Wachezaji wa Taifa Stars baada ya kuambiwa Kocha Mkuu Adel hayuko tena wamefurahi na kuahidi kufanya kweli

Cognizant

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2022
Posts
626
Reaction score
1,409
kambini si anaruhusiwa kuwepo? au hata kambini hatakiwi kuwepo?
 
baada ya caf kumsimamisha kwa utovu wa nidhamu nayo timu ya taifa imeamua kumpumzisha kwa mda usiojulikana
Timu ya Taifa imeamua kumpumzisha? au unachanganya na TFF!!!

TFF na Karia wake ni wajinga?

TFF ikimpumzisha Ina maana inamkwepesha kutumikia Adhabu aliyopewa na CAF...ni ujinga!?

Anatakiwa kuendelea kufundisha Timu yake na Adhabu ya kukosa mechi nane inasimama, yaani hawezi kukaa ktk Bench la ufindi wakati wa Mechi...hii ndio Adhabu.

TFF ya Karia ni ovyo kupqta kutokea
 
Tusi msingizie kocha, Timu yetu ya Taifa ni dhaifu hata angekuja kocha wa kiwango Cha juu Bado tunaitaji wachezaji wanao cheza nje ya bara la Afrika hasa Ulaya.

Tunahitaji wachezji vijana kama walivyo Senegal, vijana wabichi kabisa wenye Kasi na uwezo mzuri.
Hatuwezi kwenda kokote na wachezji wa ndani.
 
huyo kocha tulishaingia chaka sana. tangu lini mwarabu akawa kocha wa timu ya taifa? hivi tulifumba macho?
 
ni upuuzi mtupu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…