Synod
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 4,143
- 4,180
Sawa mkuu.Kwa hiyo nilimwangalia nikiwa naujua kabisa mpira. Anyway tuyaache huyo alikuwa anaujua sana kuliko hata akina Figo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu.Kwa hiyo nilimwangalia nikiwa naujua kabisa mpira. Anyway tuyaache huyo alikuwa anaujua sana kuliko hata akina Figo.
Messi anapewa kabisa na kufidiwa muda wake atakapokuwa kastaafu!Wachezaji hawa walistahili hii tuzo lakini nyakati hazikuwa sahihi kwao:
1. Thierry Henry
2. Steven Gerald
3. Didier Drogba
4. Samuel Etoo
5. Frank Lampard
6. Robert Lewandowski
7. Arjen Roben
8. Wesley Sneijder
9. Toni Kroos
10. Andrea Pirlo
Xaxi na lniesta!Wachezaji hawa walistahili hii tuzo lakini nyakati hazikuwa sahihi kwao:
1. Thierry Henry
2. Steven Gerald
3. Didier Drogba
4. Samuel Etoo
5. Frank Lampard
6. Robert Lewandowski
7. Arjen Roben
8. Wesley Sneijder
9. Toni Kroos
10. Andrea Pirlo
Sikatai ila Kombe la dunia Baloon D or yake alibeba Zidane, Na UCL ni 2nd only to World cup.Kumbuka nae rivaldo mwaka mmoja nyuma alifika fainali ya kombe la dunia na timu yake taifa na mwaka huo 1999 alibeba copa America na timu yake ya taifa.
Wana bahati mbaya walicheza nyaati za Messi na Ronado!Wachezaji hawa walistahili hii tuzo lakini nyakati hazikuwa sahihi kwao:
1. Thierry Henry
2. Steven Gerald
3. Didier Drogba
4. Samuel Etoo
5. Frank Lampard
6. Robert Lewandowski
7. Arjen Roben
8. Wesley Sneijder
9. Toni Kroos
10. Andrea Pirlo
Una ongelea Beckham yupi? au ni chuki binafisi?Yule alikuwa mtaalam wa cross na set pieces basi. Vingine alikuwa anaruka ruka tu.
Mimi mwenyewe pamoja nlikua siipendi Man U lakini Beckham ilibidi nmpende tuMkuu, nahisi wewe utakuwa na chuki binafsi dhidi ya Beckham. Ama la, basi hukuwa mfuatiliaji mzuri wa mpira wa zama hizo.
Maana huwezi kuchukizwa na style ya nywele na uvaaji wa Beckham, ukasahau upambanaji wa huyu jamaa
Mkuu umejenga hoja vizuri sanaNimekupa link mwaka 2003/04 ligi ya Uingereza ilikua bora kuliko Serie A so point Hio ni kamba unatupiga,
Pia Sheva ni more of a poacher wakati Henry alikua complete player Ukiangalia assist data Unaelewa.
Hizo data nilizoweka ni za club tu bado timu ya Taifa, 2004 Ukraine walitolewa kufuzu hata Euro hawakwenda ila Henry walifika robo.
Kushindilia msumari Kaka alikua best player wa Milan 2004
Kaka crowned Serie A's Best Player of 2004
www.chinadaily.com.cn
Na akachukua uchezaji bora wa Serie A huo mwaka, So haimake sense Kaka awe bora Milan na bora Serie A kisha Shevchenko awe mchezaji bora wa Dunia kwa kufunga Magoli 4 tu UCL.