Wachezaji wa Yanga Princess

Wachezaji wa Yanga Princess

Venus Star

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2018
Posts
26,519
Reaction score
78,311
Jana kulikuwa na Darby ya wanawake Yanga princess vs Simba Queen.
Simba iliweza kuibamiza Yanga kwa mabao 4.

Kitu nilichokiona wachezaji wengi wa Yanga princess wamekomaa sana nyuso zao zimefubaa. Huku wachezaji wa Simba Queen wanaonekana wazuri na nyuso zao zinapendeza.
Nauliza tatizo ni nini huko Yanga!? Hawalipwi mishahara au kitu gani!?

Screenshot_20220109-161146.png
 
Jana kulikuwa na Darby ya wanawake Yanga princess vs Simba Queen.
Simba iliweza kuibamiza Yanga kwa mabao 4.

Kitu nilichokiona wachezaji wengi wa Yanga princess wamekomaa sana nyuso zao zimefubaa. Huku wachezaji wa Simba Queen wanaonekana wazuri na nyuso zao zinapendeza.
Nauliza tatizo ni nini huko Yanga!? Hawalipwi mishahara au kitu gani!?

View attachment 2074775
Najua wewe ni mrembo sana hongera sana bibie
 
Sijaona kahaba yeyote pale mwenye hadhi ya kuitwa mchezaji, wale ni makahaba wa Sinza walichukuliwa siku 1kabla ya mechi. Sio kila anaevaa jenzi ni mchezaji wengine wanamambo yao. Wale makahaba wa Sinza
 
Mtoa Mada umeelezea kuhusu Sura, cha ajabu umetuwekea picha ya Tako
Kumbuka soka linachezwa kwa miguu sio sura.
 
Mtoa mada huna akili , utamkosoa vp kwa mtu kwa kitu ambacho hajachagua na amazaliwa nacho vile vile kukikibadilisha hawezi ?
 
Sema mleta mada umezingua sana, acheni wadada wa watu wajitafutie rizki zao, kwako wana sura mbaya lakini kwa wazazi wao ni warembo tena sana.
 
Jana kulikuwa na Darby ya wanawake Yanga princess vs Simba Queen.
Simba iliweza kuibamiza Yanga kwa mabao 4.

Kitu nilichokiona wachezaji wengi wa Yanga princess wamekomaa sana nyuso zao zimefubaa. Huku wachezaji wa Simba Queen wanaonekana wazuri na nyuso zao zinapendeza.
Nauliza tatizo ni nini huko Yanga!? Hawalipwi mishahara au kitu gani!?

View attachment 2074775
Ni aibu hii thread kuanzishwa na mwanaume mwenye akili timamu
 
Jana kulikuwa na Darby ya wanawake Yanga princess vs Simba Queen.
Simba iliweza kuibamiza Yanga kwa mabao 4.

Kitu nilichokiona wachezaji wengi wa Yanga princess wamekomaa sana nyuso zao zimefubaa. Huku wachezaji wa Simba Queen wanaonekana wazuri na nyuso zao zinapendeza.
Nauliza tatizo ni nini huko Yanga!? Hawalipwi mishahara au kitu gani!?

View attachment 2074775
Mshukuru Mungu dada wewe kuumbwa mrembo.
 
Back
Top Bottom