Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,545
- 10,283
Pamoja sana ndugu yangu tena msimu ulopita wa 92 Jose alitoka kufanya mambo makubwa akiwa na timu b ya taifa (kakakuona )ilosheheni vipaji kama kaunda mwakitope akina salum kabunda akina mbui yondani seki pia alikuwepo aah zamani kidogo hiyo.Uko sahihi mkuu,nilichanganya majina