Timu ina lack key factors nyingi sana;

1. Hakuna Team work
2. Ubinafsi kwa wachezaji wa SSC, inaelekea hakuna Kiongoz wa SSC anayeliona hili ni tatizo . Kama KIBU na SAKO wasingekuwa wabinafsi , SSC ingeweza kuwa na goli hata tatu. Sako amekuwa mbinafsi snaa kwenye mechi hizi inaelekea akiwa na mpira focus ni yeye kushinda na sio timu ishinde, wachezaji kama hawa hawawezi kuwa msaada kwenye timu. Sako alitakiwa asiingie kipindi cha pili.
Enock , Morison ni watu sana. Enock anayo spirit ya team work, he is always working for the team: SAKO na KIBU are Always working for their little EGO .

3. Hakuna Spirit ya kucheza away game ; nina hakika kule SA , ndani ya kipindi cha 1 simba atakuwa amekalia goli mbili huku lango lake likiandamwa

4 tatizo la nne SSC haina STRIKER sababishi kama vile Mayele ambae kwa nafasi wanazotengeneza SSC , Mayele angekuwa anaondoka na HAT TRICK mara zote .

5 . Tatizo lingine ni Pablo hana maamuz ya haraka, he is always complaining for nothing, mtu kama SAKO alitakiwa atoke kipindi cha kwanza, he is too much into his mind .....

Haya sasa mrudi Kwenye Ligi kusikilizia maumivu ya point 10 ; Pablo nae ajiandae kufukuzwa manaa. Safari ya SSC imefika mwisho.

View attachment 2191216
Yeboyebo kwenye ubora wenu,mmekalia kupiga ramli kama witch doctors eti simba atakalia goli mbili kabla ya Half time,Kwa Taarifa yako Orlando Pirate tunaenda kukomaa nae kama wa-libya walivyokomaa nae na kutoka 0÷0.Siye tunasogea nusu fainali
 
Shomari Kapombe show me the way .......

Juzi niliandika kuwa SSC haijaandaliwa game za knock out kama hizi. Ushindi wa leo means ni point 3 kwenye makundi, hii ndiyo inaibeba SSC kwenye makundi lakini kwenye hizi knock out ni kama imeshapoteza , huo ndiyo ukweli MCHUNGU.

Sitegemei SSC kama itavuka hii hatua lakini kwenye mpira lolote linaweza kutokea.

Nilimwambia Ahmed Ali nilipokutana nae pale Msimbazi kuwa mpira sio uhamasishaji na kusumbua watu mtaani, mpira ni investment na kuwa na team yenye muunganiko, Simba inakosa kitu muhimu kama TEAMWORK na MUUNGANIKO.

Ukiangalia Uchezaji wa SAKO au KIBU, ni uchezaji wa KIUBINAFSI zaidi ambao kimsingi game kama hizi hautakiwa. SAKO anataka kulazimisha kushinda yeye, huku pembeni yake kuna wachezaji walio kwenye position nzuri.... matokeo yake hakuna anayeshinda... hivyo hivyo kwa KIBU. Team work kwenye timu haipo.

Michuano ya KIMATAIFA ni team work na siyo INDIVIDUAL PERFORMANCE. Hii Philosophy inatakiwa kuwa kwenye vichwa vya wachezaji na kuwe na walimu wa kuwafundisha wachezaji maana ya team work, badala yake muda mwingi unatumika kusumbua watu MITAANI , na kusahau TATIZO la MSINGI la SSC.

Sasa ngoja muende SA mkaoneshwe nidhamu ya mpira na maana ya team work.

Nilisema SSC hamuwezi kupita na HAMTOPITA. Huo ndio UKWELI mchungu, mtajadili jadili hapa sijui suluhu kule sijui nini , lakini jibu ni moja, MTAFUNGWA straightforward bila hata ya kutumia nguvu.

Timu ina lack key factors nyingi sana;

1. Hakuna Team work
2. Ubinafsi kwa wachezaji wa SSC, inaelekea hakuna Kiongoz wa SSC anayeliona hili ni tatizo . Kama KIBU na SAKO wasingekuwa wabinafsi , SSC ingeweza kuwa na goli hata tatu. Sako amekuwa mbinafsi snaa kwenye mechi hizi inaelekea akiwa na mpira focus ni yeye kushinda na sio timu ishinde, wachezaji kama hawa hawawezi kuwa msaada kwenye timu. Sako alitakiwa asiingie kipindi cha pili.
Enock , Morison ni watu sana. Enock anayo spirit ya team work, he is always working for the team: SAKO na KIBU are Always working for their little EGO .

3. Hakuna Spirit ya kucheza away game ; nina hakika kule SA , ndani ya kipindi cha 1 simba atakuwa amekalia goli mbili huku lango lake likiandamwa

4 tatizo la nne SSC haina STRIKER sababishi kama vile Mayele ambae kwa nafasi wanazotengeneza SSC , Mayele angekuwa anaondoka na HAT TRICK mara zote .

5 . Tatizo lingine ni Pablo hana maamuz ya haraka, he is always complaining for nothing, mtu kama SAKO alitakiwa atoke kipindi cha kwanza, he is too much into his mind .....

Haya sasa mrudi Kwenye Ligi kusikilizia maumivu ya point 10 ; Pablo nae ajiandae kufukuzwa manaa. Safari ya SSC imefika mwisho.

View attachment 2191216
Wewe ndo unaona hivyo, iache iende inakotataka kwenda, hata ikisogea ni hatua pia, siyo lazima ifike mwisho
 
Mkuu huyo mayele unaemsifia tangu akiwa as vita na sasa Yuko utopoloni , mechi za kimataifa au hata ligi ya NBC anazo Hat trick ngapi ?

Heshima ya uwanja wetu wa Mkapa na taifa kwa ujumla imelindwa.Mnyama hajaliaibisha taifa kama alivyofanya utopolo kwa kusugulia nyuma na mbele na Rivers utd.
Hayo mengine huko bondeni kwa madiba yatajulikana mbele ya safari
Ndio akili za kimbumbumbu za kushikiwa na MO hizi,yaani ushinde kwako moja bila then ukitoka ukienda ugenini unakula hamsa halafu unafurahia.
 
Shomari Kapombe show me the way .......

Juzi niliandika kuwa SSC haijaandaliwa game za knock out kama hizi. Ushindi wa leo means ni point 3 kwenye makundi, hii ndiyo inaibeba SSC kwenye makundi lakini kwenye hizi knock out ni kama imeshapoteza , huo ndiyo ukweli MCHUNGU.

Sitegemei SSC kama itavuka hii hatua lakini kwenye mpira lolote linaweza kutokea.

Nilimwambia Ahmed Ali nilipokutana nae pale Msimbazi kuwa mpira sio uhamasishaji na kusumbua watu mtaani, mpira ni investment na kuwa na team yenye muunganiko, Simba inakosa kitu muhimu kama TEAMWORK na MUUNGANIKO.

Ukiangalia Uchezaji wa SAKO au KIBU, ni uchezaji wa KIUBINAFSI zaidi ambao kimsingi game kama hizi hautakiwa. SAKO anataka kulazimisha kushinda yeye, huku pembeni yake kuna wachezaji walio kwenye position nzuri.... matokeo yake hakuna anayeshinda... hivyo hivyo kwa KIBU. Team work kwenye timu haipo.

Michuano ya KIMATAIFA ni team work na siyo INDIVIDUAL PERFORMANCE. Hii Philosophy inatakiwa kuwa kwenye vichwa vya wachezaji na kuwe na walimu wa kuwafundisha wachezaji maana ya team work, badala yake muda mwingi unatumika kusumbua watu MITAANI , na kusahau TATIZO la MSINGI la SSC.

Sasa ngoja muende SA mkaoneshwe nidhamu ya mpira na maana ya team work.

Nilisema SSC hamuwezi kupita na HAMTOPITA. Huo ndio UKWELI mchungu, mtajadili jadili hapa sijui suluhu kule sijui nini , lakini jibu ni moja, MTAFUNGWA straightforward bila hata ya kutumia nguvu.

Timu ina lack key factors nyingi sana;

1. Hakuna Team work
2. Ubinafsi kwa wachezaji wa SSC, inaelekea hakuna Kiongoz wa SSC anayeliona hili ni tatizo . Kama KIBU na SAKO wasingekuwa wabinafsi , SSC ingeweza kuwa na goli hata tatu. Sako amekuwa mbinafsi snaa kwenye mechi hizi inaelekea akiwa na mpira focus ni yeye kushinda na sio timu ishinde, wachezaji kama hawa hawawezi kuwa msaada kwenye timu. Sako alitakiwa asiingie kipindi cha pili.
Enock , Morison ni watu sana. Enock anayo spirit ya team work, he is always working for the team: SAKO na KIBU are Always working for their little EGO .

3. Hakuna Spirit ya kucheza away game ; nina hakika kule SA , ndani ya kipindi cha 1 simba atakuwa amekalia goli mbili huku lango lake likiandamwa

4 tatizo la nne SSC haina STRIKER sababishi kama vile Mayele ambae kwa nafasi wanazotengeneza SSC , Mayele angekuwa anaondoka na HAT TRICK mara zote .

5 . Tatizo lingine ni Pablo hana maamuz ya haraka, he is always complaining for nothing, mtu kama SAKO alitakiwa atoke kipindi cha kwanza, he is too much into his mind .....

Haya sasa mrudi Kwenye Ligi kusikilizia maumivu ya point 10 ; Pablo nae ajiandae kufukuzwa manaa. Safari ya SSC imefika mwisho.

View attachment 2191216

Simba ipewe hongera zake kwa kucheza kwa kujitoa. Kwa kikosi Cha Simba chenye wachezaji average kimejitahidi Sana hata kuushinda hiyo mechi.
 
Pole , Umeumia kwa sababu nimeongea Ukweli Mchungu. MTAFUNGWA straightforwardly bila hata kutumia nguvu. Ninasema tena timu haijaandaliwa kimashindano ya mtoano

Tatizo unaongozwa na chuki. Lazima ujue Simba Ina average players, huwezi kutaka makubwa zaidi ambavyo wachezaji wanaweza kuoffer.
 
Mimi ni Shabiki wa SSC kindakindani yaani ile piga ua afe kipa afe beki.

Lakini hizi sugarcoat ndio zinafanya team zetu hazifiki mbali . KUACHA kuongea UKWELI TUPU eti kisa watasema mimi sio SSC
Hakuna mpira wa inshallah inshallah au kuomba omba Mungu, hakuna icho kitu... mpira ni investment na maandalizi thabiti... mambo ya Mungu saidia tushinde ni uchimvi tu. Fanyeni maandalizi na timu yenye tija,

Tunatumia muda mwingi kuhamasisha na kujaza uwanja na kusumbua watu mitaani badala ya kuangalia changamoto za timu.

Leo hii eti inshallah tutafunga SA, ni uchimvi kabisa na hakuna hiko kitu. Yaani walichotufanya Asec , kule kwao ndio SSC itafanywa kwa madiba, hakuna namna ingine

Post za Jumapili utasikia tunajipanga upya, mpira unamatokeo matatu na Blah Blah nyingi. Ila ukweli ni kwamba SSC haina resistant kwa timu zinazoingia robo fainal

Acha uongo. Shabiki gani wa Simba unakosoa tu bila hata kutambua mchango wa wachezaji?. Kabla ya mechi Olrando walikuwa wanapewa nafasi kubwa ya kushinda maana kwenye makundi walifanya vizuri.
 
Ile siku katika uzi wako wa Simba hatovuka hapa nilikuuliza swali 'Bayern na Barca wana maoni gani juu ya hii kauli yako?'

Haukujibu.

Orlando amesuluhu michezo 12 katika ligi. Hii ni idadi kubwa ya suluhu kwa timu ambayo ina wachezaji wakali mbele na nyuma.

Mi sijaangalia mechi ila takwimu zinaonyesha Simba imeizidi Orlando kwenye pasi, mashuti mpaka kucreate chances na big chances.

Jamaa mmoja akaniambia hawa wamekuja kutafuta suluhu kwakua ni ngumu kuifunga Simba nyumbani mi nikamjibu hawa wanatafuta suluhu kwakua ndicho walichomaster. Huwezi kukuta timu nzuri inatafuta suluhu ugenini ni inakuchapa hapo kwenu na kwao ukienda. Stori za nitafute suluhu kwako ni za zamani.

Mimi siyo shabiki wa mpira wa nyumbani unless wacheze na timu ya nje kama hivi ila naamini sababu timu itakua haichezi kitimu ni kwavile kocha haachwi kumaliza project na watu wake.

Mchezaji anapambania mkataba atacheza ili aonekane na hii inapelekea huo uchoyo (kama upo) kocha anakosa muda wa kufundisha falsafa zake na mbinu zake na anaishia kutarget kuifunga Yanga tu.

Kimpira, Simba ana chance ya kusonga mbele.
 
FULL-TIME!

Martyrs of February Stadium, Tripoli
Al Ittihad SC 🇱🇾 0-0 🇱🇾 Al Ahli Tripoli

30 June Stadium, Cairo
Pyramids FC 🇪🇬 0-0 🇨🇩 TP Mazembe

Borg El Arab Stadium, Alexandria
Al Masry SC 🇪🇬 2-1 🇲🇦 RS Berkane
[Amr Marei, Haithem Ayouni || Hamza Regragui]

Imejikuta timu zote hazijaandaliwa kwa Knock out
 
"Sasa ngoja muende SA mkaoneshwe nidhamu ya mpira na maana ya team work.
Nilisema SSC hamuwezi kupita na HAMTOPITA. Huo ndio UKWELI mchungu, mtajadili jadili hapa sijui suluhu kule sijui nini , lakini jibu ni moja, MTAFUNGWA straightforward bila hata ya kutumia nguvu."

KWAMANENO HAYO WEWE UTOPO KALALE!
Topolo & Hater huwa sio ngumu kumjua
 
FULL-TIME!

Martyrs of February Stadium, Tripoli
Al Ittihad SC 🇱🇾 0-0 🇱🇾 Al Ahli Tripoli

30 June Stadium, Cairo
Pyramids FC 🇪🇬 0-0 🇨🇩 TP Mazembe

Borg El Arab Stadium, Alexandria
Al Masry SC 🇪🇬 2-1 🇲🇦 RS Berkane
[Amr Marei, Haithem Ayouni || Hamza Regragui]

Imejikuta timu zote hazijaandaliwa kwa Knock out
Simba 🇹🇿 1- 0 🇿🇦 Orlando pirates

Haya matokea ya shirikisho mbona yamekuwa magumu hivi ?

Japo si vyema Sana kujilinganisha ila wanaokejeli ushindi wa Simba hawaitendei haki.
 
Point yako ni nzuri sema imejaa maumivu na wivu ndani yake ni Kama huamini ivi Kama Simba angetoka na matokeo maana mlishajiandaa kutuzomea.

Swala la Sacko viongozi wa Simba na bench wamkalishe chini yule dogo ,ubinafsi umezid na umevuka viwango ashajikuta mfalme pale Simba ,aambiwe yeye ni kajitu kadogo sna pale Simba, alikwepo Luis saiz hayupo na timu inasonga mbele.

Ni swala la kumpa ukweli ,acheze mpira aache sifa za kijinga
 
Simba 🇹🇿 1- 0 🇿🇦 Orlando pirates

Haya matokea ya shirikisho mbona yamekuwa magumu hivi ?

Japo si vyema Sana kujilinganisha ila wanaokejeli ushindi wa Simba hawaitendei haki.
Kwa matokeo hayo kuisema Simba vbya ni kukosa nidhamu
 
Mimi ni Shabiki wa SSC kindakindani yaani ile piga ua afe kipa afe beki.

Lakini hizi sugarcoat ndio zinafanya team zetu hazifiki mbali . KUACHA kuongea UKWELI TUPU eti kisa watasema mimi sio SSC
Hakuna mpira wa inshallah inshallah au kuomba omba Mungu, hakuna icho kitu... mpira ni investment na maandalizi thabiti... mambo ya Mungu saidia tushinde ni uchimvi tu. Fanyeni maandalizi na timu yenye tija,

Tunatumia muda mwingi kuhamasisha na kujaza uwanja na kusumbua watu mitaani badala ya kuangalia changamoto za timu.

Leo hii eti inshallah tutafunga SA, ni uchimvi kabisa na hakuna hiko kitu. Yaani walichotufanya Asec , kule kwao ndio SSC itafanywa kwa madiba, hakuna namna ingine

Post za Jumapili utasikia tunajipanga upya, mpira unamatokeo matatu na Blah Blah nyingi. Ila ukweli ni kwamba SSC haina resistant kwa timu zinazoingia robo fainal
Kaa kwa kutulia mzee tunajifunza kutokana na makosa
 
Shomari Kapombe show me the way .......

Juzi niliandika kuwa SSC haijaandaliwa game za knock out kama hizi. Ushindi wa leo means ni point 3 kwenye makundi, hii ndiyo inaibeba SSC kwenye makundi lakini kwenye hizi knock out ni kama imeshapoteza , huo ndiyo ukweli MCHUNGU.

Sitegemei SSC kama itavuka hii hatua lakini kwenye mpira lolote linaweza kutokea.

Nilimwambia Ahmed Ali nilipokutana nae pale Msimbazi kuwa mpira sio uhamasishaji na kusumbua watu mtaani, mpira ni investment na kuwa na team yenye muunganiko, Simba inakosa kitu muhimu kama TEAMWORK na MUUNGANIKO.

Ukiangalia Uchezaji wa SAKO au KIBU, ni uchezaji wa KIUBINAFSI zaidi ambao kimsingi game kama hizi hautakiwa. SAKO anataka kulazimisha kushinda yeye, huku pembeni yake kuna wachezaji walio kwenye position nzuri.... matokeo yake hakuna anayeshinda... hivyo hivyo kwa KIBU. Team work kwenye timu haipo.

Michuano ya KIMATAIFA ni team work na siyo INDIVIDUAL PERFORMANCE. Hii Philosophy inatakiwa kuwa kwenye vichwa vya wachezaji na kuwe na walimu wa kuwafundisha wachezaji maana ya team work, badala yake muda mwingi unatumika kusumbua watu MITAANI , na kusahau TATIZO la MSINGI la SSC.

Sasa ngoja muende SA mkaoneshwe nidhamu ya mpira na maana ya team work.

Nilisema SSC hamuwezi kupita na HAMTOPITA. Huo ndio UKWELI mchungu, mtajadili jadili hapa sijui suluhu kule sijui nini , lakini jibu ni moja, MTAFUNGWA straightforward bila hata ya kutumia nguvu.

Timu ina lack key factors nyingi sana;

1. Hakuna Team work.

2. Ubinafsi kwa wachezaji wa SSC, inaelekea hakuna Kiongoz wa SSC anayeliona hili ni tatizo . Kama KIBU na SAKO wasingekuwa wabinafsi , SSC ingeweza kuwa na goli hata tatu. Sako amekuwa mbinafsi snaa kwenye mechi hizi inaelekea akiwa na mpira focus ni yeye kushinda na sio timu ishinde, wachezaji kama hawa hawawezi kuwa msaada kwenye timu. Sako alitakiwa asiingie kipindi cha pili.

Enock , Morison ni watu sana. Enock anayo spirit ya team work, he is always working for the team: SAKO na KIBU are Always working for their little EGO .

3. Hakuna Spirit ya kucheza away game; nina hakika kule SA , ndani ya kipindi cha 1 simba atakuwa amekalia goli mbili huku lango lake likiandamwa

4 tatizo la nne SSC haina STRIKER sababishi kama vile Mayele ambae kwa nafasi wanazotengeneza SSC , Mayele angekuwa anaondoka na HAT TRICK mara zote.

5 . Tatizo lingine ni Pablo hana maamuz ya haraka, he is always complaining for nothing, mtu kama SAKO alitakiwa atoke kipindi cha kwanza, he is too much into his mind.

Haya sasa mrudi Kwenye Ligi kusikilizia maumivu ya point 10 ; Pablo nae ajiandae kufukuzwa manaa. Safari ya SSC imefika mwisho.
Najua wewe na team yako ni wageni kwenye michuano hii ya kimataifa, kwa kuzingatia hilo ngoja nikusaidie kitu;
Unaposikia robo fainali ya ccl au ccc usidhani ni ndondo zenu mnazocheza na Ndanda au Lipuli, huko ni kazi kazi na team zimejipanga sana that's why ni ngumu kusikia mtu kashinda 3 bila so muhimu ni kushinda na kulinda ulichopata.
Tutaendelea kuwafunza kidogokidogo japo tunajua aibu kubwa mliyoliandalia taifa kwenye michuano ijayo.
 
Back
Top Bottom