Wachezaji wafupi wanazigharimu timu za Tanzania

Wachezaji wafupi wanazigharimu timu za Tanzania

Mangi shangali

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
533
Reaction score
820
Jana simba walipocheza na Horoya fc, wachezaji walipata shida sana maana wale jamaa ni warefu sana, kilichowapata Simba jana, leo kimewapata Yanga. Mabeki wafupi wa Yanga ni mzigo kwa michuano ya Kimataifa.

Angalia mabenki wa Yanga, sasa mtu kama Dickson Job kweli ni benki mzuri ila ufupi utampa shida sana, kwa hapa Tanzania tunamuona wa maana ila tatizo linaanza kwenye mechi za kimataifa.

Ili mpira wetu uheshimike kwanza tunatakiwa tuangalie vimo kwenye namba husika, mtu kama Kibwana, Dck, Kapombe, Shabalala wote hao ni wa kucheza namba za katI

Leo magoli yote ya kichwa aibu sana.

Ni hayo tu.
Mapovu yanaruhusiwa.
Mangi shangaliiii
 
beki wa pembeni akiwa mfupi sio shida sana kikubwa awe na uwezo mzuri wa kuruka vichwa ila beki wa kati asiwe kijeba atapwaya sana akikutana na strickers warefu.

Roberto Carlos beki wa pembeni alikuwa mfupi beki bora huyu kuwai kutokea kwenye soka.
 
Tofautisha ufupi na uvivu wa kuruka. Gori la kwanza walilifungwa Yanga ni uzembe na sio ufupi. Pia, ni vigumu kuwapata mabeki waeefu kama Traore (wakiwa na ufundi miguuni).
Mfungaji mrefu hivi benki mfup ataweza kuruka akamzidi??tatizo mfupi umechangia
 
beki wa pembeni akiwa mfupi sio shida sana kikubwa awe na uwezo mzuri wa kuruka vichwa ila beki wa kati asiwe kijeba atapwaya sana akikutana na strickers warefu.

Roberto Calos beki wa pembeni alikua mfupi beki bora huyu kuwai kutokea kwenye soka.
Leo hii sijui George job ataongea nini wasafi,maana mdogo wake ndo kafungisha timu
 
Jana simba walipocheza na horoya fc, wachezaji walipata shida sana maana wale jamaa ni warefu sana, kilichowapata simba jana Leo kimewapata yanga, mabenki wafupi wa yanga ni mzigo kwa michuano ya kimataifa.

Angalia mabenki wa Yanga, sasa mtu kama Dickson Job kweli ni benki mzuri ila ufupi utampa shida sana, kwa hapa Tanzania tunamuona wa maana ila tatizo linaanza kwenye mechi za kimataifa.

Ili mpira wetu huheshimike kwanza tunatakiwa tuangalie vimo kwenye namba huska, mtu kama kibwana, dick, kapombe, shabalala wote hao ni wakucheza namba za kati Leo magoli yote ya kichwa aibu sana...

Ni hayo tu..
Mapovu yanaruhusiwa...
Mangi shangaliiii
Argentina karibu wachezaji wao wote wafupi nafikir unajua walichokifanya Qatar.
 
Jana simba walipocheza na horoya fc, wachezaji walipata shida sana maana wale jamaa ni warefu sana, kilichowapata simba jana Leo kimewapata yanga, mabenki wafupi wa yanga ni mzigo kwa michuano ya kimataifa.

Angalia mabenki wa Yanga, sasa mtu kama Dickson Job kweli ni benki mzuri ila ufupi utampa shida sana, kwa hapa Tanzania tunamuona wa maana ila tatizo linaanza kwenye mechi za kimataifa.

Ili mpira wetu huheshimike kwanza tunatakiwa tuangalie vimo kwenye namba huska, mtu kama kibwana, dick, kapombe, shabalala wote hao ni wakucheza namba za kati Leo magoli yote ya kichwa aibu sana...

Ni hayo tu..
Mapovu yanaruhusiwa...
Mangi shangaliiii
Huna point unajua kimo cha xavi iniesta na messi wewe.

Pale man u sasa kuna dogo mfupi kuliko wote anakimbiza balaa.

Tatizo mbinu siyo kimo . mpira ni wa miguu siyo wa kichwa
 
Argentina karibu wachezaji wao wote wafupi nafikir unajua walichokifanya Qatar.
Sio kweli, warefu wapo...


Mechi na uholanzi yule Martinez aliwekwa benchi kwasababu ni mfupi, akaanza otamendi pamoja na romero ambao ni warefu wastani, na pia wanaruka sana
 
Huna point unajua kimo cha xavi iniesta na messi wewe.

Pale man u sasa kuna dogo mfupi kuliko wote anakimbiza balaa.

Tatizo mbinu siyo kimo . mpira ni wa miguu siyo wa kichwa
Mtoa mada yuko sahihi, ila kadhindwa tu kuifikisha vizuri..

Ni hivi Beki wa kati mara nyingi anatakiwa awe mrefu, (na kama ana kimo cha wastani basi awe anaruka sana kuwin headers i.e puyol, tiago silva n.k)... Mabeki wa pembeni na wachezaji wa mbele hata akowa mfupi haina shida sana..

Barcelona alikuwapo pique+puyol..

Man U yuko Varane, na pia wakina Casemiro wanaficha ule udhaifu wa Martinez
 
Sio kweli, warefu wapo...


Mechi na uholanzi yule Martinez aliwekwa benchi kwasababu ni mfupi, akaanza otamendi pamoja na romero ambao ni warefu wastani, na pia wanaruka sana
Una uhakika au unaropoka?

Lisandro Martinez hakuanza hiyo mechi? Au umelewa

Martinez alianza pamoja na otamendi na Romero na acuna na Molina! Walichezesha back 5
 
Sio kweli, warefu wapo...


Mechi na uholanzi yule Martinez aliwekwa benchi kwasababu ni mfupi, akaanza otamendi pamoja na romero ambao ni warefu wastani, na pia wanaruka sana
Ukiwa mfupi uwe mwepesi
 
Jana simba walipocheza na horoya fc, wachezaji walipata shida sana maana wale jamaa ni warefu sana, kilichowapata simba jana Leo kimewapata yanga, mabenki wafupi wa yanga ni mzigo kwa michuano ya kimataifa.

Angalia mabenki wa Yanga, sasa mtu kama Dickson Job kweli ni benki mzuri ila ufupi utampa shida sana, kwa hapa Tanzania tunamuona wa maana ila tatizo linaanza kwenye mechi za kimataifa.

Ili mpira wetu huheshimike kwanza tunatakiwa tuangalie vimo kwenye namba huska, mtu kama kibwana, dick, kapombe, shabalala wote hao ni wakucheza namba za kati Leo magoli yote ya kichwa aibu sana...

Ni hayo tu..
Mapovu yanaruhusiwa...
Mangi shangaliiii
Boko jana kaicost simba
 
Back
Top Bottom