Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maneno mbele ya Kamera siyo sawa na yale ya locker room mzee wangu.Hakuna kiongozi mwenye busara anayeweza kuthubutu kutoa maneno kama hayo mbele ya Camera.
Yaani kiongozi Gani Wa timu ya mpira anatishia wachezaji??Halafu kashtua kVant
Lakini timu yenu ilicheza vizuriManeno mbele ya Kamera siyo sawa na yale ya locker room mzee wangu.
Ila kwa Yanga kufungwa na Ihefu kumeliabisha sana taifa. Wachezaji wote wa Yanga waliokuwa uwanjani inabidi wakamatwe na polisi wahojiwe.
Hii kauli sio nzuri na inaweza pelekea wachezaji kuhujumu timu halafu waone itakuwaje.
Hii kauli ni ya lini?
Hii kauli sio nzuri na inaweza pelekea wachezaji kuhujumu timu halafu waone itakuwaje.
Hii kauli ni ya lini?
Kufungwa na Ihefu na kukosa ubingwa kipi bora haswa?Sina ham na yanga watu tumepoteza mamilion ya fedha kisa yangu kufungwa nasema hapana wametukosea mashabik watuombe radh au waludishe pesa zetu
Kuna jamaa angu alitia mzigo haswaa huko betpawa yeye ni mzee wa timu moja, alooooSina ham na yanga watu tumepoteza mamilion ya fedha kisa yangu kufungwa nasema hapana wametukosea mashabik watuombe radh au waludishe pesa zetu