Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
- Thread starter
- #21
😂😂😂 Mliwatoa wapi hao Yanga Princess!?Mshukuru Mungu dada wewe kuumbwa mrembo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂 Mliwatoa wapi hao Yanga Princess!?Mshukuru Mungu dada wewe kuumbwa mrembo.
Kila mtu ameumbwa na kipaji chake![emoji23][emoji23][emoji23] Mliwatoa wapi hao Yanga Princess!?
Unataka tuwaite wazuri wakati siyo wazuri. Unafiki ni dhambi kubwa.Kila mtu ameumbwa na kipaji chake!
Mshukuru Mungu kwakuwa mrembo lakini tubia ndugu uaweza pata mtoto ambaye binafsi ukajutia.
Ni ujinga tu unakusumbuaKama mtu ana sura mbaya tuongee unafiki!?
shirikisha vizuri ubongo mkuu.Kama mtu ana sura mbaya tuongee unafiki!?
toa basi na hizo sura nzuri za wachezaji wa Simba au unatuona sisi mafala kwamba hatujui watoto wazuri[emoji2959][emoji2959][emoji2959]Jana kulikuwa na Darby ya wanawake Yanga princess vs Simba Queen.
Simba iliweza kuibamiza Yanga kwa mabao 4.
Kitu nilichokiona wachezaji wengi wa Yanga princess wamekomaa sana nyuso zao zimefubaa. Huku wachezaji wa Simba Queen wanaonekana wazuri na nyuso zao zinapendeza.
Nauliza tatizo ni nini huko Yanga!? Hawalipwi mishahara au kitu gani!?
View attachment 2074775
Hii sio sawa hata kama ni utani wa timu hii imepitiliza. Tujalibu kupambana na stress zetu badala ya kuja kuzitolea JFSijaona kahaba yeyote pale mwenye hadhi ya kuitwa mchezaji, wale ni makahaba wa Sinza walichukuliwa siku 1kabla ya mechi. Sio kila anaevaa jenzi ni mchezaji wengine wanamambo yao. Wale makahaba wa Sinza
Kwa hiyo unachotaka kusema ni kwamba wachezaji wa simba ni Warembo, au?Jana kulikuwa na Darby ya wanawake Yanga princess vs Simba Queen.
Simba iliweza kuibamiza Yanga kwa mabao 4.
Kitu nilichokiona wachezaji wengi wa Yanga princess wamekomaa sana nyuso zao zimefubaa. Huku wachezaji wa Simba Queen wanaonekana wazuri na nyuso zao zinapendeza.
Nauliza tatizo ni nini huko Yanga!? Hawalipwi mishahara au kitu gani!?
View attachment 2074775
Sijawahi kuipenda Yanga iwe hawa wadada au kaka zao,lkn hiki kilichofanyika hapa ni UdhalilishajiJana kulikuwa na Darby ya wanawake Yanga princess vs Simba Queen.
Simba iliweza kuibamiza Yanga kwa mabao 4.
Kitu nilichokiona wachezaji wengi wa Yanga princess wamekomaa sana nyuso zao zimefubaa. Huku wachezaji wa Simba Queen wanaonekana wazuri na nyuso zao zinapendeza.
Nauliza tatizo ni nini huko Yanga!? Hawalipwi mishahara au kitu gani!?
View attachment 2074775