Wachezaji waliostahili tuzo ya Balon d'or lakini hawakuwahi kuipata

Wachezaji waliostahili tuzo ya Balon d'or lakini hawakuwahi kuipata

Huyu bishoo hakuwa mkali kivile, ni tabia tu ya waingereza kukuza vyao.
Beckham leo anaanza timu yoyote duniani, jamaa alikua anacheza mpira wa kisasa kwenye muda wa zamani.

Kama hufahamu, Beckham hakua bishoo, alikua anakaba mpaka kivuli, alikua anakimbia vibaya mno, kama unavyoona watu design ya Ngolo kante na Ji sung park sababu alikua anavaa vizuri na kuweka style za nywele usifikiri alikua bishoo uwanjani.

Huo msimu on average Beckham alikimbia km 14,

Kuhusu 1999 Beckham kawabeba Man United Champions league hadi final, wakabeba UCL. Walibeba FA na Ligi pia timu pekee iliochukua treble kabla ya City msimu uliopita. Na alieshinda hio tuzo Rivaldo alitolewa na Man U makundi UCL.

Hii tuzo miaka Yote ina Bias kwa Wachezaji wanaocheza Uingereza.
 
Weka mwaka tuone statistics zinasemaje . Henry kawika kipindi kirefu sana kuliko shev. Kawika along side ronaldinho etoo na hata kipindi cha zidane henry alikuwa balaa .
Henry anaenda Barcelona tayari ni 30s yule Henry tunaemjua sisi wa Arsenal Invincible Ronaldinho bado hata Barca hajaenda,

Miaka ambayo Henry alikua na claim na Baloon D or ni around 2002-2004 ambapo alikua ana goli/assist zaidi ya 20 record ambayo haijavunjwa hadi leo Epl.

Stats zao ni kama hivi
Henry
Screenshot_20231101-114541.png

Sheva
Screenshot_20231101-114549.png
 
Henry anaenda Barcelona tayari ni 30s yule Henry tunaemjua sisi wa Arsenal Invincible Ronaldinho bado hata Barca hajaenda,

Miaka ambayo Henry alikua na claim na Baloon D or ni around 2002-2004 ambapo alikua ana goli/assist zaidi ya 20 record ambayo haijavunjwa hadi leo Epl.

Stats zao ni kama hivi
Henry View attachment 2799990
Sheva
View attachment 2799992

Hii season Shev alikuwa na UEFA na aliuwasha sana .. Kwenye mzani hapa Shev anamfunika henry ingawa kazidiwa magoli
 
Hii season Shev alikuwa na UEFA na aliuwasha sana .. Kwenye mzani hapa Shev anamfunika henry ingawa kazidiwa magoli
Si Kweli, msimu huo ndio Porto alibeba, ulikua msimu wa ajabu ajabu fainali walicheza Porto na Monaco, Milan walitolewa mapema tu na Deportivo. Msimu ambao Mourinho anatoka na kuchukuliwa na Chelsea.
 
Wachezaji hawa walistahili hii tuzo lakini nyakati hazikuwa sahihi kwao:

1. Thierry Henry
2. Steven Gerald
3. Didier Drogba
4. Samuel Etoo
5. Frank Lampard
6. Robert Lewandowski
7. Arjen Roben
8. Wesley Sneijder
9. Toni Kroos
10. Andrea Pirlo
rouben ni dhurumaa kubwaaa 😀 😀 😀
 
Hapana beckham alikuwa machine sana, beckham akikaa No 7 basi full back wake ana relax sana na cross zake ni uhakika . Hakuna winga hadi sasa anayeweza kupiga cross kwa usahihi kama alivyokuwa beckham. Kifupi alikuwa mtu wa kazi sana yule jamaa.
Yule alikuwa mtaalam wa cross na set pieces basi. Vingine alikuwa anaruka ruka tu.
 
Beckham leo anaanza timu yoyote duniani, jamaa alikua anacheza mpira wa kisasa kwenye muda wa zamani.

Kama hufahamu, Beckham hakua bishoo, alikua anakaba mpaka kivuli, alikua anakimbia vibaya mno, kama unavyoona watu design ya Ngolo kante na Ji sung park sababu alikua anavaa vizuri na kuweka style za nywele usifikiri alikua bishoo uwanjani.

Huo msimu on average Beckham alikimbia km 14,

Kuhusu 1999 Beckham kawabeba Man United Champions league hadi final, wakabeba UCL. Walibeba FA na Ligi pia timu pekee iliochukua treble kabla ya City msimu uliopita. Na alieshinda hio tuzo Rivaldo alitolewa na Man U makundi UCL.

Hii tuzo miaka Yote ina Bias kwa Wachezaji wanaocheza Uingereza.
Hamna kitu mle, acha historia mimi nimemuangilia nikiwa mtu mzima kabisa.
 
Haaa haa we hujaangalia mpira . Defensive alikuwa vizuri sana na beckham alikuwa na uwezo wa kucheza full back vizuri kabisa .
Sawa sawa boss, kumbuka mi nimemuangilia hakuwa hivyo.
 
Sawa sawa boss, kumbuka mi nimemuangilia hakuwa hivyo.

Hapana nakuhakikishia inategemea unaangalia mpira kinamna gani, ila unaweza enda you tube utaona mipira mingi beckham anakokota tokea mbali na si cross tu bali alikuwa mtu wa ku change direction ya mpira maana pass zake zilikuwa za uhakika yan anapiga na inakufikia . Mfano Kuna match Rooney alishawahi piga beki tatu na akapiga vizuri .
 
Mnashindwa kuelewa jambo moja.. Baloon d'Or haiangalii zaidi mafanikio ya mchezaji aliyoyapata ndani ya mwaka, imebase zaidi na individual brilliance.

Ndio maana sishangai Haaland kupigwa chini.

Wote tumeona Benzema alivyochukua, well deserved.
Absolutely yes
 
Mkuu weka na miaka ambayo walifanya vizuri utagundua kwamba hawakustahili.

Kuna kipindi messi alipiga magoli 92 ndani ya mwaka mmoja (pele 75) . Haya ni magoli ambayo etoo au drogba au henry wangechukua miaka mitatu au minne kuyafunga.

Kipindi henry anawika kulikuwa na Ronaldinho , kipindi cha gerald alikuwepo Zidane.

akifunga Messi anbeba tunzo, akifunga Halland tatizo
 
Henry peak yake sio Ronaldinho, na kipindi cha Henry alichukua Nedved na Shevchenko, mfano Tuzo ya Shevchenko ilikua ya kindezi kupita maelezo,

kuna sehemu unakwama ndugu, Acha kumfananisha Shevchenko na mambo ya kipuuzi.
 
Mnashindwa kuelewa jambo moja.. Baloon d'Or haiangalii zaidi mafanikio ya mchezaji aliyoyapata ndani ya mwaka, imebase zaidi na individual brilliance.

Ndio maana sishangai Haaland kupigwa chini.

Wote tumeona Benzema alivyochukua, well deserved.

tafsiri sahihi ya individual brilliance ni ipi?
 
Henry anaenda Barcelona tayari ni 30s yule Henry tunaemjua sisi wa Arsenal Invincible Ronaldinho bado hata Barca hajaenda,

Miaka ambayo Henry alikua na claim na Baloon D or ni around 2002-2004 ambapo alikua ana goli/assist zaidi ya 20 record ambayo haijavunjwa hadi leo Epl.

Stats zao ni kama hivi
Henry View attachment 2799990
Sheva
View attachment 2799992

sasa stats za EPL ndio zikupe tunzo ya mchezaji bora wa Ulaya?
 
Back
Top Bottom